Dotto Magari ni muumini wa dini gani?

Dotto Magari ni muumini wa dini gani?

Nimeuliza ili nijue maana utakuta mtu anajitangaza siwezi kutangaza matangazo ya pombe kwasababu dini yangu hairuhusu halafu kesho yake utamkuta amevaa kichupi maziwa nje yupo jukwaani anakata mauno yupo bwii...sasa unajiuliza kwamba dini imekataza kufanya matangazo ya pombe ila kunywa imeruhusiwa? Kuvaa nusu uchi kidini inaruhisiwa?


View attachment 3122794

View attachment 3122796
Yote ni DHAMBI.
Sema kachagua dhambi anayoimudu
 
Ni muislamu

Waislamu wanaokula wapo wengi. Kitimoto kwenye uislamu haijakatazwa kihivyo, imeruhusiwa ikiwa hakuna chakula kingine.
UISLAMU HA SIYO KUZALIWA NA BABA NA MAMA MUISLAM TU, BALI KUISHI KWA KUFUATA MISINGI YA KIISLAMU.
SASA TANGU WATU WAANZE KUMJUA HUYU JAMAA, LINI UMESIKIA SMEFANYA TENDO LA KIISLAM, HATA HIVYO DOTO, NI MKTISTO.

ELEWA UKRISTO USHI UNAVYOISHI BADO WEWE UTABAKI KUWA MKRITO.
 
Huyu Dotto Magari inadaiwa ni muislam lakini ameonekana akila mbuzi katoliki. Dotto ni muumini wa dini gani?View attachment 3121617
Jitahidi kufuatilia mfumo wako binafsi wa maisha.maisha ya watu wengine yatakuumiza kichwa bila sababu.

Sidhani km maisha ya huyu bwana yanakuhusu hadi kula kwake.

Unajichosha mkuu.

Hata matambiko ni dini.
 
Kuna mtu mmoja huwa ikifika ramadhani anafunga ila anaendelea kuvuta sigara

Chakula hatumii mchana kutwa Ila sigara anavuta .

Kwa mantiki hii MTU ili umuone hualisia wake jaribu kumpatia Uhuru

Mfano huyo jamaa anayefunga Ila sigara anavuta , Kama angekuwa anaishi peke yake angekuwa Ana kula na asingekubali kushinda na njaa.

Pia katika kula Nguruwe n.k a lot of people they pretend Ila wapo watu ambao dini yao imewakaa hata ikiwa peke yao hawawezi kufanya kinyume.
Eti mtu mmoja!!, kwani kuna mtu wawili?, lugha yetu, lakini tabu tupu.
 
ukifuatilia kila mtu utagundua watu wengi hata si Waslamu, maana Uislamu ni mfumo mzima wa maisha.
Huyo ni mkristo kabisaa,ungesema dr kumbuka ningekuelewa ingawa anakula kitimoto sana naye,tatizo na hiyo nyama imezidi utamu,kuliko nyama zoote
 
Jitahidi kufuatilia mfumo wako binafsi wa maisha.maisha ya watu wengine yatakuumiza kichwa bila sababu.

Sidhani km maisha ya huyu bwana yanakuhusu hadi kula kwake.

Unajichosha mkuu.

Hata matambiko ni dini.
Jitahidi usiwe una comment mada kama hizi unajichosha mkuu
 
Ni muislamu

Waislamu wanaokula wapo wengi. Kitimoto kwenye uislamu haijakatazwa kihivyo, imeruhusiwa ikiwa hakuna chakula kingine.

🤣 Na jamaa kaingia pub kwa ajili ya mdudu tu sasa sijajua hiyo kanuni ya "Ikiwa hakuna chakula kingine" imetumikaje!
 
Mtoto wa Mama Kizimkazi na hapa ipo ,riziki mwanzo wa chuki.

Huyo mdudu hana dini ,miamba mingi inakula.

Nimeshangaa kumbe Tido Muhando ni Mkristo.
Hivi karibuni nlipewa malalamiko kutoka kwa wapiga debe wenzake
Wa zamani pale manyanya,kuna mmoja wao smbdy majambo(alikuwa mteja)
Alivuta jamaa wanampigia sim hapokei 😄 walitaka mchango
Nkawaambia si mnajua tena jamaa yuko karibu na kizimkazi

Ova
 
Kuna kitu nakiona hapa mtu anasema KITIMOTO NI TAMU SANA sio kwa lengo la kuzungumzia utamu wa kitimoto bali kutupa dongo upande WA pili..
Lengo ni kukera.
 
Hivi karibuni nlipewa malalamiko kutoka kwa wapiga debe wenzake
Wa zamani pale manyanya,kuna mmoja wao smbdy majambo(alikuwa mteja)
Alivuta jamaa wanampigia sim hapokei 😄 walitaka mchango
Nkawaambia si mnajua tena jamaa yuko karibu na kizimkazi

Ova
Hahaha siku hizi ni mtoto wa mama kizimkazi na hapa ipo lazima awakimbie masela wake wa zamani.
 
Back
Top Bottom