Donald Trump kuzungumza na rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta

Donald Trump kuzungumza na rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta

Mi nahisi Trump pamoja na mambo mengine yawezekana ameshindwa kuongea na huyu wakwetu kwasababu ya lugha kua ngumu kwake,huyu rais wangu anaongea kiingereza kibaya sana,na siyo kiingereza tu hadi Kiswahili anaongea kibaya sana,haongei kiswahili wala kiingereza sanifu.Poor Tanzania.
Kabla Trump aongee na rais yeyote wa Africa aliongea na marais wengine wa nchi kuu kuu kama vile Germany, Japan, China, UK ....... Marais kama wa China na Russia hua haongei lugha nyengine ila kichina au kiurusi .... hua kuna protocol flani kama marais wanaongea lugha tofauti.... hapo kwa switch board ndani ya white house kunakua na translator ambae anatranslate juu kwa juu kabla imfikie trump inakua ni kama wanaonge lugha moja... Kwahivyo lugha haijalishi... Kiswahili ni moja wepo wa lugha kuu Africa, Magu akipigiwa si lazima aongee kizungu
 
Kabla Trump aongee na rais yeyote wa Africa aliongea na marais wengine wa nchi kuu kuu kama vile Germany, Japan, China, UK ....... Marais kama wa China na Russia hua haongei lugha nyengine ila kichina au kiurusi .... hua kuna protocol flani kama marais wanaongea lugha tofauti.... hapo kwa switch board ndani ya white house kunakua na translator ambae anatranslate juu kwa juu kabla imfikie trump inakua ni kama wanaonge lugha moja... Kwahivyo lugha haijalishi... Kiswahili ni moja wepo wa lugha kuu Africa, Magu akipigiwa si lazima aongee kizungu
Unatakiwa kujua kua rais wa Tanzania,namaanisha rais wangu hajui kiswahili fasaha wala kiingereza fasaha,hii inaweza kuleta shida katika kutafsiri na hivyo kukatokea kutokuelewana.
 
Kabla Trump aongee na rais yeyote wa Africa aliongea na marais wengine wa nchi kuu kuu kama vile Germany, Japan, China, UK ....... Marais kama wa China na Russia hua haongei lugha nyengine ila kichina au kiurusi .... hua kuna protocol flani kama marais wanaongea lugha tofauti.... hapo kwa switch board ndani ya white house kunakua na translator ambae anatranslate juu kwa juu kabla imfikie trump inakua ni kama wanaonge lugha moja... Kwahivyo lugha haijalishi... Kiswahili ni moja wepo wa lugha kuu Africa, Magu akipigiwa si lazima aongee kizungu
Unatakiwa kujua kua rais wa Tanzania,namaanisha rais wangu hajui kiswahili fasaha wala kiingereza fasaha,hii inaweza kuleta shida katika kutafsiri na hivyo kukatokea kutokuelewana.
 
Kabla Trump aongee na rais yeyote wa Africa aliongea na marais wengine wa nchi kuu kuu kama vile Germany, Japan, China, UK ....... Marais kama wa China na Russia hua haongei lugha nyengine ila kichina au kiurusi .... hua kuna protocol flani kama marais wanaongea lugha tofauti.... hapo kwa switch board ndani ya white house kunakua na translator ambae anatranslate juu kwa juu kabla imfikie trump inakua ni kama wanaonge lugha moja... Kwahivyo lugha haijalishi... Kiswahili ni moja wepo wa lugha kuu Africa, Magu akipigiwa si lazima aongee kizungu
Unatakiwa kujua kua rais wa Tanzania,namaanisha rais wangu hajui kiswahili fasaha wala kiingereza fasaha,hii inaweza kuleta shida katika kutafsiri na hivyo kukatokea kutokuelewana.
 
Tupeni updates, sisi wengine tuko vijijini kwahiyo hakuna TV wala source nyingine ya taarifa zaidi ya JF.
 
Unatakiwa kujua kua rais wa Tanzania,namaanisha rais wangu hajui kiswahili fasaha wala kiingereza fasaha,hii inaweza kuleta shida katika kutafsiri na hivyo kukatokea kutokuelewana.
Jamaa anaeza ongea trump akathania ametangaza vita.
 
Back
Top Bottom