Dotto Biteko: Tumezima mtambo wa bwawa la Mwl Nyerere
Hiyo milango ni kwa ajili ya kupunguza maji ambayo yamezidi dam level sasa Cha kushangaza tunaambiwa mashine inazimwa sababu ya maji kujaa. Duh!
View attachment 2952794
Husiangaike na hawa kondoo wanaotafuta malisho, kila linalosemwa hawawezi kutumia akili yao kuchambua wanaruka nalo lilivyo na madongo kwa Chadema ambayo kimsingi haihusiki na chochote.
 
Kwa hiyo mkuu MGAO unarudi tujipange au hakuna mgao?
 
Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amesema kuwa mashine moja iliyokuwa imewashwa kwenye bwawa la Mwl Nyerere imezimwa baada ya maji kujaa sana kwenye bwawa kinyume na matarajio ya awali kwamba bwawa hilo litatumia miaka 2 kujaa lakini sasa limetumia mwezi mmoja tu kujaa na sasa maji yanalazimika kupunguzwa.

Hapo mwanzo Chadema walitoa tahadhari kwamba bwawa halitajaa kutokana na miti millioni 3 kukatwa na Magufuli hivyo kupelekea uharibifu wa mazingira na ukame nchini.
Ni hatari sana.Inaonekana limejengwa chini ya usawa wa bahari.Litakuwa likijaa kupitiliza kila mvua zikinyesha.
 
SAWA,RUDISHENI MGAWO ehe mgawo utaanza lini??

Ova
 
Basi hili bwawa halitofanya kazi kabisa kama Kuna makosa ya kiutaalamu kiasi hiki?? Kadirio iwe ni kujaa kwa miaka 2 halafu lijae kwa mwzi mmoja? !! Hii siyo error, ni mistake.

Naibu waziri mkuu awe mkweli tu. Kilichosababisha mtambo kuzimwa ni kiasi kikubwa cha maji yanayomwagikia mto Ruvu na kusababisha mafuriko makubwa maeneo yote ya Kibiti.


Hili bwawa halikujengwa kitaalamu na hata utafiti wa athari za kimazingira haukuzingatiwa . Mm kishoka wa TANESCO nayajua haya. Biteko asiongope.
Tena siyo mistake, itakuwa ni blunder. Yaani plan ni bwawa lijae kwa miaka 2 halafu linajaa kwa mwezi mmoja! Kama ujenzi ulizingatia maji kujaa kwa miaka miwili, halafu mwezi mmoja tu limejaa, bwawa hili linaweza kuwa ni janga.

Kwa kawaida, kuta zinajengwa kwaajili ya kuhimili uzito fulani kwa muda fulani tu, na any excessive water volume huwa ina njia ya kutokea. Kama hakuna njia ya kutolea excessive water volume, basi hili bwawa letu litakuwa la ajabu!
 
Tena siyo mistake, itakuwa ni blunder. Yaani plan ni bwawa lijae kwa miaka 2 halafu linajaa kwa mwezi mmoja! Kama ujenzi ulizingatia maji kujaa kwa miaka miwili, halafu mwezi mmoja tu limejaa, bwawa hili linaweza kuwa ni janga. Kwa kawaida, kuta zinajengwa kwaajili ya kuhimili uzito fulani kwa muda fulani tu, na any excessive water volume huwa ina njia ya kutokea. Kama hakuna njia ya kutolea excessive water volume, basi hili bwawa letu litakuwa la ajabu!

..mwanzo Biteko alisema wanawasha mitambo, kabla ya walivyokuwa wameahidi, kwasababu tumebarikiwa mvua nyingi.

