Dont Undersetimate the Power of Clouds...

Dont Undersetimate the Power of Clouds...

Aslay hana label kwasasa ila yupo chini ya management ya Chimbuso aliyekuwa mkubwa na wanawe.

Wote wanashinda sehemu moja hao Tabata.. labda vibe zinawakuta wapo wote.
Wanajitahidi.
 
Hivi maneno aliyoongeaa Rubby alipangiwa aongee hivo au ??

Kama ni akili zake bhasii clouds kwa ujumla itawaendesha sana wasanii
 
Swali je, Rubby na Nandy wataweza kudumu sokoni kwa bidhaa ya aina moja?

Bidhaa ya nani itakuwa na thamani sokoni?
Kuna Mmoja Mrs X Shilawadu Mwengne ni Mrs Boss
 
Hivi maneno aliyoongeaa Rubby alipangiwa aongee hivo au ??

Kama ni akili zake bhasii clouds kwa ujumla itawaendesha sana wasanii
sijayaskia maneno ila Clouds ndiye mastermind wa Promo za muziki Tz.

Ukikosana nao basi unahatihati ya kutotoboa.

Waangalie wasanii waliojiita timu EFM nay na wenzake naamini sokoni hasikiki kama kipindi kile cha akadumba.
 
Back
Top Bottom