Dondoo na uchambuzi kuelekea mechi ya Watani wa Jadi

Dondoo na uchambuzi kuelekea mechi ya Watani wa Jadi

Wee cc tutawafunga nyie yanga, simba ya safari hii n [emoji91][emoji91][emoji91]
Afu si wanafunzi under 18yrs hamruhusiwi kushabikia mpira nyie, ebu nenda darasani😀😀. Afu nyie visimba bana mna maneno sana ila sawa tutaonaaa
 
Afu si wanafunzi under 18yrs hamruhusiwi kushabikia mpira nyie, ebu nenda darasani[emoji3][emoji3]. Afu nyie visimba bana mna maneno sana ila sawa tutaonaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usinichekeshe kuna cc angu ni yanga, kuna siku alinipa bao la uso, had nkiwa karibu nae sizungumzii mpira, ila yeye sasa shabiki wa kutupwa.
 
Wee cc tutawafunga nyie yanga, simba ya safari hii n [emoji91][emoji91][emoji91]
Daah nataman siku hiyo baada ya kuwapiga Yanga kipigo cha mbwa koko, uje geto tujipongeze kwa game fln hivi matara (matata), nikupe vitu adim.



Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom