Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Jitoe kimasomaso kamtukane kwenye page zake uone anavyokuchambaUkiwa maarufu ni shida.....huyu nae eti maarufu !! Khaaa......anatukana watu etii...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jitoe kimasomaso kamtukane kwenye page zake uone anavyokuchambaUkiwa maarufu ni shida.....huyu nae eti maarufu !! Khaaa......anatukana watu etii...
Mwisho wetu wa kufikiri mwanzo wa machawa kizazi shidaaJitoe kimasomaso kamtukane kwenye page zake uone anavyokuchamba
Bila shaka nawe hufanya ayafanyayo Uliyemtaja hapa au?Hata Amba Rutty ni maarufu
Kwani akila kuna tatizo ganiHuyu Dotto Magari inadaiwa ni muislam lakini ameonekana akila mbuzi katoliki. Dotto ni muumini wa dini gani?View attachment 3121617
*uhalisiaKuna mtu mmoja huwa ikifika ramadhani anafunga ila anaendelea kuvuta sigara
Chakula hatumii mchana kutwa Ila sigara anavuta .
Kwa mantiki hii MTU ili umuone hualisia wake jaribu kumpatia Uhuru
Mfano huyo jamaa anayefunga Ila sigara anavuta , Kama angekuwa anaishi peke yake angekuwa Ana kula na asingekubali kushinda na njaa.
Pia katika kula Nguruwe n.k a lot of people they pretend Ila wapo watu ambao dini yao imewakaa hata ikiwa peke yao hawawezi kufanya kinyume.
Hilo uliza weweMbona hujauliza anafanya matangazo ya pombe??
Nimeuliza tayariHilo uliza wewe
Wapi uislamuu umekataza kula kitimoto,Huyu Dotto Magari inadaiwa ni muislam lakini ameonekana akila mbuzi katoliki. Dotto ni muumini wa dini gani?View attachment 3121617
Kwa ukiwa muislamu ndio hutakiwi kula kitimoto? We jamaa vipi bhana?Huyu Dotto Magari inadaiwa ni muislam lakini ameonekana akila mbuzi katoliki. Dotto ni muumini wa dini gani?
Wapi uislamu umakataza kula nguruwe,halafu mbona mnakula wala nguruwe.?Kufunga ndoa ya kiislam sio kuwa muislam.
Kama muislam kweli hawezi kula nguruwe.
Pemba ndio kuna pedophile wakutosha,hakuna mpemba aso kula ama kuliwa jicho.Kwa Tanzania waislamu wasiokula shwain ni wale wa kutoka kisiwani Pemba tu, lakini hawa wengine wa huku, wanatupigia kelele tu na maspika yao alfajiri na hata msikitini kwenyewe hawaendi. Ndio hao hao wanajiita Anti Mudi, wanaharibu jina la prophet wa watu bure kabisa
Hapo hajafuatilia ila ameuliza tu, Inawezekana yeye ni Muislam au Kiongozi kabisa wa Kiislam sasa anajiuliza Iweje hilo litokee?Maisha ya watu waachie wenyewe hayakuhusu
Wapi uislamu umekataza kula kitimoto,hakuna mavazi ya kiislamu bali mavazi ya kitamaduni ya waarabu waishio jangwani.Uislamu sio jina wala uislamu sio mavazi uislamu ni kufuata mafundisho yote ya kiislam pamoja na yote yaliyokatazwa kufanywa ukimuona mtu anafanya tofauti ya yaliyoamrishwa ktk uislamu basi huyo jua si muislamu ata kama ana jina la kiislamu na anavaa mavazi yanayoendana na uislamu kama kanzu hijab, nikab,bargashia msuli nk.
Kuna vitu vinaumiza sana MkuuSasa kwani ni ndugu yako huyo hadi unamfuatilia kiasi hiko ukishajua ni muislamu utamfanya nini labda acheni watu na maisha yao jamani..
Uislam unakutakeni ule kitimoto lakini iwe steki, siona lile ngozi la juu, na iwe roast sio chomaHajavunja sheria acha ajilie mdudu, tena iwe na ile ngozi ndo inanoga, ashushie na bia mbili.