Dotto Bulendu amchambua Paul Makonda

Dotto Bulendu amchambua Paul Makonda

Tusisingizie imani za dini, tabia huzalisha mazoea. Tabia ya kudharirisha mtu asie wa itikadi yako imezaliwa na kukuzwa sasa imekuwa mazoea. Kuna waliotangaza na kushangili mgonjwa aliye na "purse maker" hadi kuzusha amekufa na watu kufanya sherehe. Ndio tabia yetu sasa.
 
Ukiacha Mgonjwa wa Corona aliyeshabikiwa na Mheshimiwa kuna aliyeitwa Mchawi, hivi serikali inajihusisha na mambo ya kichawi au nini nini hii?
 
Hivi kuna tukio la ajabu kama lile la kwenda Arusha kwenye tukio la mazisho ya walele watoto akiwa amevaa mzulupweta kama chizi au dansa wa shoo za mtaa kama manzese!!!

Inatosha kumchambua Bashite, miaka 5 sasa hili dubwana linafanya mambo ya hovyo kuliko hata shetani. Hakuna tena cha kujiuliza huyu amesoma au hakusoma, huyu kiongozi au sio kiongozi, huyu binadamu au sio binadamu. Tushangae na kumchambua pale anapofanya vizuri je amepata wapi huyu akili hizi!! japo ni ngumu yeye kufanya vizuri!!
 
Ndugu wana jamvi habarini za muda huu,

Kwa kuzingatia zana ya utawala bora na democracy kila mtu anatakiwa aheshimu sheria na taratibu za nchi.

Ikiwemo za kiutaalamu kama vile za mataabibu kutunza siri za wagonjwa na Sheria ni msumeno hukata huku na huku haijalishi ni nan kakosea ana title gani au ana utajiri gani lazima achukuliwe hatua ndio maana ataukijaribu kujinyonga ukashindwa utashitakiwa
Je kitendo cha mtukufu makonda kumtaja mtoto wa mbowe kuwa ni mwathirika wa corona sio uchochezi?

Je, ni halali kwa Makonda kuchukua usemaji wa family ya Mbowe? Ikiwa makonda amekosea yupo wapi DPP Biswalo na mikwara yake kwa Lema juu ya kesi za uchochezi kule singida?

Je, makosa ya uchochezi ni kwaajili ya viongozi wa upinzani tu?

Asanten naomba kuwasilisha.
 
Kwani mbowe ni nani Hadi mtoto wake asitajwe

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1751][emoji1751]Maskini Weee
.
Sikia Bashite alichokifanya ni uvunjifu wa Sheria. Mamlaka ya kutangaza Mgonjwa wa Corona anayo Waziri husika na Katibu wake, Waziri Mkuu na Raisi
Bashite yeye ni Nani ??

Mpaka hapo Dogo bashite anayo Mashtaka, Kama anayo kwann hachukuliwi hatua ?? kwani ofisi ya Dpp ipo kwa ajiri ya wapinzani ??
 
[emoji1751][emoji1751]Maskini Weee
.
Dogo Sikia Bashite alichokifanya ni uvunjifu wa Sheria. Mamlaka ya kutangaza Mgonjwa wa Corona anayo Waziri husika na Katibu wake, Waziri Mkuu na Raisi
Bashite yeye ni Nani ??
Mpaka hapo Dogo bashite anayo Mashtaka, Kama anayo kwann hachukuliwi hatua ?? kwani ofisi ya Dpp ipo kwa ajiri ya wapinzani ??
Vipi yule mwanahabari mliyemtetea juzi aliyezuiwa kwenda kumhoji mgonjwa yeye mamlaka ya kutangaza yahusuyo corona nchini anayo?
 
