Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Ingekuwa Katiba yao inaruhusu huyu ilitakiwa aongoze hilo taifa angalau miaka 10.Mungu ampe TRUMP maisha marefu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingekuwa Katiba yao inaruhusu huyu ilitakiwa aongoze hilo taifa angalau miaka 10.Mungu ampe TRUMP maisha marefu
Mkuu unidai Cognac!Uliona wapi mwizi wa mali za nchi anaitwa majina mazuri, mjanja, boss, mkuu, comredi nk. China ni kifo, ulaya ni kifungo, ila Africa hasa Tanzania huyo ni mwekezaji,.mfadhili wa chama/vyama nk. Balaa.
Matusi ya Donald Trump Rais wa Marekani kwa wananchi na viongozi wa Dunia ya Tatu, hasa Afrika, yamekaa mahali pake.
Wenye akili tunaambiwa kwa sauti kubwa: OMBA OMBA YENU TUMEICHOKA!
Hapo ndio tutamkumbuka Mwalimu Nyerere na siasa yake ya kiuchumi ya KUJITEGEMEA. Watanzania na waafrika, tutatukanwa hadi lini?
Simlaumu TRUMP!
Kwa upumbavu kama huu Trump yuko sahihi 100%Matusi ya Donald Trump Rais wa Marekani kwa wananchi na viongozi wa Dunia ya Tatu, hasa Afrika, yamekaa mahali pake.
Wenye akili tunaambiwa kwa sauti kubwa: OMBA OMBA YENU TUMEICHOKA!
Hapo ndio tutamkumbuka Mwalimu Nyerere na siasa yake ya kiuchumi ya KUJITEGEMEA. Watanzania na waafrika, tutatukanwa hadi lini?
Simlaumu TRUMP!
Umenena vema mkuu.Tunajiibia wenyewe kodi. Hatuna nidhamu na hela za walipa kodi. Sasa hivi tumegeukia mikopo na kuomba misaada.
Tumekwama. Na hali ya dunia inavyoenda, tutakwama kabisa. Marekani wameanza, na hakika wengine watafuatia. Ni suala la muda.
Sijui kwanini tuliamua kupiga chini kila kitu cha awamu ya kwanza ya Nyerere. Tulikosea sana. makosa yake tungeyarekebisha. mazuri tungeendeleza.
Kulikuwa na shida gani kwenye siasa ya kujitegemea? Kulikuwa na shida gani kujenga utaifa? Kulikuwa na shida gani katika kujenga uwajibikaji kwenye vijiji ambao kama tungeboresha, pengine ile dhana nzima ya kujitegemea ingeanzia chini kabisa ikafika mpaka levels za juu.
Kuna watu wametutapeli na wanaendelea kututapeli kwa kutumia fursa na nafasi walizonazo kujineemesha na kutuingiza chaka la kuwa ombaomba na wakopaji tusioweza kulipa.
Kweli asiyefundishwa na mamaye hufundishwa na dunia!Kwa upumbavu kama huu Trump yuko sahihi 100%
Mtu akipata cheo tu anafikiria kuendeshwa kwenye VX-V8!Tunaongozwa na majitu majinga haswa ndiyo maana, fedha zipo tatizo ni matumizi makubwa ya anasa na ufisadi
Duh 🙄 !View attachment 3218052
Wito wa Donald Trump kwa watu wa Afrika.
Mungu amebariki nchi zenu kwa rasilimali nyingi, akili, na uwezo mkubwa. Ni wkt wa kuacha kusubiri mabadiliko kutoka nje na kuanza kuwajibisha viongozi wenu wala rushwa. Acheni kukimbilia mataifa ya kigeni na kuzurura mitaani huko mkitafuta fursa ambazo zinapaswa kuwepo nyumbani kwenu.
Kama Wamarekani wangelikubali ukandamizaji na kubaki kimya, hakungekuwepo na Marekani kama unavyoiona leo. Kama Wafaransa wangekaa kimya mwaka 1775, hakungekuwa na Ufaransa ya leo. Mapinduzi yanahitaji hatua, si unyonge.
Kwa nini mnaendelea kucheza siasa za kikabila huku viongozi wenu wakiiba utajiri wa mataifa yenu bila haya?
