Dotto Bulendu: Tathmini yangu juu ya mahojiano kati ya BBC na Rais Samia Suluhu

Nguli ni nguli tuu!. Asante Dotto Bulendu kwa unguli huu.
P
 

Hii haikuwa "Hard Talk" iliyofichua hadi vifo vilivyokuwa vimefichika.

"Hard talk" hufanyika nyumbani kwa beberu na mwana habari asiye na cha kupoteza kwenye nchi husika.

Manguli wa "hard talk" huwa ni "wanasheria mahiri" aina za akina Murtaza Lakha (rip), Masumbuko Lamwai (rip), na wa namna hiyo.

Kwani Kikeke hajipendi? Hana ndugu au jamaa hapa nchini ambapo sheria ni ule ulio msimamo wa rais?

Kwani anapopanga kustaafu na kurejea Tanzania atakuwa mgeni wa nani kwenye nchi iliyojaa teuzi:



hadi hizi nazo ni rasmi?

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Alipofikia Kikeke panatosha sana mbivu na mbichi mbona zimeanikwa?
 
Pascal,kuuliza sio ujinga SSH amesoma university of Dar es salaam?
 
Dotto Bulendu ni mashine ya kusaga na kukoboa namkubali sn jamaa ana uwezo mkubwa kupita kiasi

1. Dotto Buledu 2. Aloyce Nyanda 3. Paschal Mayala(tamaa tu zimemharibu lakini ni jembe) 4. Odeba wa star TV
Hapo Kwa mayala andika (njaa) alafu endelea na hoja yako sasa
 
Nilikuwa siamini jibu kutoka kwa hajath mh Samia,mbowe hawezi kuwa Gaidi labda bibi wa shungi haelewi maana ya Nemo Gaidi,mbowe hawezi kuua viongozi labda mama angesema kuwa mbowe alimuua kiongozi gani.muda Ni hakimu mzuri.
 
Kila uzi unaandika hivyo.Ndiyo kaulimbiu yako hadi watu waache kuhoji muhojiwa na muhojaji walivyopuyanga?
 
Dotto Bulendu ni mashine ya kusaga na kukoboa namkubali sn jamaa ana uwezo mkubwa kupita kiasi

1. Dotto Buledu 2. Aloyce Nyanda 3. Paschal Mayala(tamaa tu zimemharibu lakini ni jembe) 4. Odeba wa star TV

Mayalla ni useless
 
Unaishi kwa kutegemea misafara ya viongozi utajulia wapi mambo msingi?
 

Kupinga matokeo ya kihuni ya uchaguzi ni ugaidi? Kwa hiyo mpore uchaguzi tukiona kwa macho yetu, kisha tukipinga nyie nyie waporaji mtuite magaidi?
 
Yaani akina sheikh farid na wenzake wake acquitted na ugaidi then mbowe ndie awe gaidi?

Bi mkora anafeli, ila ajue kwamba mdude anao wembe wake
 
Sipingi ulichosema, lakini nadhani ni fedheha kubwa kwa shirika kubwa kama BBC na mtangazaji wake kushindwa kabisa kukidhi kiu ya watu wenye kutaka kuelewa kwa kuuliza maswali yenye vielelezo.
 
Tathmini yangu ya juu ya mahojiano kati ya BBC Na Rais Samia Suluhu Hassan.

Na Dotto Bulendu (MwanaPuge).Nikiandika kutoka kijijini Puge.
@@@@@@
Kikeke na samia ni waswahili wazuri. Ungelifahamu hilo usingetaka kikeke amuulize samia lini chadema wameandamana maana muulizaji ameelewa lugha ya samia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…