Dondosha mstari wowote wa Biblia unaoupenda leo ni Ijumaa

Dondosha mstari wowote wa Biblia unaoupenda leo ni Ijumaa

Isaya 9:6-7 Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani.

Maongeo ya enzi yake na amani Hayatakuwa na mwisho kamwe, Katika kiti cha enzi cha Daudi na ufalme wake; Kuuthibitisha na kuutegemeza Kwa hukumu na kwa haki, Tangu sasa na hata milele. Wivu wa Bwana wa majeshi ndio utakaotenda hayo.
Hii aya inaua kabisa habari za Utatu Mtakatifu, unalijua hilo mkuu?
 
Eleza kwa upana
Isaya 9:
Isaiah

6 Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani.

6 For unto us a Child is born, Unto us a Son is given; And the government will be upon His shoulder. And His name will be called Wonderful, Counselor, Mighty God, Everlasting Father, Prince of Peace.

Naye ataitwa:
1. Mshauri wa ajabu - ni Roho Mtakatifu
2. Mungu mwenye nguvu - ni Mungu
3. Baba wa milele - ni Mungu Baba
4. Mfalme wa amani - ni mfalme

Kumbe Yesu Kristo ndiye Baba na ndiye Roho Mtakatifu. Una uelewa tofauti?
 
Isaya 9:
Isaiah

6 Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani.

6 For unto us a Child is born, Unto us a Son is given; And the government will be upon His shoulder. And His name will be called Wonderful, Counselor, Mighty God, Everlasting Father, Prince of Peace.

Naye ataitwa:
1. Mshauri wa ajabu - ni Roho Mtakatifu
2. Mungu mwenye nguvu - ni Mungu
3. Baba wa milele - ni Mungu Baba
4. Mfalme wa amani - ni mfalme

Kumbe Yesu Kristo ndiye Baba na ndiye Roho Mtakatifu. Una uelewa tofauti?
Ninavyojua Mungu ni mmoja tu naunaposema Yesu means Mungu baba, mwana na roho mtakatifu ila katika kuonesha ni Mwana ndio maana kuna kristo
 
Basi atukuzwe yeye awezaye kufanya mambo ya ajabu mno kuliko yote tuyaombayo au tuyawazayo, kwa kadiri ya nguvu itendayo kazi ndani yetu; Waefeso 3:20
 
Isaya 9:
Isaiah

6 Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani.

6 For unto us a Child is born, Unto us a Son is given; And the government will be upon His shoulder. And His name will be called Wonderful, Counselor, Mighty God, Everlasting Father, Prince of Peace.

Naye ataitwa:
1. Mshauri wa ajabu - ni Roho Mtakatifu
2. Mungu mwenye nguvu - ni Mungu
3. Baba wa milele - ni Mungu Baba
4. Mfalme wa amani - ni mfalme

Kumbe Yesu Kristo ndiye Baba na ndiye Roho Mtakatifu. Una uelewa tofauti?
16 Naye Yesu alipokwisha kubatizwa mara akapanda kutoka majini; na tazama, mbingu zikamfunukia, akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua, akija juu yake;

17 na tazama, sauti kutoka mbinguni ikisema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye.

Hapa iliwezekana vipi kwa hiyo nadharia yako?
 
Mimi yesu sio mungu yupo mungu Alie niumba Bali kwa upumbavu wenu mnaniita mungu.ngojeni siku yamwisho nije kuwakana ndio mtajua Kumbe hamjui.
Mnachanganyikiwa sana na JINA MUNGU.
MUNGU ni NGUVU (POWER ABOVE ALL POWERS).

Labda nikufungue kidogo kwa mfano wa kawaida.

UMEME ni Nguvu
NYUKRIA ni Nguvu
ATOMIC pia ni Nguvu
JUA Pia ni Nguvu

Lakini Nguvu zote hizo zinaweza zikawa na jina moja la NGUVU YA NISHATI (POWER ENEGY).Maana yake ni kwamba kuna sifa ya kipekee inazozifanya ziitwe Nguvu ya Nishati.

KWA HIYO YESU KRISTU KUITWA MUNGU,Maana yake ni ile NGUVU ya kipekee aliyo nayo ambayo Sifa ya NGUVU hiyo uwezi kuipata kokote au kuifananisha na chochote zaid ya kuiweka kwenye kapu la JINA MUNGU.
Hatumwita YESU KRISTU ,MUNGU, kwa maana ya Mwili unaoonekana kwa mwili,bali ile NGUVU inayotokana na mafundisho yake.Jina YESU alipewa kutimiza natural fomula ya kwamba ukizaliwa basi unapewa jina linalotambulisha Mwili wako .
Ila jina linalotambulisha kile alichobeba YESU KRISTU ni EMMANUEL yani MUNGU PAMOJA NASI.