Kwa nini mnategemea Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa dawa za msaada wkt mna wataalamu wa madawa na tiba katika nchi zenu?
Nchi zenu zimebarikiwa kwa vipaji na maarifa ya kutengeneza suluhisho za ndani.
Dai mifumo bora ya afya. Acheni viongozi wenu wakimbilie nchi za nje kutibiwa huku hospitali zenu nyumbani zikitelekezwa bila hata huduma thabiti ilihali mshajitawala tangu miaka ya 1960's.
Kwa nini viongozi wenu wanapora rasilimali zenu ili kuishi maisha ya anasa huku barabara zenu zikiwa mbovu, shule hazina fedha za kutosha, na umeme haupo wa uhakika?
Je, mnasubiri malaika waje kutatua matatizo haya?
M/Mungu amewapa uwezo wa kuchukua hatua, basi chukueni hatua!
Mataifa yaliyoendelea yamepata mafanikio kupitia uwajibikaji, kazi ngumu, na kujitolea, siyo kwa kusubiri miujiza.
Marekani ni ya Wamarekani. Ufaransa ni ya Wafaransa. Ni wkt wa ninyi kuwajibika kwa nchi zenu. Acheni kukimbilia nchi za kigeni ili kujifungua na kutafuta uraia wa moja kwa moja kwa watoto wenu. Sera hizo zimeondolewa. Rudi nyumbani na mjenge Taifa ambalo mtaweza kujivunia kuzaliwa huko kwenu.
Mapinduzi huanza na watu, kama mmechoka na uongozi mbovu, inukeni. Dai takwimu sahihi za idadi ya watu, uchaguzi wa haki, na mwisho wa wizi na ufisadi. Acheni kuruhusu wanasiasa wala rushwa na viongozi wa kidini kuwapumbaza kwa kusema ukandamizaji ni “mapenzi ya Mungu.”
Kama Wafaransa waliweza kuungana dhidi ya majeshi na watawala wakandamizaji, nanyi mnaweza. Mabadiliko hayatakuja ikiwa mtakaa kimya na kinyonge. Kama mnataka umeme wa uhakika, barabara nzuri, na maisha bora, chukueni hatua. Acheni kukimbilia Marekani, Canada, au Ulaya kwa kile ambacho mnaweza kujijengea nyumbani.
Ujumbe ni rahisi, inukeni, ungana, na mchukue hatima ya maisha yenu mikononi mwenu. Hatima ya Afrika ipo mikononi mwenu. Iwafikie mioyoni na akilini mwenu, ni ninyi pekee mnaoweza kuunda Afrika mnayoitamani!
Bora V8 anaiba kwa nguvu mali za wanyonge tena kwa fujoMtu akipata cheo tu anafikiria kuendeshwa kwenye VX-V8!
Mtu akipata cheo tu anafikiria kuendeshwa kwenye VX-V8!
Hatuja kuwa tayari muda wote huo sass ni muda wa kulazimishwa.View attachment 3218052
Wito wa Donald Trump kwa watu wa Afrika.
Mungu amebariki nchi zenu kwa rasilimali nyingi, akili, na uwezo mkubwa. Ni wkt wa kuacha kusubiri mabadiliko kutoka nje na kuanza kuwajibisha viongozi wenu wala rushwa. Acheni kukimbilia mataifa ya kigeni na kuzurura mitaani huko mkitafuta fursa ambazo zinapaswa kuwepo nyumbani kwenu.
Kama Wamarekani wangelikubali ukandamizaji na kubaki kimya, hakungekuwepo na Marekani kama unavyoiona leo. Kama Wafaransa wangekaa kimya mwaka 1775, hakungekuwa na Ufaransa ya leo. Mapinduzi yanahitaji hatua, si unyonge.
Kwa nini mnaendelea kucheza siasa za kikabila huku viongozi wenu wakiiba utajiri wa mataifa yenu bila haya?
Kwa nini mnategemea Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa dawa za msaada wkt mna wataalamu wa madawa na tiba katika nchi zenu?
Nchi zenu zimebarikiwa kwa vipaji na maarifa ya kutengeneza suluhisho za ndani.
