Donald Trump: Hakuna maji ya kuzima moto, hakuna pesa katika mashirika ya dharura

Donald Trump: Hakuna maji ya kuzima moto, hakuna pesa katika mashirika ya dharura

Sidhani kama ni kweli.
Hayo maneno yamekaa kisiasa sana kwa sababu hapo mwishoni amesema U.S.A aache kufadhili vita nje ya nchi, that means ana fedha nyingi anazopaswa kuelekeza kwenye mambo ya msingi ndani ya nchi yake
Angekuwa na Fedha nyingi hayo yasingetokea.

Hizo Fedha za kufadhili ndio zinamsaidia kuiba Mali za wengine so huyo Trump ni ropo ropo tuu ila uzuri anaenda kushika Dola na Kila mwaka Kuna moto au vimbunga tupo hapa tutaona.
 
Wanakumbi.

Donald Trump:

There is no water to extinguish fires, there is no money in emergency agencies.

The US should focus on solving its OWN CRISES instead of funding GENOCIDES abroad!
Donald Trump:
===============
Hakuna maji ya kuzima moto, hakuna pesa katika mashirika ya dharura.

Marekani ijikite katika kutatua MGOGORO wake badala ya kufadhili MAJENGO nje ya nchi!


View: https://x.com/syed_1109084/status/1877431426464743569?s=48&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Source: CNN Fact check: As wildfires rage, Trump lashes out with false claims about FEMA and California water policy | CNN Politics

kulialia Tramp apunguze! wakitaka pesa Mwamposa yupo atawachangishia alaka maji pia atawapa .
 
Miji imekuwa kama GAZA kutwa wanatuma missile au moto kwenda kuwauwa watoto wadogo pale GAZA sasa nawao wamepelekewa moto wamekuwa wakimbizi ndani ya nchi yao moto juu ya moto watasaza tu. Adi uruma USA chezea mungu na viumbe wake utadhalolika tu utasikia sikumbili izi ataomba msaada lkn missile ataendelea kuwapa IDF
 
4c918b37cf38fe2kk4u.jpg
 
Sio GAZA apo ni ndani ya mfadhili mkuu wa mauwaji ya watoto na wanawake wa Palestine Palestine Palestine Palestine itabaki milele maudui watakufa wataiwacha Palestine ikipendeza.
 
Wanakumbi.

Donald Trump:

There is no water to extinguish fires, there is no money in emergency agencies.

The US should focus on solving its OWN CRISES instead of funding GENOCIDES abroad!
Donald Trump:
===============
Hakuna maji ya kuzima moto, hakuna pesa katika mashirika ya dharura.

Marekani ijikite katika kutatua MGOGORO wake badala ya kufadhili MAJENGO nje ya nchi!


View: https://x.com/syed_1109084/status/1877431426464743569?s=48&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Source: CNN Fact check: As wildfires rage, Trump lashes out with false claims about FEMA and California water policy | CNN Politics
Huyo Trump si alisema atapeleka moto wa Jahanamu Middle East, naona yeye kapelekewa ni friction tu, ya moto wa jahanamu na Allah analia sasa 🤣
 
Huyo Trump si alisema atapeleka moto wa Jahanamu Middle East, naona yeye kapelekewa ni friction tu, ya moto wa jahanamu na Allah analia sasa 🤣
Donald Trump bado hajaingia ikulu rasmi. Miti mikavu ya jangwani isikutishe.
 
Wanakumbi.

Donald Trump:

There is no water to extinguish fires, there is no money in emergency agencies.

The US should focus on solving its OWN CRISES instead of funding GENOCIDES abroad!
Donald Trump:
===============
Hakuna maji ya kuzima moto, hakuna pesa katika mashirika ya dharura.

Marekani ijikite katika kutatua MGOGORO wake badala ya kufadhili MAJENGO nje ya nchi!


View: https://x.com/syed_1109084/status/1877431426464743569?s=48&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Source: CNN Fact check: As wildfires rage, Trump lashes out with false claims about FEMA and California water policy | CNN Politics

Kiazi kweli huyo aliyetafsiri!
CRISIS = Mgogoro? Does not fit the context.

GENOCIDE = MAJENGO; Duh!
 
Wanakumbi.

Donald Trump:

There is no water to extinguish fires, there is no money in emergency agencies.

The US should focus on solving its OWN CRISES instead of funding GENOCIDES abroad!
Donald Trump:
===============
Hakuna maji ya kuzima moto, hakuna pesa katika mashirika ya dharura.

Marekani ijikite katika kutatua MGOGORO wake badala ya kufadhili MAJENGO nje ya nchi!


View: https://x.com/syed_1109084/status/1877431426464743569?s=48&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Source: CNN Fact check: As wildfires rage, Trump lashes out with false claims about FEMA and California water policy | CNN Politics

Mimi nimevutiwa zaidi na Swahili translation ya hiyo kauli ya Trump!😅
 
Back
Top Bottom