I feel good
JF-Expert Member
- Oct 21, 2016
- 804
- 1,362
To hell uharibifu wa mazingira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mtu anaeitwa Etwege ni mjomba wa Lucas Mwashambwa na Lisibon? Akili zao naona ni kama zina ufanano fulani.
Hujui mabadiliko ya tabia nchi yanasababishwa na mazingira? Hilo bwawa kama limejaa kwa mwezi mmoja badala ya miaka miwili iliyotabiriwa, kuna kipindi halitajaa kwa miaka minne. Tumieni akili mnapojenga hoja.
MagufuriUwezi kumkimbia MAGUFURI ukataka kufuta LEGACY yake
Atakumbukwa Daima Baba wa uzarendo TANZANIA na AFRICA kwa ujumla ukiwaweka sahani moja na wamba waAFRCA kama GWIJI NYERERE DADA IDIAMIN MUGABE LUMUMBA na GADDAFI hao wamba waliamini maendeleo ya AFRCA yataletwa na WAAFRCA wenyewe
Sio chadema tu. Mbona hamuwazomei januari makamba na nape nauye japo walikua kwenye serikali ya jpm kwa kua vibaraka wa ubeberu wakadiriki kupinga ujenzi wa bwawa hilo kwa kisingizio cha mazingira.Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amesema kuwa mashine moja iliyokuwa imewashwa kwenye bwawa la Mwl Nyerere imezimwa baada ya maji kujaa sana kwenye bwawa kinyume na matarajio ya awali kwamba bwawa hilo litatumia miaka 2 kujaa lakini sasa limetumia mwezi mmoja tu kujaa na sasa maji yanalazimika kupunguzwa.
Hapo mwanzo Chadema walitoa tahadhari kwamba bwawa halitajaa kutokana na miti millioni 3 kukatwa na Magufuli hivyo kupelekea uharibifu wa mazingira na ukame nchini.
CCM msivyo na haya wala akili, hata bungeni mtasema mambo hayaendi vizuri kwa sababu CHADEMA hawapo...!Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amesema kuwa mashine moja iliyokuwa imewashwa kwenye bwawa la Mwl Nyerere imezimwa baada ya maji kujaa sana kwenye bwawa kinyume na matarajio ya awali kwamba bwawa hilo litatumia miaka 2 kujaa lakini sasa limetumia mwezi mmoja tu kujaa na sasa maji yanalazimika kupunguzwa.
Hapo mwanzo Chadema walitoa tahadhari kwamba bwawa halitajaa kutokana na miti millioni 3 kukatwa na Magufuli hivyo kupelekea uharibifu wa mazingira na ukame nchini.
Huoni hao kina Biteko ni vilaza wa kutupwa na wanafanya kazi kwa kubahatisha? Subiri siku si nyingi ukame unakuja ndiyo utajua CCM ni ma-vilaza.Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amesema kuwa mashine moja iliyokuwa imewashwa kwenye bwawa la Mwl Nyerere imezimwa baada ya maji kujaa sana kwenye bwawa kinyume na matarajio ya awali kwamba bwawa hilo litatumia miaka 2 kujaa lakini sasa limetumia mwezi mmoja tu kujaa na sasa maji yanalazimika kupunguzwa.
Hapo mwanzo Chadema walitoa tahadhari kwamba bwawa halitajaa kutokana na miti millioni 3 kukatwa na Magufuli hivyo kupelekea uharibifu wa mazingira na ukame nchini.
Huyu nae ni mhusuka?Damu ya Thadei Ole Mushi itakutesa sana hadi siku unaingia kaburini
Naona umekuwa mganga wa kienyeji ghafla. Lisipojaa miaka minne mfuluizo je? Tunaongea mabadiliko ya tabia nchi yanayosababishwa na uharibifu wa mazingira, wewe unaongea ramli. Anyway, hakukuwa na plan kwamba maji ya kijaa zaidi ya kiwango yaende wapi hadi wazime mitambo? Mnakuwa kama mikondoo fulani vile!!!Na likijaa miaka 4 mfululizo utasema nini?
Ujinga ni kipaji hapo ufipa
Huyo ndiye alichukua hiyo kandarasi ya kumlisha sumu kwa vile alikuwa mtu wake wa karibu. Mtoto shetani kabisa huyo.Huyu nae ni mhusuka?
Okay sawa 🐒Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amesema kuwa mashine moja iliyokuwa imewashwa kwenye bwawa la Mwl Nyerere imezimwa baada ya maji kujaa sana kwenye bwawa kinyume na matarajio ya awali kwamba bwawa hilo litatumia miaka 2 kujaa lakini sasa limetumia mwezi mmoja tu kujaa na sasa maji yanalazimika kupunguzwa.
Hapo mwanzo Chadema walitoa tahadhari kwamba bwawa halitajaa kutokana na miti millioni 3 kukatwa na Magufuli hivyo kupelekea uharibifu wa mazingira na ukame nchini.
Sasa na wewe mjinga umejaa kwenye uongo wa kuzima mashine kwasababu ya maji kujaa,kwa taarifa Yako hizo mashine maji yakiwa mengi ndiyo zinahitaji haswa nyie mbuzi Poli Kila uongo mnaumeza pumbavu kabisa!Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amesema kuwa mashine moja iliyokuwa imewashwa kwenye bwawa la Mwl Nyerere imezimwa baada ya maji kujaa sana kwenye bwawa kinyume na matarajio ya awali kwamba bwawa hilo litatumia miaka 2 kujaa lakini sasa limetumia mwezi mmoja tu kujaa na sasa maji yanalazimika kupunguzwa.
Hapo mwanzo Chadema walitoa tahadhari kwamba bwawa halitajaa kutokana na miti millioni 3 kukatwa na Magufuli hivyo kupelekea uharibifu wa mazingira na ukame nchini.
Kwani bwawa halina spillway...!!!? Wanatuonaje hawa? Au spillway imezibwa na magogo?lakini sasa limetumia mwezi mmoja tu kujaa na sasa maji yanalazimika kupunguzwa.
The way you blame ccm, everyday!Chadema inakusumbua akilini na upo makini nayo kuliko mke wako.
Hiyo milango ni kwa ajili ya kupunguza maji ambayo yamezidi dam level sasa Cha kushangaza tunaambiwa mashine inazimwa sababu ya maji kujaa. Duh!Kwenye HydroDams huwa kuna Spilway ambazo lengo lake ni kuzuia Bwawa kujaa Maji kupita kiasi.
Badala ya kuliongelea hilo Scapegoat ni CHADEMA?.
Haiwezekani!!Bwawa walijenga kwa haraka haraka pale ikakosekana njia mbdala ya kuchepusha maji hayo mengi?