Pagani Zonda
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 685
- 468
- Thread starter
-
- #41
Kuna hii series ya Yellow Jackets ni tamu sanaa,
Ila ni Thriller sio supernatural,
Wanafunzi wa high school walipata ajali ya ndege na kudondokea msituni, waliopona wakajaribu kusurvive maisha ya pale msituni maana hawakupata msaada wowote, walianza hadi kulana nyama wenyewe kwa wenyewe chezeya njaa,
Miaka 25 baadae wanaonekana wameshakua wakubwa wana maisha mengine lakini walisurvive vipi msituni? walifanya siri hawakusema, sasa kuna kitu kina wa hunt ukubwani, story ina enda kisengele nyuma ila ni nzuri sana, kila kipande unatamani kujua imekuaje, haitabiriki.
zipi sasa kalpanaYote ni fiction tuu bora kuangalia movies based on true stories..
Ungesema ni mbaya ningejua hujui movies nzuri na ningetoka kwenye uzi wako... hahahahaUlipoisema tu, nmeenda kuidownload, ni nzuri sana yaani ep 1 tu ni balaa
Twilight sagaWapendwa habari zenu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo, naombeni mtiririshe series kali zinazohusu uchawi, vampires, warewolfs and all supernaturals. Zangu mimi naanza na;
1. Vampire diaries
2.supernatural
3. Riverdale
4. Legacies
5. Midnight mass
6. Shadow hunters
7.teen wolf
8.The originals
9. Kuna moja ilikuwa ya kifilipino ina husu wolves na vampires ya zamani kweli, nmeisahau jina
Zipo nyingi hadi zingine nmesahau majina
Wednesday (kali sana hii)Midnight Texas sijui kwann waliicancel hii series kali sana, [emoji24]
Secret Circle nayo waliicancel [emoji24]
Priest,
Interview with the Vampire (hii ina Movie ya mwaka 94 na series ya mwaka 2022)
The Mummy,
Dracula Untold (i hope wataleta part 2)
From,
The Quite place,
Wrong Turn,
Merlin,
Zipo nyingi sana
Zedd nilikuwa namkubali sana, hii series nimeangalia way back 2010's ilikuwa hot kinyamaZeddicus Zu'l Zorander kwa kifupi Zedd. Nlienda teknolojia ya kuunda zile ramani zinaonyesha watu wanatembea
Naomba unialike 😁Wednesday (kali sana hii)
His Dark Materials,
First Kill,
Mayfair Witches,
Vampire Academy,
Warrior Nun,
Stranger Things,
Shadow and Bone,
Locke and Key,
Day shift,
The Invitation,
Van Helsing (kuna movie ya zamani na series, zote kali ila naipenda zaidi movie)
Resident Evil(kuna movies za zamani na kuna series mpya, zote kali)
Hahahahaaa sasa nmeshinda🤝😂😂😂Ungesema ni mbaya ningejua hujui movies nzuri na ningetoka kwenye uzi wako... hahahaha
Ungesema ni mbaya ningejua hujui movies nzuri na ningetoka kwenye uzi wako... hahahaha
Unaangalia Resident Evil au Resident Alien?Aisee umenipa mtihani wa kuangalia series mbili kwa mkupuo zote kali nashindwa niache ipi niangalie ipi(resident alien na yellow jackets) bigup[emoji1666]
Kama unafuta mzigo wa kichawi, tafuta hii kama bado haujaiona. Zipo season 3, hautajuta.
View attachment 2622719View attachment 2622720 View attachment 2622723
Unaangalia Resident Evil au Resident Alien?
Zote nzuri, ila hiyo Resident Alien ina comedy sana, siku ya kwanza naingalia nilimaliza season 1 yote yan nilikesha hadi asubuhi, Harry ni chizi halafu chizi tena [emoji119]
Nenda Movie point yoyote utaipata.Naipataje kaka
[emoji81][emoji81]sandman nli penda wanavyo pigana lucifer na dream ..nli zani nii mkono kumbe watu wana pigana kwa akiliSandman..kali sana
Black night
Lord of the ring. Ring of power
Hannibal...kali sana kuna mwamba anakula maini ya warembo uko. Balaa
Prodical son
From
Them....Kali sana kuna nigga kaamia mtaa wa wazungu wanashambuliwajwe na uchawi wa kizungu balaa sana umo
Suttealestate....hii ya madalali ila madalali wenye akili achana na hawa wa bongo wanakuuzia nyumba yenye vihoja alafu hawana kitengo cha kusaidia wateja wao na kasumba za sangoma kwenye nyumba zao..kali sana
1923..hii sio horror ila nikali mno kuna adi story ya ile mark ya mguu wa kwanza wa binadamu PALE CHUGA[emoji39]
Lost treasure....awa wanawinda migodi kwa uchawi
SEE,..hii sio yakichawi ila ina uchinjaji wa hali ya juu. Kuna mwamba uko anaitwa BABA VOSS ni kimbunga huyu..[emoji5]
Black snow..huku kuna mauaji ya wale ma psychopath atari awaachi trace nyuma
Kings of jorberg..kali sana kuna majambazi humh wanafamilia wanaiba kwa dark margic
Hello tomorrow...hahaha hii muvi ni kali sana kuna mzee uko muongo atari ila anadanganya kwa manufaa ni kali sana hiii..haiboi kabisa
Dark mater.
A town,,uku kuna uuaji wa kimasiara masiara sana hahaha haiboi kabisa hii..
A bowl..kali sana kuna kakijiji kanafunikwa na bakuli invisible umo amna mtu kutoka wala kuingia..ohoo ni mazabezabe umo ndani..
Kama umeona mojawapo hapo...hope unanielewa ni nini namaanisha[emoji2]
Ninazo nyingi kweny list ila,,,hizi ni kwa ufupi nisije weka pdf ya list hapa[emoji1787]
hii The Invitation ni ya kichawi au sci fiction?Wednesday (kali sana hii)
His Dark Materials,
First Kill,
Mayfair Witches,
Vampire Academy,
Warrior Nun,
Stranger Things,
Shadow and Bone,
Locke and Key,
Day shift,
The Invitation,
Van Helsing (kuna movie ya zamani na series, zote kali ila naipenda zaidi movie)
Resident Evil(kuna movies za zamani na kuna series mpya, zote kali)
Horror=Vampireshii The Invitation ni ya kichawi au sci fiction?
ngoja nii cheki maana naiona kila siku nairuka tuHorror=Vampires