Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea class gani ya moto?Maji hayazimi moto
Uturuki ilipgwa katafunua moja ya tetemeko mpaka tz tukawachangia nao walichoma mahema yawapalestnaNawahurumia raia wa Marekani lakini nafurahi kuona Magaidi wanaochoma Gaza leo wanachomwa wao😀
Habari za Uturuki kafungue uzi hapa tunaongelea magaidi wa Mareakani.Uturuki ilipgwa katafunua moja ya tetemeko mpaka tz tukawachangia nao walichoma mahema yawapalestna
Unaleta ushoga kwenye moto.😀Hata ulichokiandoka sasa hakitafsiri jibu pia.
Kwa tafsiri isiyo rasmi... Hakuna maji ya kuzima mioto, hakuna fedha za kufadhili mashirika ya dharula.
huyu mtafsiri ni lufufuMkuu fasiri umeitoa google translate'nini?... 'Funding genocides abroad' ni kufadhili majengo ya nchi?
Huko California, Idara ya Zimamoto haina mali ya kutosha kukabiliana nayo: hakuna ndege za kuzima moto na helikopta kadhaa tu. Hawana hata maji ya kutosha kwa sababu mabwawa ni tupu.Mkuu fasiri umeitoa google translate'nini?... 'Funding genocides abroad' ni kufadhili majengo ya nchi?
Wanakumbi.
Donald Trump:
There is no water to extinguish fires, there is no money in emergency agencies.
The US should focus on solving its OWN CRISES instead of funding GENOCIDES abroad!
Donald Trump:
===============
Hakuna maji ya kuzima moto, hakuna pesa katika mashirika ya dharura.
Marekani ijikite katika kutatua MGOGORO wake badala ya kufadhili MAJENGO nje ya nchi!
View: https://x.com/syed_1109084/status/1877431426464743569?s=48&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
My Take
Ingekuwa ni Tanzania Sasa hakuna matusi wajinga na wanaharakati uchwara wangeacha kutukana Rais.
Saizi wako kimya Kwa aibu,supapawa anaaibika 😆😆😆👇👇
View: https://www.instagram.com/reel/DEpAxI_NphN/?igsh=ZGphcnJ2N2N0Ymx3
🚮🚮Mungu anawaonyesha kuwa mwanamke hafai kuwa kiongozi mbele ya mwanaume. California ni jimbo ambalo linauthibiti wa Kamala Harris na alikuwa anapigiwa kampeni na wasanii maarufu kutoka California. Baada ya Donald Trump kuapishwa hasira ya Mungu dhidi ya marekani itatulia na marekani itazidi kupaa kiuchumi.
Na nyie mshishupaza shingo mkalazimisha mwanamke kuwa kiongozi uchaguzi huu , baada ya 2025 yatawakuta majanga makubwa zaidi ya janga la California.
iheshimu serikali yako 😂😂😂Nilidhani haya mambo ni Tanzania tu daaah.
Wanakumbi.
Donald Trump:
There is no water to extinguish fires, there is no money in emergency agencies.
The US should focus on solving its OWN CRISES instead of funding GENOCIDES abroad!
Donald Trump:
===============
Hakuna maji ya kuzima moto, hakuna pesa katika mashirika ya dharura.
Marekani ijikite katika kutatua MGOGORO wake badala ya kufadhili MAJENGO nje ya nchi!
View: https://x.com/syed_1109084/status/1877431426464743569?s=48&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw