Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Kwani ni lazima MAHOJIANO yawe ya kushambuliana kiasi hicho ?!!!
Kwa hiyo ni lazima mwandishi wa habari awe kama Tim Sebastian na Christian Amanpour kila wakati katika MAHOJIANO?!!!
Ninajiuliza je kila MAHOJIANO aliyoyafanya mathalani Tim Sebastian na Christian Amanpour kwa viongozi yalikuwa YANAFANANA KWA MTIRIRIKO ULEULE?!!
Kumbe mwandishi wa habari aliyebobea hupewa sifa pale ANAPOKUWA na MAHOJIANO ya "tug of war" na viongozi wakuu wa nchi ili mwishowe ionekane kiongozi huyo wa nchi AMEBANWA NA KUSHINDWA KUJIBU MASWALI.....kweli uliberali kazi.......🤣
Huko katika nchi zilizoendelea mfano Trump alikuwa ANAWAKATAA waandishi wa habari wa CNN (kaliba ya Christian Amanpour)....tukaambiwa na wapinzani wake kuwa ni kwa sababu Trump ni "dikteta"....Trump hana "ufahamu mkubwa" 🤣
Kwa hiyo ni lazima mwandishi wa habari awe kama Tim Sebastian na Christian Amanpour kila wakati katika MAHOJIANO?!!!
Ninajiuliza je kila MAHOJIANO aliyoyafanya mathalani Tim Sebastian na Christian Amanpour kwa viongozi yalikuwa YANAFANANA KWA MTIRIRIKO ULEULE?!!
Kumbe mwandishi wa habari aliyebobea hupewa sifa pale ANAPOKUWA na MAHOJIANO ya "tug of war" na viongozi wakuu wa nchi ili mwishowe ionekane kiongozi huyo wa nchi AMEBANWA NA KUSHINDWA KUJIBU MASWALI.....kweli uliberali kazi.......🤣
Huko katika nchi zilizoendelea mfano Trump alikuwa ANAWAKATAA waandishi wa habari wa CNN (kaliba ya Christian Amanpour)....tukaambiwa na wapinzani wake kuwa ni kwa sababu Trump ni "dikteta"....Trump hana "ufahamu mkubwa" 🤣