Dont Undersetimate the Power of Clouds...

Ruby a.k.a Fala, kadhihirisha ufala wake kwenye xxl, na airtime haipati ng'o, mtoto mjinga sana yule
 
Watu tulikuwa tunaangalia tu alivyokuwa anajazwa ujinga huku wengine waliokuwa wanamjaza hawajui hili wala lile kwenye hii tasnia.

Mbaya zaidi, wengine waliokuwa wanamjaza ujinga bado kula kulala huku wengine ni watiifu kweli kweli kwa mabosi wao na mshahara unaowafanya wawe na adabu kiasi hicho hata 500K wengine haufiki!
 
Ila what goes around comes around... Ruby kaomba msamaha adi nikamwonea huruma...Dozen kamu attack balaaa....
alafu eti anasema nimerudi kwa wazazi wangu,dozen,mammy hahaha too low
 
I see! ila bongo hakuna mafia kabisa. nashangaa how those folks (ruge and coy) still alive today!? wamefanya dhuluma nyingi kwa vijana wetu. hawastahili kuishi na kuneemeka kwa madhambi yao. AK-47, once opted... is a solution.@RRONDO
 
Mbona the field Marshall Daudi Albert Bsshite (DAB) aliwanyoosha, aliwapiga na vitako vya bunduki na mpaka leo hajaomba mtu msamaha😀
 
Ruby a.k.a Fala, kadhihirisha ufala wake kwenye xxl, na airtime haipati ng'o, mtoto mjinga sana yule
Mara nyingine inabidi ujifanye mjinga kutimiza lengo lako.
 
Reactions: 7ve
I see! ila bongo hakuna mafia kabisa. nashangaa how those folks (ruge and coy) still alive today!? wamefanya dhuluma nyingi kwa vijana wetu. hawastahili kuishi na kuneemeka kwa madhambi yao. AK-47, once opted... is a solution.@RRONDO
Not to that extent dude. Hawa jamaa wanawazidi watu akili ndio maana wanaendesha music industry bongo.
Hakuna msanii anaeshikiwa bunduki.
 
alafu eti anasema nimerudi kwa wazazi wangu,dozen,mammy hahaha too low
Yaani amesikitisha sana. Unaweza kupatana na watu, au kuomba msamaha ila sio kujishusha kiasi hiki.
 
Wasanii wengi wanajazwa ujinga na wanaowazunguka wakiwemo washabiki wao ila wakifulia wanabaki peke yao.
 
Lady jd yuko wapi sasa hivi na Clouds iko wapi? Jibu lako ndio utajua nani kiboko ya mwenzie

mkuu samahani unajuwa unachokisema lakini.Ebu fikiri tangu jide amerudi hafanyi vizuri.Jide kaanza muziki kitambo anajuwa kia aina ya fitna
 
mkuu samahani unajuwa unachokisema lakini.Ebu fikiri tangu jide amerudi hafanyi vizuri.Jide kaanza muziki kitambo anajuwa kia aina ya fitna
Hivi Jide bado anaimba? Wimbo wake wa mwisho unaitwaje? Huwa nasikiliza redio na kuangalia tv sijamuona wala kumsikia muda mrefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…