Donald Trump: Hakuna maji ya kuzima moto, hakuna pesa katika mashirika ya dharura

Donald Trump: Hakuna maji ya kuzima moto, hakuna pesa katika mashirika ya dharura

Mm saa nyingine huwa naitathimini Marekani nashindwa kuielewa kabisa.

Marekani ni taifa tajiri na anatawanya pesa nyingi kote dunia kufadhili mambo mbali mbali mengine yenye manufaa mengine ya kipuuzi.
Lakini cha kushangaza ndani ya Marekani kwenyewe huduma za kijamii ni mbovu sana zisio endana na hadhi yake, Marekani ukiumwa kama ww ni masikini aisee hakuna rangi utaona maana gharama za matibabu ziko juu sana.
Wakati wa obama alijaribu kuanzisha mpango wa bima ambao ungewezesha wamarekani masikini kupata matibabu kwa bei nafuu cha kushangaza watu waliupiga vita na Trump akaja aka ufuta.
 
Mkuu fasiri umeitoa google translate'nini?... 'Funding genocides abroad' ni kufadhili majengo ya nchi?
Huko California, Idara ya Zimamoto haina mali ya kutosha kukabiliana nayo: hakuna ndege za kuzima moto na helikopta kadhaa tu. Hawana hata maji ya kutosha kwa sababu mabwawa ni tupu.
Lakini kila mara kuna pesa za kutosha kulazimisha mabadiliko ya serikali nchini Syria, mabilioni ya kufadhili vita vya Israeli vya Gaza na kutuma mabilioni mengine kwa Ukraine.
#CaliforniaNyotoYa Pori #PalisadesFire #LosAngeles #ElonMusk #HARAKA


View: https://x.com/syed_1109084/status/1877663231218458824?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Wanakumbi.

Donald Trump:

There is no water to extinguish fires, there is no money in emergency agencies.

The US should focus on solving its OWN CRISES instead of funding GENOCIDES abroad!
Donald Trump:
===============
Hakuna maji ya kuzima moto, hakuna pesa katika mashirika ya dharura.

Marekani ijikite katika kutatua MGOGORO wake badala ya kufadhili MAJENGO nje ya nchi!


View: https://x.com/syed_1109084/status/1877431426464743569?s=48&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Hayo ni maneno ya Trump kweli? Mbona hiyo ni kama tweet ya huyo Syed….akimwandikia Ttump huo ujumbe…
 
My Take
Ingekuwa ni Tanzania Sasa hakuna matusi wajinga na wanaharakati uchwara wangeacha kutukana Rais.

Saizi wako kimya Kwa aibu,supapawa anaaibika 😆😆😆👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/DEpAxI_NphN/?igsh=ZGphcnJ2N2N0Ymx3

Mungu anawaonyesha kuwa mwanamke hafai kuwa kiongozi mbele ya mwanaume. California ni jimbo ambalo linauthibiti wa Kamala Harris na alikuwa anapigiwa kampeni na wasanii maarufu kutoka California. Baada ya Donald Trump kuapishwa hasira ya Mungu dhidi ya marekani itatulia na marekani itazidi kupaa kiuchumi.

Na nyie mshishupaza shingo mkalazimisha mwanamke kuwa kiongozi uchaguzi huu , baada ya 2025 yatawakuta majanga makubwa zaidi ya janga la California.
 
Mungu anawaonyesha kuwa mwanamke hafai kuwa kiongozi mbele ya mwanaume. California ni jimbo ambalo linauthibiti wa Kamala Harris na alikuwa anapigiwa kampeni na wasanii maarufu kutoka California. Baada ya Donald Trump kuapishwa hasira ya Mungu dhidi ya marekani itatulia na marekani itazidi kupaa kiuchumi.

Na nyie mshishupaza shingo mkalazimisha mwanamke kuwa kiongozi uchaguzi huu , baada ya 2025 yatawakuta majanga makubwa zaidi ya janga la California.
🚮🚮
Kamala ndio anaongoza California? Mungu wa wapi huyo?
 
Wanakumbi.

Donald Trump:

There is no water to extinguish fires, there is no money in emergency agencies.

The US should focus on solving its OWN CRISES instead of funding GENOCIDES abroad!
Donald Trump:
===============
Hakuna maji ya kuzima moto, hakuna pesa katika mashirika ya dharura.

Marekani ijikite katika kutatua MGOGORO wake badala ya kufadhili MAJENGO nje ya nchi!


View: https://x.com/syed_1109084/status/1877431426464743569?s=48&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Supa pawa hana vyote hivyo? 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom