Dotto Biteko: Tumezima mtambo wa bwawa la Mwl Nyerere
Huyu mtu anaeitwa Etwege ni mjomba wa Lucas Mwashambwa na Lisibon? Akili zao naona ni kama zina ufanano fulani.

Hujui mabadiliko ya tabia nchi yanasababishwa na mazingira? Hilo bwawa kama limejaa kwa mwezi mmoja badala ya miaka miwili iliyotabiriwa, kuna kipindi halitajaa kwa miaka minne. Tumieni akili mnapojenga hoja.

Na likijaa miaka 4 mfululizo utasema nini?

Ujinga ni kipaji hapo ufipa
 
Uwezi kumkimbia MAGUFURI ukataka kufuta LEGACY yake
Atakumbukwa Daima Baba wa uzarendo TANZANIA na AFRICA kwa ujumla ukiwaweka sahani moja na wamba waAFRCA kama GWIJI NYERERE DADA IDIAMIN MUGABE LUMUMBA na GADDAFI hao wamba waliamini maendeleo ya AFRCA yataletwa na WAAFRCA wenyewe
Magufuri

Dah
 
Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amesema kuwa mashine moja iliyokuwa imewashwa kwenye bwawa la Mwl Nyerere imezimwa baada ya maji kujaa sana kwenye bwawa kinyume na matarajio ya awali kwamba bwawa hilo litatumia miaka 2 kujaa lakini sasa limetumia mwezi mmoja tu kujaa na sasa maji yanalazimika kupunguzwa.

Hapo mwanzo Chadema walitoa tahadhari kwamba bwawa halitajaa kutokana na miti millioni 3 kukatwa na Magufuli hivyo kupelekea uharibifu wa mazingira na ukame nchini.
Sio chadema tu. Mbona hamuwazomei januari makamba na nape nauye japo walikua kwenye serikali ya jpm kwa kua vibaraka wa ubeberu wakadiriki kupinga ujenzi wa bwawa hilo kwa kisingizio cha mazingira.
 
Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amesema kuwa mashine moja iliyokuwa imewashwa kwenye bwawa la Mwl Nyerere imezimwa baada ya maji kujaa sana kwenye bwawa kinyume na matarajio ya awali kwamba bwawa hilo litatumia miaka 2 kujaa lakini sasa limetumia mwezi mmoja tu kujaa na sasa maji yanalazimika kupunguzwa.

Hapo mwanzo Chadema walitoa tahadhari kwamba bwawa halitajaa kutokana na miti millioni 3 kukatwa na Magufuli hivyo kupelekea uharibifu wa mazingira na ukame nchini.
CCM msivyo na haya wala akili, hata bungeni mtasema mambo hayaendi vizuri kwa sababu CHADEMA hawapo...!

Hivi CCM na serikali yenu mnayoiongoza itatokea hata siku moja mkawa wakweli kwa kufanya hata mpango mmoja tu ukakamilika kwa uzuri na watu wakafurahi na kusema "...eeh, hili wamefanya vyema...?"

Maana kila kitu ni ukweli mchache lakini uongo na blah blah nyingi. Kwa ishu ya umeme kwenu lipi ni sahihi? Maji yakiwa mengi, umeme shida. Vivyo hivyo maji yakipungua tatizo la umeme linakuwepo tu...!

CCM, hebu tuambieni lipi mlishawahi kulifanya likawa sahihi? Mnashindwa wenyewe halafu mnarusha mzigo kwa CHADEMA, mna akili kweli nyie?
 
Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amesema kuwa mashine moja iliyokuwa imewashwa kwenye bwawa la Mwl Nyerere imezimwa baada ya maji kujaa sana kwenye bwawa kinyume na matarajio ya awali kwamba bwawa hilo litatumia miaka 2 kujaa lakini sasa limetumia mwezi mmoja tu kujaa na sasa maji yanalazimika kupunguzwa.

Hapo mwanzo Chadema walitoa tahadhari kwamba bwawa halitajaa kutokana na miti millioni 3 kukatwa na Magufuli hivyo kupelekea uharibifu wa mazingira na ukame nchini.
Huoni hao kina Biteko ni vilaza wa kutupwa na wanafanya kazi kwa kubahatisha? Subiri siku si nyingi ukame unakuja ndiyo utajua CCM ni ma-vilaza.
 
