mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Yote ni DHAMBI.Nimeuliza ili nijue maana utakuta mtu anajitangaza siwezi kutangaza matangazo ya pombe kwasababu dini yangu hairuhusu halafu kesho yake utamkuta amevaa kichupi maziwa nje yupo jukwaani anakata mauno yupo bwii...sasa unajiuliza kwamba dini imekataza kufanya matangazo ya pombe ila kunywa imeruhusiwa? Kuvaa nusu uchi kidini inaruhisiwa?
View attachment 3122794
View attachment 3122796
UISLAMU HA SIYO KUZALIWA NA BABA NA MAMA MUISLAM TU, BALI KUISHI KWA KUFUATA MISINGI YA KIISLAMU.Ni muislamu
Waislamu wanaokula wapo wengi. Kitimoto kwenye uislamu haijakatazwa kihivyo, imeruhusiwa ikiwa hakuna chakula kingine.
Jitahidi kufuatilia mfumo wako binafsi wa maisha.maisha ya watu wengine yatakuumiza kichwa bila sababu.Huyu Dotto Magari inadaiwa ni muislam lakini ameonekana akila mbuzi katoliki. Dotto ni muumini wa dini gani?View attachment 3121617
Eti mtu mmoja!!, kwani kuna mtu wawili?, lugha yetu, lakini tabu tupu.Kuna mtu mmoja huwa ikifika ramadhani anafunga ila anaendelea kuvuta sigara
Chakula hatumii mchana kutwa Ila sigara anavuta .
Kwa mantiki hii MTU ili umuone hualisia wake jaribu kumpatia Uhuru
Mfano huyo jamaa anayefunga Ila sigara anavuta , Kama angekuwa anaishi peke yake angekuwa Ana kula na asingekubali kushinda na njaa.
Pia katika kula Nguruwe n.k a lot of people they pretend Ila wapo watu ambao dini yao imewakaa hata ikiwa peke yao hawawezi kufanya kinyume.
Sawa ila mdudu ni mtamu analeta ushawishi msimshangaeHapo hajafuatilia ila ameuliza tu, Inawezekana yeye ni Muislam au Kiongozi kabisa wa Kiislam sasa anajiuliza Iweje hilo litokee?
mkristo huyo namjuaNi muislamu
Waislamu wanaokula wapo wengi. Kitimoto kwenye uislamu haijakatazwa kihivyo, imeruhusiwa ikiwa hakuna chakula kingine.
Nii Mkristo huonagi anavaa sana msalabaHuyu Dotto Magari inadaiwa ni muislam lakini ameonekana akila mbuzi katoliki. Dotto ni muumini wa dini gani?View attachment 3121617
Huyo ni mkristo kabisaa,ungesema dr kumbuka ningekuelewa ingawa anakula kitimoto sana naye,tatizo na hiyo nyama imezidi utamu,kuliko nyama zooteukifuatilia kila mtu utagundua watu wengi hata si Waslamu, maana Uislamu ni mfumo mzima wa maisha.
ivi hayo mapete ndio yale wanasema ni ya majini?Huyu Dotto Magari inadaiwa ni muislam lakini ameonekana akila mbuzi katoliki. Dotto ni muumini wa dini gani?View attachment 3121617
Dini zote wanaichukulia hiyo kama nyama tamu kuliko zote..!Huyu Dotto Magari inadaiwa ni muislam lakini ameonekana akila mbuzi katoliki. Dotto ni muumini wa dini gani?View attachment 3121617
Jitahidi usiwe una comment mada kama hizi unajichosha mkuuJitahidi kufuatilia mfumo wako binafsi wa maisha.maisha ya watu wengine yatakuumiza kichwa bila sababu.
Sidhani km maisha ya huyu bwana yanakuhusu hadi kula kwake.
Unajichosha mkuu.
Hata matambiko ni dini.
Ni muislamu
Waislamu wanaokula wapo wengi. Kitimoto kwenye uislamu haijakatazwa kihivyo, imeruhusiwa ikiwa hakuna chakula kingine.
Hivi karibuni nlipewa malalamiko kutoka kwa wapiga debe wenzakeMtoto wa Mama Kizimkazi na hapa ipo ,riziki mwanzo wa chuki.
Huyo mdudu hana dini ,miamba mingi inakula.
Nimeshangaa kumbe Tido Muhando ni Mkristo.
Siku nyingi huyo anakula mdudu🤣 Na jamaa kaingia pub kwa ajili ya mdudu tu sasa sijajua hiyo kanuni ya "Ikiwa hakuna chakula kingine" imetumikaje!
Hahaha siku hizi ni mtoto wa mama kizimkazi na hapa ipo lazima awakimbie masela wake wa zamani.Hivi karibuni nlipewa malalamiko kutoka kwa wapiga debe wenzake
Wa zamani pale manyanya,kuna mmoja wao smbdy majambo(alikuwa mteja)
Alivuta jamaa wanampigia sim hapokei 😄 walitaka mchango
Nkawaambia si mnajua tena jamaa yuko karibu na kizimkazi
Ova
Kabisa🤣Hapo pembeni usipoangalia vizuri unaweza ukadhani ni Binti mdogo wa shule amevaa hijab kumbe ni mkono wa mtu.