mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Yote ni DHAMBI.Nimeuliza ili nijue maana utakuta mtu anajitangaza siwezi kutangaza matangazo ya pombe kwasababu dini yangu hairuhusu halafu kesho yake utamkuta amevaa kichupi maziwa nje yupo jukwaani anakata mauno yupo bwii...sasa unajiuliza kwamba dini imekataza kufanya matangazo ya pombe ila kunywa imeruhusiwa? Kuvaa nusu uchi kidini inaruhisiwa?
View attachment 3122794
View attachment 3122796
Sema kachagua dhambi anayoimudu