Dai mifumo bora ya afya. Acheni viongozi wenu wakimbilie nchi za nje kutibiwa huku hospitali zenu nyumbani zikitelekezwa bila hata huduma thabiti ilihali mshajitawala tangu miaka ya 1960's.
Kwa nini viongozi wenu wanapora rasilimali zenu ili kuishi maisha ya anasa huku barabara zenu zikiwa mbovu, shule hazina fedha za kutosha, na umeme haupo wa uhakika?
Je, mnasubiri malaika waje kutatua matatizo haya?
M/Mungu amewapa uwezo wa kuchukua hatua, basi chukueni hatua!
Mataifa yaliyoendelea yamepata mafanikio kupitia uwajibikaji, kazi ngumu, na kujitolea, siyo kwa kusubiri miujiza.
Marekani ni ya Wamarekani. Ufaransa ni ya Wafaransa. Ni wkt wa ninyi kuwajibika kwa nchi zenu. Acheni kukimbilia nchi za kigeni ili kujifungua na kutafuta uraia wa moja kwa moja kwa watoto wenu. Sera hizo zimeondolewa. Rudi nyumbani na mjenge Taifa ambalo mtaweza kujivunia kuzaliwa huko kwenu.
Mapinduzi huanza na watu, kama mmechoka na uongozi mbovu, inukeni. Dai takwimu sahihi za idadi ya watu, uchaguzi wa haki, na mwisho wa wizi na ufisadi. Acheni kuruhusu wanasiasa wala rushwa na viongozi wa kidini kuwapumbaza kwa kusema ukandamizaji ni “mapenzi ya Mungu.”
Kama Wafaransa waliweza kuungana dhidi ya majeshi na watawala wakandamizaji, nanyi mnaweza. Mabadiliko hayatakuja ikiwa mtakaa kimya na kinyonge. Kama mnataka umeme wa uhakika, barabara nzuri, na maisha bora, chukueni hatua. Acheni kukimbilia Marekani, Canada, au Ulaya kwa kile ambacho mnaweza kujijengea nyumbani.
Ujumbe ni rahisi, inukeni, ungana, na mchukue hatima ya maisha yenu mikononi mwenu. Hatima ya Afrika ipo mikononi mwenu. Iwafikie mioyoni na akilini mwenu, ni ninyi pekee mnaoweza kuunda Afrika mnayoitamani!
Ametupakia ukweli.Duh 🙄 !
Trump ni kiboko !
Je ametutukana ?! Au ??! 😳😱
Ukijizoeza kuishi maisha ya kifahari kuacha inakuwa ni ngumu sana labda ulazimishwe kuacha !Ni wakati Sasa Kwa nchi zetu kujitegemea Kwa kutumia kikamilifu rasilimali ilizopewa na Mungu ikiwa ni pamoja na kupunguza matumizi yasiyo ya lazima na kuweka vipaumbele kwenye mambo ya msingi na yenye tija kwa taifa
Na kweli ukizoea ufarahari na matumizi ya anasa unakuwa huna tofauti na mlevi wa pombe au mvutaji wa sigaraUkijizoeza kuishi maisha ya kifahari kuacha inakuwa ni ngumu sana labda ulazimishwe kuacha !
Na ulazimishwe kikweli kweli sio kiuongo uongo 😳!
Kabisa !U
Na kweli ukizoea ufarahari na matumizi ya anasa unakuwa huna tofauti na mlevi wa pombe au mvutaji wa sigara
Kwa jinsi ulivyo mnafiki eti unamkumbuka Mwl. Nyerere wakati Mwamba Magufuli alikuwa anayasema hayahaya ya kujitegemea mkamfuata Lissu na jamaa zake wa MIGA! PUMBAVU!!Matusi ya Donald Trump Rais wa Marekani kwa wananchi na viongozi wa Dunia ya Tatu, hasa Afrika, yamekaa mahali pake.
Wenye akili tunaambiwa kwa sauti kubwa: OMBA OMBA YENU TUMEICHOKA!
Hapo ndio tutamkumbuka Mwalimu Nyerere na siasa yake ya kiuchumi ya KUJITEGEMEA.
Watanzania na waafrika, tutatukanwa hadi lini?
Simlaumu TRUMP!