..sasa Biteko kageuza kauli kwamba mitambo inazimwa kwasababu tumepata mvua nyingi. Yaani sababu ya kuwasha mitambo ndiyo hiyohiyo sababu ya kuzima mitambo.
 
kinyume na matarajio ya awali kwamba bwawa hilo litatumia miaka 2 kujaa lakini sasa limetumia mwezi mmoja tu kujaa na sasa maji yanalazimika kupunguzwa

Maswali ni mengi ambayo hayajajibiwa kitaalamu na watu wa Mradi wa JNHPP

TOKA MAKTABA:

JNHPP halijaanza uzalishaji umeme wowote kwa kuwa ujenzi wake unaendelea chini ya changamoto kubwa

Maelezo ya mhandisi katika mradi wa bwawa la umeme la JNHPP Rufiji kwa mh. Naibu Waziri Mkuu, jinsi ya kuimarisha mwamba ambao ndiyo msingi wa ukuta na tuta la bwawa la JNHPP Rufiji kitaalamu zoezi linaitwa grout curtain.

Hivyo kwa sasa maji yanafunguliwa kwa wingi yasijaze bwawa maana linaweza kubomoka kutokana na michoro ya ramani ilivyotaka haikufuatwa.

ZIARA YA NAIBU WAZIRI MKUU BWAWA LA JNHPP TAREHE 18 September 2023

Mhandisi wa mradi anafafanua kwa naibu waziri mkuu aliye pia waziri wa nishati Mh. Dotto Biteko juu umuhimu wa kufanya grout curtain kuimarisha msingi wa bwawa kuzuia maji kupenya ktk msingi / foundation kuzuia hatari kubwa ya dhahiri :


View: https://m.youtube.com/watch?v=Y8CkZ4Za7Gw

1712148599701.png



A vertical section through a concrete dam is shown here. The stored water is on the left and the grout curtain is shown in black, with the drainage curtain downstream of it also in black.

seepage under concrete gravity dam


An exaggerated example is shown at a concrete gravity dam where wide cracks in a foundation permit seepage to pass under the dam and emerge downstream.

downwards, counteracts against the water pressure to stop the dam overturning about the downstream toe.

3. If there is no grouting under the dam seepage can potentially pass along open cracks at its base and exert pressure upwards. This acts to reduce the effect of the dam's weight and therefore reduces its safety.
The illustration shows a dam tilting about its downstream toe because the dam has insufficient weight to withstand the combined effect of storage pressure and uplift pressure.



4. However, if a grout curtain intercepts the seepage and thereby cuts off most of the uplift pressure, the dam's stability is improved.

 st francis dam failed.

This dam failed because of foundation problems.

Blocks of it tilted around the downstream toe and were then washed downstream by the suddenly released water. One of them remained and can be seen lying on its back beyond the two blocks which did not fail.


CHANGAMOTO :

Injinia akielezea changamoto iliyowakuta wakandarasi mainjinia bwawa la Aswan Dam nchini Misri na anafafanua njia ya kukabiliana na uwezekano wa bwawa kuvunjika kwa kutumia utaalamu wa kiuhandisi kuzuia hatari hivyo kwa mbinu ya ziada kuimarisha msingi na tuta kwa kufanya grout curtain kuziba nyufa zinazoweza kupenyeze / kuvuja maji chini ya msingi / foundation.

Grout curtain :

1712149428350.png


THE CONSTRUCTION CHALLENGES ASWAN HIGH DAM, EGYPT

View: https://m.youtube.com/watch?v=0VaCxQnrAFY
The designing of the Aswan High Dam faced many difficulties, for it has to be constructed on a pervious foundation in the lake of the existing Aswan Dam.

The whole extent of the main dam foundation will be covered with a layer of compacted dune sand about 82 feet deep.

The rockfill above this layer will have a clay core made of Nile silt. The dam will be protected against seepage by two lines of defence, a horizontal impervious blanket in the upstream part and a vertical grout curtain descending in the pervious bed of the river to a depth of 690 feet until it strikes natural bed rock.

This grout curtain will plug the voids in the layers of sedimentary materials underneath the dam.
 
