Huyu Dotto Magari inadaiwa ni muislam lakini ameonekana akila mbuzi katoliki. Dotto ni muumini wa dini gani?View attachment 3121617
Siku hizi unakuta hata mtu hajulikani ni wa huko kijijini kwao anafunguliwa uzi ,wu izi doto magari ?Maisha ya watu waachie wenyewe hayakuhusu
Hivyo ndivyo ilivyo, kukubali na kukataa ni uamuzi wako.Hamna dini yenye uwezo wa mfumo mzima wa maisha, yaani muarabu akurupuke na kitabu huko jangwani akuambie ndio mfumo mzima wa maisha.
Maisha yako complicated hayawezi kuwa controlled na kitabu hata kiwe na kurasa milioni moja.
Ndio maana kwenye Ukristo kuna Roho Mtakatifu anayekuongoza kwenye kila hatua za maisha.
I nashangaza mno 😅Daslam watu wanaongezeka kwa kasi sana....
Kwahiyo magari doto ndio nani huko...🤔
Si mjui baba mchungaji nimechangia tu labda reporter wa huu uzi anaweza kuwa na majibuSiku hizi unakuta hata mtu hajulikani ni wa huko kijijini kwao anafunguliwa uzi ,wu izi doto magari ?
Hapa migombani nipo vedi nabiringika huko mtoni na kata ya mbege tu😅Si mjui baba mchungaji nimechangia tu labda reporter wa huu uzi anaweza kuwa na majibu
Kwema hapo migombani😉
Mbona hujauliza anafanya matangazo ya pombe??Huyu Dotto Magari inadaiwa ni muislam lakini ameonekana akila mbuzi katoliki. Dotto ni muumini wa dini gani?View attachment 3121617
Kwani hiyo nyama ina shida gani?Huyu Dotto Magari inadaiwa ni muislam lakini ameonekana akila mbuzi katoliki. Dotto ni muumini wa dini gani?View attachment 3121617
Sikujua ni wewe umebadili picha kumbe😁😁😁Kwani hiyo nyama ina shida gani?
Imani hizi zitakuja kuwaua
Acha jamaa ale
Nina jamaa zangu kibao ukifika mwezi mtukufu wanafunga, zikija dili haramu tunapiga wote huku wapo kwenye mfungo😆Kuna mtu mmoja huwa ikifika ramadhani anafunga ila anaendelea kuvuta sigara
Chakula hatumii mchana kutwa Ila sigara anavuta .
Kwa mantiki hii MTU ili umuone hualisia wake jaribu kumpatia Uhuru
Mfano huyo jamaa anayefunga Ila sigara anavuta , Kama angekuwa anaishi peke yake angekuwa Ana kula na asingekubali kushinda na njaa.
Pia katika kula Nguruwe n.k a lot of people they pretend Ila wapo watu ambao dini yao imewakaa hata ikiwa peke yao hawawezi kufanya kinyume.
Nimekuwaje?Sikujua ni wewe umebadili picha kumbe😁😁😁
"mbuzi katoliki" ndiyo nini?
Nijuwavyo wakatoloki ni kondoo.
Kitimoto"mbuzi katoliki" ndiyo nini?