Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
GENOCIDES mauwaji ya kimbari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Trump ni bingwa wa kutoa false claims. Uwiano wa uongo na ukweli kwenye kauli zake ni 3 to 1.Acha na tafsri jibu
Donald Trump:
There is no water to extinguish fires, there is no money in emergency agencies.
Marekani hata wakinya utasema mavi ya watz maana mmarekani akinya anakunya dhahabu. Mapenzi mengine kichefu chefuSidhani kama ni kweli.
Hayo maneno yamekaa kisiasa sana kwa sababu hapo mwishoni amesema U.S.A aache kufadhili vita nje ya nchi, that means ana fedha nyingi anazopaswa kuelekeza kwenye mambo ya msingi ndani ya nchi yake
Bila shaka huzijui wildfires!Nadhani kuna mpuuzi mmoja alipiga moto msitu huo..
Tafsiri ya FUNDING GENOCIDE ni kujenga majengo ya nchi????!!!!Mkuu fasiri umeitoa google translate'nini?... 'Funding genocides abroad' ni kufadhili majengo ya nchi?
Sasa hapo viongozi wa Tanganyika ndio watavimba mashavu. Yakitokea hapa mtaambiwa hamkuona Taifa kubwa Marekani ilivyokuwa?Nilidhani haya mambo ni Tanzania tu daaah.
Allah anamjibu kabla hajaingia madarakani, kama bado hajaingia madarakani maneno yake yalionyesha yuko madarakaniDonald Trump bado hajaingia ikulu rasmi. Miti mikavu ya jangwani isikutishe.
Shangaa na wewe!Tafsiri ya FUNDING GENOCIDE ni kujenga majengo ya nchi????!!!!
Duh!
Simjui Allah .Allah anamjibu kabla hajaingia madarakani, kama bado hajaingia madarakani maneno yake yalionyesha yuko madarakani
Sawa tumekusikia.Mungu anawaonyesha kuwa mwanamke hafai kuwa kiongozi mbele ya mwanaume. California ni jimbo ambalo linauthibiti wa Kamala Harris na alikuwa anapigiwa kampeni na wasanii maarufu kutoka California. Baada ya Donald Trump kuapishwa hasira ya Mungu dhidi ya marekani itatulia na marekani itazidi kupaa kiuchumi.
Na nyie mshishupaza shingo mkalazimisha mwanamke kuwa kiongozi uchaguzi huu , baada ya 2025 yatawakuta majanga makubwa zaidi ya janga la California.
Hapo nimezungumza kama utani ambapo pia human activities zinachangia sana!Bila shaka huzijui wildfires!
SidhaniTrump hamalizi mwaka huu analambishwa mchanga
Hivi hizi ni conspiracy theories kuwa wamechoma makusudi ili wajenge mji mpyaHapo nimezungumza kama utani ambapo pia human activities zinachangia sana!
Mkuu Research Project yangu ya mwaka wa mwisho wa 3 pale chuo kikuu cha DAR ES SALAAM (CONAS) mwaka 2012 nilifanya juu ya the effects of wildfires and perceptions of the surrounding communities .... Pale SAO HILL FOREST PLANTATIONS ...nilipiga A
Kwahiyo nayajua mkuu
Wanakumbi.
Donald Trump:
There is no water to extinguish fires, there is no money in emergency agencies.
The US should focus on solving its OWN CRISES instead of funding GENOCIDES abroad!
Donald Trump:
===============
Hakuna maji ya kuzima moto, hakuna pesa katika mashirika ya dharura.
Marekani ijikite katika kutatua MGOGORO wake badala ya kufadhili MAJENGO nje ya nchi!
View: https://x.com/syed_1109084/status/1877431426464743569?s=48&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Source: CNN Fact check: As wildfires rage, Trump lashes out with false claims about FEMA and California water policy | CNN Politics
Wanakumbi.
Donald Trump:
There is no water to extinguish fires, there is no money in emergency agencies.
The US should focus on solving its OWN CRISES instead of funding GENOCIDES abroad!
Donald Trump:
===============
Hakuna maji ya kuzima moto, hakuna pesa katika mashirika ya dharura.
Marekani ijikite katika kutatua MGOGORO wake badala ya kufadhili MAJENGO nje ya nchi!
View: https://x.com/syed_1109084/status/1877431426464743569?s=48&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Source: CNN Fact check: As wildfires rage, Trump lashes out with false claims about FEMA and California water policy | CNN Politics
Sidhani kama ni kweli.
Hayo maneno yamekaa kisiasa sana kwa sababu hapo mwishoni amesema U.S.A aache kufadhili vita nje ya nchi, that means ana fedha nyingi anazopaswa kuelekeza kwenye mambo ya msingi ndani ya nchi yake
Wanakumbi.
Donald Trump:
There is no water to extinguish fires, there is no money in emergency agencies.
The US should focus on solving its OWN CRISES instead of funding GENOCIDES abroad!
Donald Trump:
===============
Hakuna maji ya kuzima moto, hakuna pesa katika mashirika ya dharura.
Marekani ijikite katika kutatua MGOGORO wake badala ya kufadhili MAJENGO nje ya nchi!
View: https://x.com/syed_1109084/status/1877431426464743569?s=48&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Source: CNN Fact check: As wildfires rage, Trump lashes out with false claims about FEMA and California water policy | CNN Politics
Sawa, mkuu, lakini usilinganishe mazingira ya Iringa na mazingira ya California. Mchango wa human activities kwenye wildfires za California ni kidogo sana. Kule natural elements zinapambana mpaka moto unatokea, bila mchango wa binadamu. Baada ya hapo, ongeza wind gusts zinazozidi 100 mph, wakati mwingine, kisha niambie ni fire brigade gani itauzima huo moto!Hapo nimezungumza kama utani ambapo pia human activities zinachangia sana!
Mkuu Research Project yangu ya mwaka wa mwisho wa 3 pale chuo kikuu cha DAR ES SALAAM (CONAS) mwaka 2012 nilifanya juu ya "The Determination of the effects of wildfires on Stem Density and the perceptions of the surrounding communities in SAO HILL FOREST PLANTATIONS" ...nilipiga A
Kwahiyo nayajua mkuu
Isreael ndo kirus mpka siku wamarekani wakigundua adui wao ni nani watakuwa wamchelewa sana isreli imelamba kama b 32 usd mpaka sasaImeenda Ukraine na Israel