Dotto Biteko: Tumezima mtambo wa bwawa la Mwl Nyerere
Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amesema kuwa mashine moja iliyokuwa imewashwa kwenye bwawa la Mwl Nyerere imezimwa baada ya maji kujaa sana kwenye bwawa kinyume na matarajio ya awali kwamba bwawa hilo litatumia miaka 2 kujaa lakini sasa limetumia mwezi mmoja tu kujaa na sasa maji yanalazimika kupunguzwa.

Hapo mwanzo Chadema walitoa tahadhari kwamba bwawa halitajaa kutokana na miti millioni 3 kukatwa na Magufuli hivyo kupelekea uharibifu wa mazingira na ukame nchini.
Chadema unawasingizia 😂😂😂
 
Ali tabiri lema uyo mtabiri wao..hadi mvua ana tabiri siku hizi
 
[emoji706] kwani hawakujiwekea level kwamba maji yakifika hapa au level flani basi eneo maji yanapoingilia pafungwe kuzuia maji ya ziada

Zinatakiwa ziwashwe mashine zote 9, sasa wao wamewasha moja tu sijui wanategemea nini
 
Sababu ya kitoto inapotolewa na mtu Mzima tunayeamini ana utimilifu na utimamu wa akili,,Kwa kila atakachojaribu zungumza mbele ya watu Wazima wenzake ambao pia tunaamini tuna akili timilifu na timamu,,lakini sasa ajabu ilioje mtu mzima mwenzetu huyu national Kwanza:Sisi ni watoto,,,Pili:Anatueleza Kana kwamba Au ametuona sisi punguani hatuna utimamu na utimilifu wa akili###INASIKITISHASANA##
 
Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amesema kuwa mashine moja iliyokuwa imewashwa kwenye bwawa la Mwl Nyerere imezimwa baada ya maji kujaa sana kwenye bwawa kinyume na matarajio ya awali kwamba bwawa hilo litatumia miaka 2 kujaa lakini sasa limetumia mwezi mmoja tu kujaa na sasa maji yanalazimika kupunguzwa.

Hapo mwanzo Chadema walitoa tahadhari kwamba bwawa halitajaa kutokana na miti millioni 3 kukatwa na Magufuli hivyo kupelekea uharibifu wa mazingira na ukame nchini.
Hii unawakumbusha Chadema ukiwa muongo uwe na kumbu kumbu!
 
Tuwekee hiyo official statement ya Chadema iliyosema bwawa halitajaa kutokana na kukatwa miti,vinginevyo mods futeni huu uzushi,JF inafanywa jukwaa la Uzushi na mods mnachekelea tu.

Tulia mmumbuliwe unafiki na ujinga wenu
 
Basi hili bwawa halitofanya kazi kabisa kama Kuna makosa ya kiutaalamu kiasi hiki?? Kadirio iwe ni kujaa kwa miaka 2 halafu lijae kwa mwzi mmoja? !! Hii siyo error, ni mistake.

Naibu waziri awe mkweli tu. Kilichosababisha mtambo kuzimwa ni kiasi kikubwa cha maji yanayomwagikia mto Ruvu na kusababisha mafuriko makubwa maeneo yote ya Kibiti.


Hili bwawa halikujengwa kitaalamu na hata utafiti wa athari za kimazingira haukuzingatiwa . Mm kishoka wa TANESCO nayajua haya. Biteko asiongope.

Lilikosewa wapi?
 
Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amesema kuwa mashine moja iliyokuwa imewashwa kwenye bwawa la Mwl Nyerere imezimwa baada ya maji kujaa sana kwenye bwawa kinyume na matarajio ya awali kwamba bwawa hilo litatumia miaka 2 kujaa lakini sasa limetumia mwezi mmoja tu kujaa na sasa maji yanalazimika kupunguzwa.

Hapo mwanzo Chadema walitoa tahadhari kwamba bwawa halitajaa kutokana na miti millioni 3 kukatwa na Magufuli hivyo kupelekea uharibifu wa mazingira na ukame nchini.
Kwani ni chadematu. Vipi Nape na Makamba nao walisemaje bila kumsahau Kigwa
 
Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amesema kuwa mashine moja iliyokuwa imewashwa kwenye bwawa la Mwl Nyerere imezimwa baada ya maji kujaa sana kwenye bwawa kinyume na matarajio ya awali kwamba bwawa hilo litatumia miaka 2 kujaa lakini sasa limetumia mwezi mmoja tu kujaa na sasa maji yanalazimika kupunguzwa.

Hapo mwanzo Chadema walitoa tahadhari kwamba bwawa halitajaa kutokana na miti millioni 3 kukatwa na Magufuli hivyo kupelekea uharibifu wa mazingira na ukame nchini.
Hii serikali yetu kama watoto wa nursery yaani kila kitu ni majaribio tu..
Sasa maji yakiwa hakuna umeme shida maji yakiwa mengi umeme shida
Hii ni nchi au ni henge la wahuni..
 
Design ya kwanza ya Brazil mwendazake aliipiga chini, kwa kisingizio ni gharama kubwa.

Hayo ni matokeo ya kupunguza gharama.

Yule jamaa alitumia formula za chemicals kufanya economics za Hydro engineering. Hayo ndiyo matokeo ya ujinga wa Mtanzania.
 
Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amesema kuwa mashine moja iliyokuwa imewashwa kwenye bwawa la Mwl Nyerere imezimwa baada ya maji kujaa sana kwenye bwawa kinyume na matarajio ya awali kwamba bwawa hilo litatumia miaka 2 kujaa lakini sasa limetumia mwezi mmoja tu kujaa na sasa maji yanalazimika kupunguzwa.

Hapo mwanzo Chadema walitoa tahadhari kwamba bwawa halitajaa kutokana na miti millioni 3 kukatwa na Magufuli hivyo kupelekea uharibifu wa mazingira na ukame nchini.
Huyu mtu anaeitwa Etwege ni mjomba wa Lucas Mwashambwa na Lisibon? Akili zao naona ni kama zina ufanano fulani.

Hujui mabadiliko ya tabia nchi yanasababishwa na mazingira? Hilo bwawa kama limejaa kwa mwezi mmoja badala ya miaka miwili iliyotabiriwa, kuna kipindi halitajaa kwa miaka minne. Tumieni akili mnapojenga hoja.
 
Mambo ya aibu. Kwahiyo hilo bwawa limejengwa kama mtungi halina njia za kutolea maji (outlet ). Basi TANESco waende na ndoo zao wakachote
Naamini outlets zipo, ndio maana siku chache zilizopita walisema watayafungulia maji hivyo kuwataka wakazi wa maeneo jirani kuwa waangalifu.
 
[emoji706] kwani hawakujiwekea level kwamba maji yakifika hapa au level flani basi eneo maji yanapoingilia pafungwe kuzuia maji ya ziada
Hapo sasa. Kwanza poor forecast. Miaka 2 kwa mwezi mmoja? Pili maji yamejaa sawa, hapakuwa na plan yakifika level husika yaende wapi?
 
Ndio uwezo wetu ulipoishia. Kama sio maji hakuna ndio maana kuna mgao wa umeme, basi maji yamezidi ndio maana hakuna umeme.

Inafikirisha sana. Tumekwama katikati ya ziwa lenye matope. Ipo siku wajukuu zetu wataona mambo tofauti na hivyo watafanya mambo tofauti na tunavyoyaendesha au kufanya.
 
Back
Top Bottom