Donald Trump: Hakuna maji ya kuzima moto, hakuna pesa katika mashirika ya dharura

Donald Trump: Hakuna maji ya kuzima moto, hakuna pesa katika mashirika ya dharura

Mungu analipa hapa Duniani Trump alisema kama Hamas hawatachia mateka kabla ya tarehe 20 Basi Gaza itakuwa Jahanamu😂


View: https://x.com/silentlysirs/status/1877819200703807578?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWO%20vw

Watu waliokufa ni wengi lkn kwasasa awawezi kuwafikia adi itulie lkn wapo wengi wamenaswa ktk ali ya kukimbia wengine wakiwa ndani ya magari kuna wezi wengi pia wamenaswa na moto idadi asa itajulikana baadae!!! Tuwapo pole awa jamaaa siamin kuwa wote ni waovu!!
 
Yaaaaaaaaaraabiiiiii tusameeeee viumbe wako ww ni mkuuu yaraaabiiiii tusameee
Hatari sana. Wazayuni wa nashishi na w chaz awaelewi inakuaje yupi mungu wa kweli kwasasa!!!! Wametatizika sasa niwakati wenu kujua mungu ninani marekani inapigwa nanani inaunguzwa nananani kwanini iwe marekani tu kupata moto huuu sote atujawai ona popote Duniani moto wa nfano huuu mwenye akili huu niwazi ni ujumbe kutoka kwa mungu kuja kwetu. Haki usizurumu haki ya mnyonge Palestine ni wanyonge lkn wanae mungu mkuu awajawai kukata tamaaa walikuwa awachoki kuomba mungu wao awakumbuke leo leo hatari mola wao tunaona kwa macho yetu Uwezo wa mungu!!! Mabank yanateketea majumba makubwa yanawaka moto akika watu sasa wataamini wazi wazi Mungu yupo mana watu wameandamana kila seem marekani kawa kiziwi sasa ngoja tuone mwisho wa huu moto. Atatoa mlio tu !!
 
Wanakumbi.

Donald Trump:

There is no water to extinguish fires, there is no money in emergency agencies.

The US should focus on solving its OWN CRISES instead of funding GENOCIDES abroad!
Donald Trump:
===============
Hakuna maji ya kuzima moto, hakuna pesa katika mashirika ya dharura.

Marekani ijikite katika kutatua MGOGORO wake badala ya kufadhili MAJENGO nje ya nchi!


View: https://x.com/syed_1109084/status/1877431426464743569?s=48&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Source: CNN Fact check: As wildfires rage, Trump lashes out with false claims about FEMA and California water policy | CNN Politics

1736591075363.jpg
 
Hatari sana. Wazayuni wa nashishi na w chaz awaelewi inakuaje yupi mungu wa kweli kwasasa!!!! Wametatizika sasa niwakati wenu kujua mungu ninani marekani inapigwa nanani inaunguzwa nananani kwanini iwe marekani tu kupata moto huuu sote atujawai ona popote Duniani moto wa nfano huuu mwenye akili huu niwazi ni ujumbe kutoka kwa mungu kuja kwetu. Haki usizurumu haki ya mnyonge Palestine ni wanyonge lkn wanae mungu mkuu awajawai kukata tamaaa walikuwa awachoki kuomba mungu wao awakumbuke leo leo hatari mola wao tunaona kwa macho yetu Uwezo wa mungu!!! Mabank yanateketea majumba makubwa yanawaka moto akika watu sasa wataamini wazi wazi Mungu yupo mana watu wameandamana kila seem marekani kawa kiziwi sasa ngoja tuone mwisho wa huu moto. Atatoa mlio tu !!
While Israel ( Israel means God perseveres or God shall fight ) burns gaza , God burns california ( California is the home land of Kamala Harris , a woman who contested for America's presidency. God is burning California because God never wanted a woman to be a leader. Tanzania have to watch out!)
 
Back
Top Bottom