Dotto Magari ni muumini wa dini gani?

Dotto Magari ni muumini wa dini gani?

Dini ni jina TU sio maisha halisi!

Unakwepa kula nguruwe halafu muasherati au mzinifu,tarq swalah wote njia Moja au fisadi unawaibia maskini haki yao !wote fiih naari jahannamah ghalidiiinah fiiha!!
 
Hamna dini yenye uwezo wa mfumo mzima wa maisha, yaani muarabu akurupuke na kitabu huko jangwani akuambie ndio mfumo mzima wa maisha.
Maisha yako complicated hayawezi kuwa controlled na kitabu hata kiwe na kurasa milioni moja.
Ndio maana kwenye Ukristo kuna Roho Mtakatifu anayekuongoza kwenye kila hatua za maisha.
Umemaliza Mkuu
 
Siyo kula tu, huyo ni kati ya wafugaji wakubwa wa huyo mdudu nchini kwenu.
Dini inaruhusu kula kitimoto lakini asishibe, yaani ale kidogo tu. Sasa hapo kosa lipo wapi wakati anakila bila ugali ili asishibe?
Wambie hao hawajui kitu mbona mimi nakula kitimoto na mtaan wanajua
 
Mkuu mm mwenyewe ni mla kitimoto mwenzio nimeuliza TU.... Mbona una hasira utafikir umewah hudhuria Diddy's party
Naona unajizima data wakati tulikuwa wote kwenye party ya didy
Kama unakumbuka mimi ndiyo nlikuwa nakukamata miguu ili didy afanye yake maana ulikuwa hutulii
We jamaa ni msumbufu sana
Umekula hela za didy halafu hutulii
 
Naona unajizima data wakati tulikuwa wote kwenye party ya didy
Kama unakumbuka mimi ndiyo nlikuwa nakukamata miguu ili didy afanye yake maana ulikuwa hutulii
We jamaa ni msumbufu sana
Umekula hela za didy halafu hutulii
Hahahahahaa we demu mbona una kisirani utadhani nimewah kukutongoza, mm ni mume wa mtu! Anyway nipe namba.
 
Uislam una mafundisho yake.makatazo na yenye kuruhusiwa.
Ukifanya uliyokatazwa ni wazi unajitoa kwenye uislam

Nimeuliza ili nijue maana utakuta mtu anajitangaza siwezi kutangaza matangazo ya pombe kwasababu dini yangu hairuhusu halafu kesho yake utamkuta amevaa kichupi maziwa nje yupo jukwaani anakata mauno yupo bwii...sasa unajiuliza kwamba dini imekataza kufanya matangazo ya pombe ila kunywa imeruhusiwa? Kuvaa nusu uchi kidini inaruhisiwa?


1728746420104.png


1728746496770.png
 
Back
Top Bottom