Tena siyo mistake, itakuwa ni blunder. Yaani plan ni bwawa lijae kwa miaka 2 halafu linajaa kwa mwezi mmoja! Kama ujenzi ulizingatia maji kujaa kwa miaka miwili, halafu mwezi mmoja tu limejaa, bwawa hili linaweza kuwa ni janga. Kwa kawaida, kuta zinajengwa kwaajili ya kuhimili uzito fulani kwa muda fulani tu, na any excessive water volume huwa ina njia ya kutokea. Kama hakuna njia ya kutolea excessive water volume, basi hili bwawa letu litakuwa la ajabu!

Kama mvua zimenyesha nyingi lisijae?
 
..mwanzo Biteko alisema wanawasha mitambo, kabla ya walivyokuwa wameahidi, kwasababu tumebarikiwa mvua nyingi.

..sasa Biteko kageuza kauli kwamba mitambo inazimwa kwasababu tumepata mvua nyingi. Yaani sababu ya kuwasha mitambo ndiyo hiyohiyo sababu ya kuzima mitambo.

Hahaha ni shida mkuu
 
Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amesema kuwa mashine moja iliyokuwa imewashwa kwenye bwawa la Mwl Nyerere imezimwa baada ya maji kujaa sana kwenye bwawa kinyume na matarajio ya awali kwamba bwawa hilo litatumia miaka 2 kujaa lakini sasa limetumia mwezi mmoja tu kujaa na sasa maji yanalazimika kupunguzwa.

Hapo mwanzo Chadema walitoa tahadhari kwamba bwawa halitajaa kutokana na miti millioni 3 kukatwa na Magufuli hivyo kupelekea uharibifu wa mazingira na ukame nchini.
Kwani bwawa kubwa hivyo halina auto regulation ya water level, kwamba maji yakizidi level fulani yatoke bila kupitia kwenye mitambo, mbona hiyo ni common engineering design, mmmhhh..!!
 
Kwahiyo maji yakijaa sana watakuwa wakizima mitambo na yakipungua watakuwa wakizima mitambo!
 
Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amesema kuwa mashine moja iliyokuwa imewashwa kwenye bwawa la Mwl Nyerere imezimwa baada ya maji kujaa sana kwenye bwawa kinyume na matarajio ya awali kwamba bwawa hilo litatumia miaka 2 kujaa lakini sasa limetumia mwezi mmoja tu kujaa na sasa maji yanalazimika kupunguzwa.

Hapo mwanzo Chadema walitoa tahadhari kwamba bwawa halitajaa kutokana na miti millioni 3 kukatwa na Magufuli hivyo kupelekea uharibifu wa mazingira na ukame nchini.
Mabwawa yote yana kitu kinaitwa mchepuko (spilway). Sasa maji yakizidi yanafunguliwa kupita. Sasa kama mmefungua pua moja kutoa maji ya kuzalisha umeme kwa nini zile pua 7 zilizobaki zisifunguliwe pamoja na mchepuko kupunguza maji HARAKA? KUNA VIPIMO KWENYE MTO KUONYESHA MAJI YANAYOINGIA NA KUSAIDIA KUTOA UAMUZI WA KUPUNGUZA MAJI MAPEMA AU LA. BWAWA LETU KIJIJINI WANAFUNGULIA SPILLWAY NA BOMBA ZA KUTO maji yanayozidi full mpaka yanaingia mtoni kuokoa bwawa. Pia kidatu mvua zile za elnino za 1998 mbona maji hayajaingia ktk mitambo? Hao walikuwa hawakuangalia kIasi kikubwa cha naji kilichokuwa kikiingia ili kuanza kuyapunguza kabla hayajajaza bwawa kiasi cha kuhatarisha bwawa kuzidiwa maji yanayoIngia. KUNA UZEMBE.
 
That is a very stupid reason, kama Doto amekubali hiyo basi nayeye ni kiazi tu kama Januari.

Bwawa lina njia yake ya kupinguzia maji, unaweza kupunguza maji huku unaendelea kuzalisha umeme.

SSH kazi anayo, akitoboa 2025 basi aende hija. Jamaa wanamtengenezea kila aina ya matatizo ili ionekane nchi imemshinda.
kwano sababu za kumteua kuwa naibu waziri mkuu zimeisha?
 
Back
Top Bottom