Ni lini ccm watatuma watu wa kwenda "kumteka" trump kwa sababu anaongea ukweli mtupu wasioupenda kusikiaView attachment 3218052
Wito wa Donald Trump kwa watu wa Afrika.
Mungu amebariki nchi zenu kwa rasilimali nyingi, akili, na uwezo mkubwa. Ni wkt wa kuacha kusubiri mabadiliko kutoka nje na kuanza kuwajibisha viongozi wenu wala rushwa. Acheni kukimbilia mataifa ya kigeni na kuzurura mitaani huko mkitafuta fursa ambazo zinapaswa kuwepo nyumbani kwenu.
Kama Wamarekani wangelikubali ukandamizaji na kubaki kimya, hakungekuwepo na Marekani kama unavyoiona leo. Kama Wafaransa wangekaa kimya mwaka 1775, hakungekuwa na Ufaransa ya leo. Mapinduzi yanahitaji hatua, si unyonge.
Kwa nini mnaendelea kucheza siasa za kikabila huku viongozi wenu wakiiba utajiri wa mataifa yenu bila haya?
Kwa nini mnategemea Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa dawa za msaada wkt mna wataalamu wa madawa na tiba katika nchi zenu?
Nchi zenu zimebarikiwa kwa vipaji na maarifa ya kutengeneza suluhisho za ndani.
Dai mifumo bora ya afya. Acheni viongozi wenu wakimbilie nchi za nje kutibiwa huku hospitali zenu nyumbani zikitelekezwa bila hata huduma thabiti ilihali mshajitawala tangu miaka ya 1960's.
Kwa nini viongozi wenu wanapora rasilimali zenu ili kuishi maisha ya anasa huku barabara zenu zikiwa mbovu, shule hazina fedha za kutosha, na umeme haupo wa uhakika?
Je, mnasubiri malaika waje kutatua matatizo haya?
M/Mungu amewapa uwezo wa kuchukua hatua, basi chukueni hatua!
Mataifa yaliyoendelea yamepata mafanikio kupitia uwajibikaji, kazi ngumu, na kujitolea, siyo kwa kusubiri miujiza.
Marekani ni ya Wamarekani. Ufaransa ni ya Wafaransa. Ni wkt wa ninyi kuwajibika kwa nchi zenu. Acheni kukimbilia nchi za kigeni ili kujifungua na kutafuta uraia wa moja kwa moja kwa watoto wenu. Sera hizo zimeondolewa. Rudi nyumbani na mjenge Taifa ambalo mtaweza kujivunia kuzaliwa huko kwenu.
Mapinduzi huanza na watu, kama mmechoka na uongozi mbovu, inukeni. Dai takwimu sahihi za idadi ya watu, uchaguzi wa haki, na mwisho wa wizi na ufisadi. Acheni kuruhusu wanasiasa wala rushwa na viongozi wa kidini kuwapumbaza kwa kusema ukandamizaji ni “mapenzi ya Mungu.”
Kama Wafaransa waliweza kuungana dhidi ya majeshi na watawala wakandamizaji, nanyi mnaweza. Mabadiliko hayatakuja ikiwa mtakaa kimya na kinyonge. Kama mnataka umeme wa uhakika, barabara nzuri, na maisha bora, chukueni hatua. Acheni kukimbilia Marekani, Canada, au Ulaya kwa kile ambacho mnaweza kujijengea nyumbani.
Ujumbe ni rahisi, inukeni, ungana, na mchukue hatima ya maisha yenu mikononi mwenu. Hatima ya Afrika ipo mikononi mwenu. Iwafikie mioyoni na akilini mwenu, ni ninyi pekee mnaoweza kuunda Afrika mnayoitamani!
Copied nPasted.
Du......mkuu ukiwa pimbi wa kufikiri usijionyeshe hadharani. Kwa Mwalimu nyerere, Magufuli ni mfuta viatu,. Katika nyumba ya Mwalimu , Magufuli hana sifa za kuwa hata mlinzi wa getini.Kwa jinsi ulivyo mnafiki eti unamkumbuka Mwl. Nyerere wakati Mwamba Magufuli alikuwa anayasema hayahaya ya kujitegemea mkamfuata Lissu na jamaa zake wa MIGA! PUMBAVU!!