St

Storage facilities za umeme wa megawatt 200 mpaka 1000 ni kama zipi? Mabetry 1000,000 ya gari yatumike kutunza charge? Kuna vifaa gani special?

Kila mwenye betri la la gari asiye na kazi nalo,tunaliomba
Wakiacha ujinga wa kununua gari za million 500 kila mwaka. Kuna namna wanaweza kubackup huo umeme either kwa inveters au capacitors.
 
Kuna mambo ya hapa tanzania ili uyaelewe inatakiwa usielewe tu... Aah sinywi tena pombe labda ninyweshwe nikiwa nimelewa.
 
Hata sielewi kabisa!

Sisi tatizo letu ni nini hasa?

Hapa nilipo nawaza yale sijui mafao au marupurupu ya wenza wa viongozi yanaweza kutumika kutatua tatizo kama hili la umeme kwa kiasi gani tu??!!!
 
Kwanini Mkandarasi Asikamilishe Kazi Mashine 9 Zikiwa Tayari Ndiyo Wazuie Maji Halafu Baadaye Wawashe Mitambo. Lazima Ukitazama Sana Kuna Kitu Hakisemwi. Je Mkandarasi Kafanya Kazi Yote Ama Laa
 
Hivi... Haiwezekani maji yanayotumika yarudishwe bwawani kwa pump?🙃
 
Y

Yaani hakuna overflow?
Nchi ngumu hii
a.k.a spillways. Mabwawa ya maji kwa ajili ya kuzalisha umeme yanakuwa na spillways au overflow ili kuyaondoa maji yanayozidi kwa usalama wa bwawa. Pana tatizo gani huku kwetu? Watu wanatushangaa sana. Mvua inyeshe shida, jua liwake shida.
 
Hivi... Haiwezekani maji yanayotumika yarudishwe bwawani kwa pump?🙃
Hiyo pump itahitaji umeme sawa au zaidi ya uliozalishwa na maji yanayotakiwa kurudishwa bwawani!

Principles of energy haziko unavyofikiria.
 
Bwawa kujaa ni tatizo na maji yakipungua ndo tatizo kubwa zaidi.Ni kifanyike kwa ujinga huu unaoendele huko juu????..
 
Hata ChukuwaChakoMapema KINDAKINDA wanaona AIBU!
It's too much Kwa kweli!
 
Hayo yote hawakuwa wameyaona awali?

Hakukuwepo na contingency plans zozote zile kuhusu maji kuwa mengi?
Waliona wakati wa Ujenzi kwamba mashine zitafungwa 9, lakini baada ya Ujenzi wapiga dili wakaona, wafunge moja Kwanza , zingine zisubiri mitambo hiharibike na adha zingine zitoke. , ili muhimu wa tatizo uwepo.
 
Hivi... Haiwezekani maji yanayotumika yarudishwe bwawani kwa pump?🙃
haiwezekani kuyarudisha juu kwa pump, kwa sababu utatumia umeme ule ule, kiasi kile kile, ulichovuna wakati maji yanaporomoka chini... First Law of Thermodynamics

Waziri anasema wameshatoa fair warning kwa raia wanaokaa chini ya bwawa!

Sasa hayo maji yanayokuja kuzoa raia Rufiji sijui yatakuwa na umeme masikini ya Mungu ???
 
Wajinga ndio waliwao.

Kuna watu waliamini mbwembwe za kuwepo ili bwawa ndio kuisha shida ya umeme.

Basi niwape pole.
 
Miaka yote ilikua ni tetesi tu ila sasa it is confirmed kwamba kuna watu wananufaika na sisi kukosa umeme.

Hilo bwawa la Nyerere halitakaa litumike na tatizo la umeme halitakaa liishe.
 
Tanesco ni lazima wajifunze kuvuna hayo maji ya ziada ili kipindi cha ukame ndiyo yatumike kuzalishia umeme kuliko sasa kuyamwaga ovyo!!
Watu na utaalamu wao hawana akili hata chembe mkuu
 
Mkuu nakuunga mkono, wakati wa ufunguzi walionyesha design ikiwa na hiyo solution.
Yaani kwa mtu ambaye anauelewa inashangaza sana. Maswali ni mengi kuliko majibu.
Labda kama DPM ameficha sababu ya msingi, hivyo kaamua kuzuga tu ili kuwatuliza wananchi.
 
Tena next time tanesco wakate umeme masaaa hata 110 totally blackout.....
Watanzania watavumiliaaa tu ila matusi mtandoni mtakula

Ova
 
No matter what source of energy you will use to pump the water back to the dam; you will have to use the same amount of energy generated by the water.

Ukisikia zero work done ndio hivyo sasa.
Kujenga mto uzunguke urudi tena bwawani???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…