econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Uislam unakutakeni ule kitimoto lakini iwe steki, siona lile ngozi la juu, na iwe roast sio choma
haaaaaaaaa haaaaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uislam unakutakeni ule kitimoto lakini iwe steki, siona lile ngozi la juu, na iwe roast sio choma
Hataki unafiki kama wenzake kula wakiwa wamejificha chini ya meza.Huyu Dotto Magari inadaiwa ni muislam lakini ameonekana akila mbuzi katoliki. Dotto ni muumini wa dini gani?View attachment 3121617
Huyo ni Swahiba yake Dotto Magari anaitwa Hamisi Amir RamadhanHapo pembeni usipoangalia vizuri unaweza ukadhani ni Binti mdogo wa shule amevaa hijab kumbe ni mkono wa mtu.
Umemaliza MkuuHamna dini yenye uwezo wa mfumo mzima wa maisha, yaani muarabu akurupuke na kitabu huko jangwani akuambie ndio mfumo mzima wa maisha.
Maisha yako complicated hayawezi kuwa controlled na kitabu hata kiwe na kurasa milioni moja.
Ndio maana kwenye Ukristo kuna Roho Mtakatifu anayekuongoza kwenye kila hatua za maisha.
Inaumiza sana Ndugu, hujui tuWe inakuhusu nini imani yake mkuu?
Na ukishajua inakusaidia nini?
Hawa jamaa sasa mbona wanauchezea uislamu... Wanakula mduu live liveHuyo ni Swahiba yake Dotto Magari anaitwa Hamisi Amir Ramadhan
Hapo anajifanya mwarabu wa Dubai
Wapeni sumu wafeHawa jamaa sasa mbona wanauchezea uislamu... Wanakula mduu live live
KorofindoAnhaa
Sasa vinyweleo vya sister ulivionea wapi?
Wambie hao hawajui kitu mbona mimi nakula kitimoto na mtaan wanajuaSiyo kula tu, huyo ni kati ya wafugaji wakubwa wa huyo mdudu nchini kwenu.
Dini inaruhusu kula kitimoto lakini asishibe, yaani ale kidogo tu. Sasa hapo kosa lipo wapi wakati anakila bila ugali ili asishibe?
Mkuu mm mwenyewe ni mla kitimoto mwenzio nimeuliza TU.... Mbona una hasira utafikir umewah hudhuria Diddy's partyWapeni sumu wafe
Naona unajizima data wakati tulikuwa wote kwenye party ya didyMkuu mm mwenyewe ni mla kitimoto mwenzio nimeuliza TU.... Mbona una hasira utafikir umewah hudhuria Diddy's party
sio uislam tu.hata ukristo unakatazaWapi uislamu umakataza kula nguruwe,halafu mbona mnakula wala nguruwe.?
Hatuwezi kumpangia cha kufanya.Kama siyo muislam kwanini afunge kiislam wakati kuna option ya bomani/serikalini?
Narudia tena wasio kula nguruwe ni Wayahudi na Wasabato tuu. Waislamu wanaruhusiwa kula wakiwa na njaa.Huyu Dotto Magari inadaiwa ni muislam lakini ameonekana akila mbuzi katoliki. Dotto ni muumini wa dini gani?View attachment 3121617
Ila Pombe anaruhusiwa au siyo?Hatuwezi kumpangia cha kufanya.
hapo amefanya utapeli wa kidini.muislam hali nguruwe.
Hahahahahaa we demu mbona una kisirani utadhani nimewah kukutongoza, mm ni mume wa mtu! Anyway nipe namba.Naona unajizima data wakati tulikuwa wote kwenye party ya didy
Kama unakumbuka mimi ndiyo nlikuwa nakukamata miguu ili didy afanye yake maana ulikuwa hutulii
We jamaa ni msumbufu sana
Umekula hela za didy halafu hutulii
Uislam una mafundisho yake.makatazo na yenye kuruhusiwa.Ila Pombe anaruhusiwa au siyo?
Uislam una mafundisho yake.makatazo na yenye kuruhusiwa.
Ukifanya uliyokatazwa ni wazi unajitoa kwenye uislam