Hadrianus
JF-Expert Member
- Feb 19, 2020
- 2,112
- 5,229
Leta hilo dauMkuu tuweke dau basi[emoji848]maana Simba nyie mnajidai sana, ila tutawaonesha full kukamia mechi mwanzo mwisho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leta hilo dauMkuu tuweke dau basi[emoji848]maana Simba nyie mnajidai sana, ila tutawaonesha full kukamia mechi mwanzo mwisho.
Naweka 20,000 mkuu na wewe weka!Leta hilo dau
Mezani 20K pia, usinikimbie tu mkuuNaweka 20,000 mkuu na wewe weka!
Hakika sikimbii mkuu, sasa acha tuone matokeo keshokutwa tu hapa , usije tu ukapoteana huko😂Mezani 20K pia, usinikimbie tu mkuu
Nikupe namba ya kutuma hiyo 20K kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hakika sikimbii mkuu, sasa acha tuone matokeo keshokutwa tu hapa , usije tu ukapoteana huko[emoji23]
Dah kuna watu hawana huruma na pesa zao nyie🤣Naweka 20,000 mkuu na wewe weka!
Fresh tu tuma mkuu😂Nakutumia no yangu pia ole wako utoroke huu uzi siku hiyo nakufata popote kuchukua 20k yangu nikale bia😀😀Nikupe namba ya kutuma hiyo 20K kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu utaona siku hiyo Simba wa majumbani huyu hatutishi Yanga! Lazima mfungwee😀Dah kuna watu hawana huruma na pesa zao nyie🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mtapigwa mpaka mkojoe dagaa
Wee cc tutawafunga nyie yanga, simba ya safari hii n [emoji91][emoji91][emoji91]Kila rakheri Yanga! Hawa simba wanavojidai [emoji57] na tutawapiga hamtoamini, ebu tukutane uwanjani[emoji123].
Afu si wanafunzi under 18yrs hamruhusiwi kushabikia mpira nyie, ebu nenda darasani😀😀. Afu nyie visimba bana mna maneno sana ila sawa tutaonaaaWee cc tutawafunga nyie yanga, simba ya safari hii n [emoji91][emoji91][emoji91]
Umeanza kunywa pombe liniMkuu utaona siku hiyo Simba wa majumbani huyu hatutishi Yanga! Lazima mfungwee[emoji3]
Dah!!kumbe rafiki yangu mpendwa financial services unaishabikia hii timu!!.Pamoja na urafiki wetu,lakini nasikitika kwamba Jumamosi Yanga atapokea kipigo kikali Sana.Mark my wordsKila rakheri Yanga! Hawa simba wanavojidai 😏 na tutawapiga hamtoamini, ebu tukutane uwanjani💪.
Kwani naongea kama nimelewa mkuu singa? 🤔Umeanza kunywa pombe lini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usinichekeshe kuna cc angu ni yanga, kuna siku alinipa bao la uso, had nkiwa karibu nae sizungumzii mpira, ila yeye sasa shabiki wa kutupwa.Afu si wanafunzi under 18yrs hamruhusiwi kushabikia mpira nyie, ebu nenda darasani[emoji3][emoji3]. Afu nyie visimba bana mna maneno sana ila sawa tutaonaaa
Mkuu rafiki usije ukaja kuifuta hii comment siku hiyo , mtapigwa nyie hamtoamini hivi mnatuonaje Yanga? HayaDah!!kumbe rafiki yangu mpendwa financial services unaishabikia hii timu!!.Pamoja na urafiki wetu,lakini nasikitika kwamba Jumamosi Yanga atapokea kipigo kikali Sana.Mark my words
yaani na uzuri wako wote unakuwa Mtopolo?!Kila rakheri Yanga! Hawa simba wanavojidai 😏 na tutawapiga hamtoamini, ebu tukutane uwanjani💪.
Yanga kuna visu balaa mkuu hujajua tu afu hata iweje siwezi kushabikia simba acha Yanga iniueee😍😄 Jmosi ndiyo utajua Utopolo ama ya kimataifayaani na uzuri wako wote unakuwa Mtopolo?!
Daah nataman siku hiyo baada ya kuwapiga Yanga kipigo cha mbwa koko, uje geto tujipongeze kwa game fln hivi matara (matata), nikupe vitu adim.Wee cc tutawafunga nyie yanga, simba ya safari hii n [emoji91][emoji91][emoji91]
Tuwekeane dau, tukiwafunga unakuja geto nikuchakazeYanga kuna visu balaa mkuu hujajua tu afu hata iweje siwezi kushabikia simba acha Yanga iniueee[emoji7][emoji1] Jmosi ndiyo utajua Utopolo ama ya kimataifa