Organic Live Food
Senior Member
- Aug 2, 2013
- 127
- 236
Mbona wana mbinu nyingi sn za kutatua majanga kwenye movie zao?? SupperMan 🦸♂️ yuko wapi jamani😁😁. Kuna ile style moja niliona kwenye movie yao moja wanachota maji na helicopter ikiwa imebena lifuko likubwa linauning'iniza likifika baharini linatumbukiza mfuko baharini ikinyanyuka inanyanyuka na litre zakutosha. Au Los Angeles hakuna bahari??😂😂
Waangalie movie zao bhana wasituchoshe.
Inshort hata siumii yanayoendelea nikifikilia maswala yao ya upinde acha wachomeke tu
Waangalie movie zao bhana wasituchoshe.
Inshort hata siumii yanayoendelea nikifikilia maswala yao ya upinde acha wachomeke tu