La Quica
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 1,009
- 2,315
Ndio kitabu cha wajinga hicho. Mtu mwenye akili hawezi kurubuniwa kwa uongo wa bibliaBiblia sio kwa ajili ya wajinga mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio kitabu cha wajinga hicho. Mtu mwenye akili hawezi kurubuniwa kwa uongo wa bibliaBiblia sio kwa ajili ya wajinga mkuu.
Biblia haina tofauti na zile hadithi za akina Abunuwasi. Uongo mtupu, cha ajabu utakuta mtu msomi kabisa anaamini yaliyoandikwa humo.
Iko hivi.Mwache akasome koroani kwa kiarabu na haelewi🤣🤣🤣
Mkuu nimekuelewa sanaIko hivi.
Ili watu wajue kweli na wafuate neno lake inabidi watu wahubiriwe neno la Mungu kwa lugha zao ili wajue kweli.
Ndiyo maana tunapata Biblia zilizo kwenye lugha zote duniani. Lengo la Mungu, watu waache dhambi na watende matendo mema yanayompendeza Mungu.
Sasa kama Biblia tungekuwa tunasoma kwa kiingereza halafu kuna watu wengine hawajui kiingereza sasa watapataje kujua kweli? Mungu anajua lugha zote na atakusikia.
Ndiyo maana wale wa dini zingine, badala ya kukuambia ya dini zao watakimbilia kwenye Biblia kwasababu hawajui yaliyoandikwa. Ukiwafuata vijana wengi wa dini ile hawajui kitabu chao.
Hapa wenyewe wanashangaa inakuwaje vijana wanajua maandiko yaliyoko kwenye Biblia namna hii.
Inasemaje mpendwaMathayo 7:7
"WANAANGAMIZWA" sio wanaangamia😇😇😇 soma tena mkuuHosea 4:6 wanaangamia kwa kukosa MAARIFA.
Kuna maamuuzi mawili tuu!kuifuata au kuikataa na kila maamuzi yana cv zake!Ndio kitabu cha wajinga hicho. Mtu mwenye akili hawezi kurubuniwa kwa uongo wa biblia
Hii hata Yesu aliinukuu😍😍😍Isaya 61:
1 - Roho ya Bwana MUNGU i juu yangu; kwa sababu BWANA amenitia mafuta niwahubiri wanyenyekevu habari njema; amenituma ili kuwaganga waliovunjika moyo, kuwatangazia mateka uhuru wao, na hao waliofungwa habari za kufunguliwa kwao.
Na kuwatangazia mateka uhuru wao😀Isaya 61:
1 - Roho ya Bwana MUNGU i juu yangu; kwa sababu BWANA amenitia mafuta niwahubiri wanyenyekevu habari njema; amenituma ili kuwaganga waliovunjika moyo, kuwatangazia mateka uhuru wao, na hao waliofungwa habari za kufunguliwa kwao.
Tusaidie andiko,
Hesabu 23:19
Mungu si mtu
Ufunuo wa Yohana 21:Biblia haina tofauti na zile hadithi za akina Abunuwasi. Uongo mtupu, cha ajabu utakuta mtu msomi kabisa anaamini yaliyoandikwa humo.
🤣🤣😍😍😍😍58 Yesu akawa jibu, “Nawaambia wazi, kabla Ibrahimu hajazaliwa, ‘Mimi nipo.’ ”
Hizi namba unazotumia Kila siku,,,,1,2,3,4,,,,,,,,,,ni za kiarabu.Mwache akasome koroani kwa kiarabu na haelewi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😀Dafram 4:23Mimi yesu sio mungu yupo mungu Alie niumba Bali kwa upumbavu wenu mnaniita mungu.ngojeni siku yamwisho nije kuwakana ndio mtajua Kumbe hamjui.
Hizi ni namba za kiarabu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 so dunia nzima tunasoma kiarabuHizi namba unazotumia Kila siku,,,,1,2,3,4,,,,,,,,,,ni za kiarabu.
Cha kushangaza Mimi na wewe tunazitumia.[emoji15][emoji15][emoji15]
Acha uhuni😀Dafram 4:23