Donald Trump kuzungumza na rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta

Donald Trump kuzungumza na rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta

WIVU UNAUA!...Subirini wajamaa wenyu raisi wa Uchina na Urusi watawabeep labda!

Kalb hayawan!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] acha kufurahia simu ya Trump kwani atapiga redioni au kwa kenyetta mwenyewe?
 
WIVU UNAUA!...Subirini wajamaa wenyu raisi wa Uchina na Urusi watawabeep labda!

Kalb hayawan!
Sisi wala hatuna shida na hao Marekani wanajipendekeza wenyewe tu. Walidhani tutawabembeleza issue ya millennium challenge. Sisi tukawaambie go to hell, baadae wakaja kuomba msamaha. Tukawaambia hatutaki hizo hela zenu za ki Freemason.
 
Sisi wala hatuna shida na hao Marekani wanajipendekeza wenyewe tu. Walidhani tutawabembeleza issue ya millennium challenge. Sisi tukawaambie go to hell, baadae wakaja kuomba msamaha. Tukawaambia hatutaki hizo hela zenu za ki Freemason.

Nchi yenye hela ya madafu,lenye bajeti nzima MIKOPO, Kwa ubavu upi mlonayo enyi wana matopeni?
 
Kenyatta ndiye mwakilishi wetu kama wakenya, alisemalo ndilo kauli letu!..pole sana kwa matanga ya paka,ikiwa hukulijua hilo!
wana wivu kubwa sana hawa wenzetu...Tayari Trump kapigia marais watatu wa nchi zenye influence kubwa kabisa Afrika...sasa wana babaika akipigia Kenyatta...
 
Nchi yenye hela ya madafu,lenye bajeti nzima MIKOPO, Kwa ubavu upi mlonayo enyi wana matopeni?
Oh!! wewe huwaoni marekani wanavyonywea wakiingia Tanzania? Tanzania ni habari ya mujini. Mikopo kila mmoja anakopa hata hao marekani wapo na mikopo.
 
si mlitaka awapigie huyo Magufool wenu...hakuna jambo lolote Tanzania yaeza ongea na Trump...
Mmejisahau alikuja Obama hapa mkaanza kulia kuwa kawatosa ??

Hebu tulieni, na magufuli sio rais wa kutaja ovyo kama hao wenu.
 
Back
Top Bottom