Na likijaa miaka 4 mfululizo utasema nini?

Ujinga ni kipaji hapo ufipa
Naona umekuwa mganga wa kienyeji ghafla. Lisipojaa miaka minne mfuluizo je? Tunaongea mabadiliko ya tabia nchi yanayosababishwa na uharibifu wa mazingira, wewe unaongea ramli. Anyway, hakukuwa na plan kwamba maji ya kijaa zaidi ya kiwango yaende wapi hadi wazime mitambo? Mnakuwa kama mikondoo fulani vile!!!
 
Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amesema kuwa mashine moja iliyokuwa imewashwa kwenye bwawa la Mwl Nyerere imezimwa baada ya maji kujaa sana kwenye bwawa kinyume na matarajio ya awali kwamba bwawa hilo litatumia miaka 2 kujaa lakini sasa limetumia mwezi mmoja tu kujaa na sasa maji yanalazimika kupunguzwa.

Hapo mwanzo Chadema walitoa tahadhari kwamba bwawa halitajaa kutokana na miti millioni 3 kukatwa na Magufuli hivyo kupelekea uharibifu wa mazingira na ukame nchini.
Okay sawa 🐒
 
Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amesema kuwa mashine moja iliyokuwa imewashwa kwenye bwawa la Mwl Nyerere imezimwa baada ya maji kujaa sana kwenye bwawa kinyume na matarajio ya awali kwamba bwawa hilo litatumia miaka 2 kujaa lakini sasa limetumia mwezi mmoja tu kujaa na sasa maji yanalazimika kupunguzwa.

Hapo mwanzo Chadema walitoa tahadhari kwamba bwawa halitajaa kutokana na miti millioni 3 kukatwa na Magufuli hivyo kupelekea uharibifu wa mazingira na ukame nchini.
Sasa na wewe mjinga umejaa kwenye uongo wa kuzima mashine kwasababu ya maji kujaa,kwa taarifa Yako hizo mashine maji yakiwa mengi ndiyo zinahitaji haswa nyie mbuzi Poli Kila uongo mnaumeza pumbavu kabisa!
Screenshot_20240403-134824.png
 
Yaani mmeshindwa kufanya risk analysis mnatumia CHADEMA kama kivuli cha kuzima failure zenu.
 
Kwenye HydroDams huwa kuna Spilway ambazo lengo lake ni kuzuia Bwawa kujaa Maji kupita kiasi.

Badala ya kuliongelea hilo Scapegoat ni CHADEMA?.
 
Werevu walijua hilo siku nyingi.

1.Mvua ikiwa nyingi umeme hakuna,Tanzania hiyo.Juzi tulisikia kuwa kule Kidatu/Kihansi mvua zimeiingia kwenye Machine kubwa ndio maana umeme ulikatika ghafla.

2.Mvua isipokuwepo utaambiwa umeme utakaa sawa zikinyesha umeme utakaa sawa.

3.Mvua zikiwa za kati watakuambia kuwa hazitoshi kujaza Bwawa hizo.


Sasa lipi jema kwa Nchi yetu nzuri?
Ina maana mitambo itakuwa inawashwa na kuzimwa kila kukiwa na mvua kubwa?
Mitambo tuliyoaamnishwa kuwa haitazimwa?

Bwawa walijenga kwa haraka haraka pale ikakosekana njia mbdala ya kuchepusha maji hayo mengi?

Inaama hakuna njia mbdala za kitaalamu?
Baadae waje waseme kuwa maji yaliyofungilwa yalikuwa mengi sana ndio maana umeme pia hautoshi pale.
 
Yeye Bashe, inamaana kilimo chake anakifanyia wapi,??.

Hayo maji sindo yatumike pia kufanya Kilimo Cha umwagiliaji
 
Inawezekana anahujumiwa kwa makusudi ili aonekane hafai? Inawezekana vipi iwe hivi wakati yeye ndio top anajua kila kitu kinafanyikaje hapa kisiwani? Ndio asijue wanaomfanyia haya??? Wakubwa zaidi yake? Najiuliza tuu....
 
Back
Top Bottom