Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hehe ungejua ungenyamaza tu...
sijui ata kama umesoma wewe. ...mwizi tu
sawa umeshinda...wacha sie tungoje tuskie watakachozungumzia hawa viongozi wawili...mtaumwa!!! am out tooHehe ungejua ungenyamaza tu...
sijui ata kama umesoma wewe. ...mwizi tu
Sikua nashindana na ww wala...umejilengesha mwenyewe ....sawa umeshinda...wacha sie tungoje tuskie watakachozungumzia hawa viongozi wawili...mtaumwa!!! am out too
Embu ongea lugha ueleweke kijana umemaliza class 8 vipi?Lake hili Victor wa happy hulioni?
Mtanzania amesoma wapi wakati carriculum twaarifiwa bado ni ya 1961? Mtanzania aliyesoma ni yule amesomea Kenya!Hehe ungejua ungenyamaza tu...
sijui ata kama umesoma wewe. ...mwizi tu
hahahahahahahaMi nahisi Trump pamoja na mambo mengine yawezekana ameshindwa kuongea na huyu wakwetu kwasababu ya lugha kua ngumu kwake,huyu rais wangu anaongea kiingereza kibaya sana,na siyo kiingereza tu hadi Kiswahili anaongea kibaya sana,haongei kiswahili wala kiingereza sanifu.Poor Tanzania.
Mkipewa ofa na misaada za Morrocco na UChina huwa hulioni hilo?.....kalb whed!
Ha ha haaaa. Does Trump understand Swahili? [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Trump ametuvunjia heshima sana. Why Kenya na siyo Tanzania pamoja na sifa zote za rais mpendwa?