elbarik
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 576
- 395
Savage [emoji23] [emoji23]Ila mwanadam huliona hasa akitumia kioo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Savage [emoji23] [emoji23]Ila mwanadam huliona hasa akitumia kioo
Leo Kenya news section kumeweka moto. Watu hawaekani kabisa.[emoji23] [emoji23]Sikuwa na maanisha makalio haswa,kama hulijui umuhimu wa methali unahitaji elmu ziada.
inaonyesha mlivyo viduchu wanyika nyie!
Savage [emoji23] [emoji23]
Leo Kenya news section kumeweka moto. Watu hawaekani kabisa.[emoji23] [emoji23]
Ukibeep unapigiwa.
Ai wishi Ai Kudu bi tiramp!!hili swala la bashide latukosti. sizonje ataonekana nae kafoji vyeti ndo maana fursa zampita😀😀
Anataka miraa
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] acha kufurahia simu ya Trump kwani atapiga redioni au kwa kenyetta mwenyewe?WIVU UNAUA!...Subirini wajamaa wenyu raisi wa Uchina na Urusi watawabeep labda!
Kalb hayawan!
Sisi wala hatuna shida na hao Marekani wanajipendekeza wenyewe tu. Walidhani tutawabembeleza issue ya millennium challenge. Sisi tukawaambie go to hell, baadae wakaja kuomba msamaha. Tukawaambia hatutaki hizo hela zenu za ki Freemason.WIVU UNAUA!...Subirini wajamaa wenyu raisi wa Uchina na Urusi watawabeep labda!
Kalb hayawan!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] acha kufurahia simu ya Trump kwani atapiga redioni au kwa kenyetta mwenyewe?
Sisi wala hatuna shida na hao Marekani wanajipendekeza wenyewe tu. Walidhani tutawabembeleza issue ya millennium challenge. Sisi tukawaambie go to hell, baadae wakaja kuomba msamaha. Tukawaambia hatutaki hizo hela zenu za ki Freemason.
Sasa wewe simu ya Kenyatta inakuhusu nini huo ni umbea kaa utulieKenyatta ndiye mwakilishi wetu kama wakenya, alisemalo ndilo kauli letu!..pole sana kwa matanga ya paka,ikiwa hukulijua hilo!
wana wivu kubwa sana hawa wenzetu...Tayari Trump kapigia marais watatu wa nchi zenye influence kubwa kabisa Afrika...sasa wana babaika akipigia Kenyatta...Kenyatta ndiye mwakilishi wetu kama wakenya, alisemalo ndilo kauli letu!..pole sana kwa matanga ya paka,ikiwa hukulijua hilo!
Usijifanye kama umesahau kuwa Tanzania imewaoa.Nchi yenye hela ya madafu,lenye bajeti nzima MIKOPO, Kwa ubavu upi mlonayo enyi wana matopeni?
Oh!! wewe huwaoni marekani wanavyonywea wakiingia Tanzania? Tanzania ni habari ya mujini. Mikopo kila mmoja anakopa hata hao marekani wapo na mikopo.Nchi yenye hela ya madafu,lenye bajeti nzima MIKOPO, Kwa ubavu upi mlonayo enyi wana matopeni?
Mmejisahau alikuja Obama hapa mkaanza kulia kuwa kawatosa ??si mlitaka awapigie huyo Magufool wenu...hakuna jambo lolote Tanzania yaeza ongea na Trump...
Usijifanye kama umesahau kuwa Tanzania imewaoa.
Wewe upumbavu usiulete hapa. Shenzi nini. Unatukana kiongozi wa nchi yangu. Acha wehu, tutakuchejia.
Hebu kaa chonjo al shabab wapo area (kwa sauti ya dj afro).Kwa mahari ya hela ya madafu?...hehe! mna vituko kweli.