Dotto Biteko: Tumsaidie Rais Samia kujenga Nchi

Dotto Biteko: Tumsaidie Rais Samia kujenga Nchi

Siku hizi nchi inajengwa na rais na sio serikali tena
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa imewekwa pembeni mkuu.
Kwa sasa ipo serikali ya Mh mama SSH.
Sicilia inavyotajwa kwenye majukwaa na vyombo vya habari. 🤣🤣🤣
 
Hakuna mpenda haki aliyeshiriki uchaguzi wa kihayawani wa 2020. Labda kama ni sifa za kinafki.
Mmezoea kubembelezwa. Mlivyo walkway mzee wa kazi akawapotezea mkakoswa mwelekeo basi ikawa Nongwa. Jaribuni kususia Tena mtasugua benchi hadi mvi zitawatoka mabwege kabisa.
 
Mmezoea kubembelezwa. Mlivyo walkway mzee wa kazi akawapotezea mkakoswa mwelekeo basi ikawa Nongwa. Jaribuni kususia Tena mtasugua benchi hadi mvi zitawatoka mabwege kabisa.
Hakuna anayetaka kubembelezwa ila tunawashangaa chama kina miaka 50+ Bado kinategemea kupora uchaguzi kukaa madarakani kwa shuruti! Hakuna mwenye shida na uongozi unaopatikana kwa njia za kihayawani. Waliopoteza ushawishi ndio wanategemea mabavu kukaa madarakani.
 
Back
Top Bottom