Vipi yule mwanahabari mliyemtetea juzi aliyezuiwa kwenda kumhoji mgonjwa yeye mamlaka ya kutangaza yahusuyo corona nchini anayo?
Ndio anayo, Swala ni kutangaza Wagonjwa wa Corona sio yahusuyo Corona nchini
Sijui una ona utofauti hapo?
Kama ni hivyo usemavyo Je ITV, Clouds, JF nk hawakupaswa kutangaza chochote kuhusu Corona nchini ???
Huyo Mwandishi amezuiwa kwa interest zao hao walio mzuia
 
Ndio anayo, Swala ni kutangaza Wagonjwa wa Corona sio yahusuyo Corona nchini
Sijui una ona utofauti hapo?
Kama ni hivyo usemavyo Je ITV, Clouds, JF nk hawakupaswa kutangaza chochote kuhusu Corona nchini ???
Huyo Mwandishi amezuiwa kwa interest zao hao walio mzuia
Huko ITV si wanarusha yaliyosemwa na rais au waziri,Au nao wanajisemeaga tu
 
[emoji1751][emoji1751]Maskini Weee
.
Dogo Sikia Bashite alichokifanya ni uvunjifu wa Sheria. Mamlaka ya kutangaza Mgonjwa wa Corona anayo Waziri husika na Katibu wake, Waziri Mkuu na Raisi
Bashite yeye ni Nani ??
Mpaka hapo Dogo bashite anayo Mashtaka, Kama anayo kwann hachukuliwi hatua ?? kwani ofisi ya Dpp ipo kwa ajiri ya wapinzani ??
Kwa kukazia tu, hata rais waziri mkuu na waziri wa afya wana mamlaka ya kutaja kwa idadi tu na sio kuwataja kwa majina labda mgonjwa mwenyewe aridhie km ilivyokuwa kwa isabella.
 
Hii topic inashikiwa bango as if inatija kwa taifa! Bashiru alishasema kijana anamatatizo so tujadili yasemwayo na watu wanaojielewa!!

Ameshafanya mazito kuliko kumtaja mgonjwa wa korona hata marekani wanayajua sasa leo tunajadili nini? Ni sawa na mtu kulalamika Idd Amin dada alimtukana tusi...does it make sense?! Bashite dadaa siyo wakujadiliwa kwa upuuzi kama huu!!

Kama kunawatu intelligent wamfatilie tuujue ukweli was mazito yaliyojificha hata kwa chadema kununua/kupandikiza watu kwenye mitandao yasimu,tiss,hackers,wezi wamwibie laptop nk. He is not that intelligent lkn wapinzani wanapuuzia mambo yanayowaumiza watuwao!
 
Ndugu wana jamvi habarini za muda huu,

Kwa kuzingatia zana ya utawala bora na democracy kila mtu anatakiwa aheshimu sheria na taratibu za nchi.

Ikiwemo za kiutaalamu kama vile za mataabibu kutunza siri za wagonjwa na Sheria ni msumeno hukata huku na huku haijalishi ni nan kakosea ana title gani au ana utajiri gani lazima achukuliwe hatua ndio maana ataukijaribu kujinyonga ukashindwa utashitakiwa
Je kitendo cha mtukufu makonda kumtaja mtoto wa mbowe kuwa ni mwathirika wa corona sio uchochezi?

Je, ni halali kwa Makonda kuchukua usemaji wa family ya Mbowe? Ikiwa makonda amekosea yupo wapi DPP Biswalo na mikwara yake kwa Lema juu ya kesi za uchochezi kule singida?

Je, makosa ya uchochezi ni kwaajili ya viongozi wa upinzani tu?

Asanten naomba kuwasilisha.
Huyu naye ni wa ku face firing squad huko mbele, Inshallah
 
Nini tatizo nchini mwetu Mh. Makonda kumnanga mgonjwa hadharani.

1.Sijasikia mamlaka hasa maadili wakikemea sakata la makonda kumnanga mgonjwa hadharani.

2. Sijamsikia mgonjwa akichukua hatua stahiki dhidi ya mheshimiwa Makonda

Is very unethical kwa kiongozi mwenye kundi la watu nyuma yake kuonyesha mfano kama aliouonyesha mh Makonda .

Mh namshauri awe anadouble check na washauri wake nini cha ku publish kabla hajaja hadharani maana kila akijitahidi ni lazima aharibu sehemu. Hatuwezi sema kuwa bado anajifunza ila kwa kumnanga mgonjwa .hii ni kadhia kubwa kama hajui utaratibu .
 
shida ya bashite ni kusaka sifa kwa kila namna ili amu impress jiwe ambaye naye anachuki ya hatari dhidi ya wapinzani...bora jiwe ana kinga ya katiba vp maisha ya bashite baada ya miaka 10 ya utawala wa jiwe hapo bdae??!!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom