Dondosha series nzuri zinazohusu uchawi

Riverdale haina uchawi ila ina ma supernatural kimtindo
Riverdale haina uchawi bhana
Teen wolf ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œโค๏ธ๐Ÿคaisee ile ni kiboko
Hahahaha hata mimi nimejishangaa ingawa Merlin sio namba moja yangu, namba moja yangu ya muda wote ni Teen Wolf, sijui nimeirudia mara ngapi ile series na sijawahi kuichoka
 
Kuna Naagin ile ya kihindi ya akina shivanya hata kama sifatilii wahindi ila niliipenda sana.
 
Kwenye MERLIN nilipenda sigment za DRAGON,

Dragon wa kwenye MERLIN alikua na busara sanaaa yaani balaa...

Advertisement yake....๐Ÿค“

In a land of myth, and a time of magic, the destiny of a great kingdom rests on the shoulders of a young boy. His name... Merlin.
 
The Witcher
 
FAR FROM HOME

Kwenye hii series ndio nilijifunzaa kua wafanya biashara matajiri na wanasiasa ni watu wa BAD,

Jamaa anafuga fisi na ukizinguana nae anakuteka anakuweka kwenye Cage wewe na FISI....
Alafu anakwambia wewe Si kidume pambana fisi mwenye NJAA kwenye Cage.....

Ukipata wasaa iangalie....


 

Attachments

  • images (76).jpeg
    55.7 KB · Views: 15
Nimesha sahau ni aina ya wolf movie kama vempire diaries [emoji191][emoji191][emoji252][emoji252]
The 100 ninayoijua inahusu dunia ilipata janga la mlipuko wa nyuklia na kuua watu wengi, kuna wengine walinusurika na kwenda kuishi kwenye space ship, wengine walisurvive duniani,

Baada ya miaka 100 wale wa space wakataka kujua kama Dunia imekua salama kuishi maana hewa ilianza kuwaishia ndio wakawatoa kafara vijana 100 waliokua wahalifu huko kuja duniani na kugundua iko salama na mengine yakaanza hapo,

It's more about science fiction na action nadhani.
 
Kuna hii series ya Yellow Jackets ni tamu sanaa,
Ila ni Thriller sio supernatural,

Wanafunzi wa high school walipata ajali ya ndege na kudondokea msituni, waliopona wakajaribu kusurvive maisha ya pale msituni maana hawakupata msaada wowote, walianza hadi kulana nyama wenyewe kwa wenyewe chezeya njaa,

Miaka 25 baadae wanaonekana wameshakua wakubwa wana maisha mengine lakini walisurvive vipi msituni? walifanya siri hawakusema, sasa kuna kitu kina wa hunt ukubwani, story ina enda kisengele nyuma ila ni nzuri sana, kila kipande unatamani kujua imekuaje, haitabiriki.
 
Hivi episodes zingine zimeshatoka??
 
Ulipoisema tu, nmeenda kuidownload, ni nzuri sana yaani ep 1 tu ni balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