Sasa,ule uwezo au Volume ya NGUVU hizo nitofauti.Hapa ndipo unakuta KRISTU anaonyesha kwamba yeye alichobeba ni cha kiwango cha kuitwa mtoto(MUNGU MWANA),Kuna Nguvu zaidi (MUNGU BABA) na Mwisho kuna pia Nguvu ileile ya Mungu,tuseme ni ya wastani na imepewa kuwaongoza wanandamu wale wamchao MUNGU BABA kupitia Nguvu ya Yesu Kristu(MUNGU MWANA),
Hiyo nguvu imeitwa (MUNGU ROHO MTAKATIFU).


Sasa usipoteze muda wako kutafasiri mambo ya Rohoni katika Mwili.
Ukianza kubishana kwamba Nyukria si Nguvu ya Nishati kwa sababu ulisimuliwa ilikuwa kwenye umbo kama la mwanadamu au kama ndege umepotea.

Wewe zingatia kwamba JINA LA YESU KRISTU LIMEBEBA NGUVU IPITAYO NGUVU ZOTE NAYO NI MUNGU.
 
16 Naye Yesu alipokwisha kubatizwa mara akapanda kutoka majini; na tazama, mbingu zikamfunukia, akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua, akija juu yake;

17 na tazama, sauti kutoka mbinguni ikisema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye.

Hapa iliwezekana vipi kwa hiyo nadharia yako?
Mkuu, Sio nadharia yangu, ni nabii Isaya. Tatizo lako hapo liko wapi? Kipi kisichoeezekana kwa Mungu? Sijaelewa swali lako
 
Mkuu, Sio nadharia yangu, ni nabii Isaya. Tatizo lako hapo liko wapi? Kipi kisichoeezekana kwa Mungu? Sijaelewa swali lako
Ni nadharia yako mkuu maana ulichokitafsiri hakipatani na maandiko ndiyo maana nikakuuliza kama hivyo ndivyo kwa mujibu wa Mathayo 3 vipi Yesu anayebatizwa tena huyohuyo awe mbinguni awe baba halafu ashuke tena kama hua awe Roho Mtakatifu?
 
Mkuu, Sio nadharia yangu, ni nabii Isaya. Tatizo lako hapo liko wapi? Kipi kisichoeezekana kwa Mungu? Sijaelewa swali lako
1 YOH. :5:8
Kwa maana wako watatu washuhudiao mbinguni, Baba, na Neno, na Roho Mtakatifu, na watatu hawa ni umoja.

Hivi ndivyo Maandiko yatuambiavyo Mungu mmoja katika nafsi tatu
 
May He grant your heart's desires and make all your plans succeed.

Psalm 20:4
 
Mhubiri 3:13
[13]Sisi sote tunapaswa kula na kunywa na kufurahia yale tuliyoyafanyia kazi. Ni zawadi ya Mungu.
 
Ni nadharia yako mkuu maana ulichokitafsiri hakipatani na maandiko ndiyo maana nikakuuliza kama hivyo ndivyo kwa mujibu wa Mathayo 3 vipi Yesu anayebatizwa tena huyohuyo awe mbinguni awe baba halafu ashuke tena kama hua awe Roho Mtakatifu?
Kwamba Mungu hawezi? Kwani Yesu alikuwa na asili ngapi? Ngoja nikutegulie hicho kitendawili. Yesu alipobatizwa ndipo Roho Mtakatifu akamshukia na kuwa naye. Kabla ya hapo alikuwa mwanadamu kamili na ndio maana Yohana Mbatizaji alikuwa akitumiia na Roho Mtakatifu. Unajua kwa nini baada tu ya Yesu kubatizwa na kupokea Roho Mtakatifu yohana Mbatizaji akawekwa jela? Unajua ni kwa nin8 hakukuwa tena na nabii yeyote wakati wa Yesu?

Angalia baada tu ya ubatizo Roho Mtakatifu anamwongoza mpaka nyikani kujaribiwa, tena Luka anarekodi kisa cha Yesu hekaluni aliposoma chuo cha nabii Isaya.

Swali kwako: unadhani baada ya Roho Mtakatifu kushuka kama huwa mbinguni hapakuwa na Roho Mtakatifu? Kwamba Baba akiwa mbinguni hapa duniani hayupo? Kwa nini unampa sifa za wenye mwili?
 
Back
Top Bottom