Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi nilisha wachaga kwenda kwenye nyumba za ibada kabisa
In God we Trust
Yani Fighting For Food For Four Years.
Kila nikimuona Makonda namuona pia Musiba ndani yake, watu wa ovyo ovyo
Sent using Jamii Forums mobile app
kamanda wa watu wasiojulikana, umesahau mkuu?!.Hivi kuna nini nyuma ya pazia?
In God we Trust
Namashaka ubongo wako una corona tayari sio bureHivi kwa nini ufipa boys hamnaga akili kabisa?
Maana yake asingeumwa mtoto wa mbowe mikutano ingekuwa pale pale?
Tumeshajua dawa yake siku nyingine akiitisha maandamano tunatanguliza watoto wake ,hasa wale wa Joyce Mkuya na bila shaka atayasitisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kipindi huwa najiiliza maswali mengi sana Na miongoni ya maswali hayo.
1.Hivi Watu wanapokuwa Kwenye nyumba za kuabudu (Makanisani Na misikitini) huwa wanakwenda Kwa ajili ya kujionesha ama wanamaanisha?
Kwa nini najiuliza
Leo asubuhi nimeamka na kukutana na Vidio ya Kiongozi tena wa Serikali ambaye mara kwa mara huwa namuona anakaribishwa mpaka kwenye madhabahu ya kanisa na kupewa nafasi ya kuhubiri ,leo anaamka na kuandaa mkusanyiko halafu anaanza kumkebehi Mzazi wa mtu kuwa anashukuru sana huyo mtu mwanae kupatwa Ugonjwa wa Corona.Hivi kweli dini zinatufundisha kuombeana watu mabaya?kufurahi wengine wanapopata shida na kuteseka ?
2.Swali la pili,huwa najiuliza hivi Shuleni na Vyuoni yanayofundishwa ndiyo yanayofanyika huku nje?maana nakumbuka nilipokuwa Chuo Kikuu,nilisoma kidogo Kwa muhula mmoja somo ya Uongozi.
Nilifundishwa kuwa unapochaguliwa kuwa Kiongozi basi fahamu miongoni mwa Kazi zako ni Kuwa Mfariji Mkuu.
Sasa leo nimeamka asubuhi na kukutana na vidio ya Kiongozi mkuu wa ngazi ya Mkoa,anatangaza kwa kukebehi huku akifurahia moja ya wananchi ndani ya Mkoa wake kukutwa Na maambukizi ya Virusi vya Corona,kisa Baba wa huyo mtoto wanatofautiana Vyama vya Siasa.
Najiuliza Prof aliyenifundisha kuwa unapokuwa Kiongozi wewe ni mfariji mkuu,alikuwa ananiongopea?mbona baadhi ya Viongozi(Kama alivyofanya mkuu wa mkoa) ameshindwa kusimama Kwenye nafasi ya Mfariji mkuu na badala yake kaamua kuianza siku Kwa kwenda Kwenye mikusanyiko na kumtangaza mwanafamilia wa ndani ya Mkoa kuwa anaugonjwa wa Corona huku alienda mbali zaidi Kwa kusema anamshukuru Mungu familia hiyo kupatwa na janga la Corona?
Mungu Ibariki Tanzania
In God we Trust
Kumbe tuko wengiBinafsi nilisha wachaga kwenda kwenye nyumba za ibada kabisa
In God we Trust
Hivi kwa nini ufipa boys hamnaga akili kabisa?
Maana yake asingeumwa mtoto wa mbowe mikutano ingekuwa pale pale?
Tumeshajua dawa yake siku nyingine akiitisha maandamano tunatanguliza watoto wake ,hasa wale wa Joyce Mkuya na bila shaka atayasitisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi nilisha wachaga kwenda kwenye nyumba za ibada kabisa
In God we Trust
Absolutely true