Hajakuombea mabaya ila ametamani uendeshe gari nzuri kama yeye uachane na I s tKwanini na yeye asiombee wengine mazuri anaishi kuwasema vibaya tu?
Hapo ujataja gari ya Gharama mkuu ni magari ya kawaida tu hayo...Kwani kuna Mtu alikulazimisha ununue Gari yako hiyo ya IST? Kwanini hukununua Benz au V8 VX au mengineyo ya Gharama?
Sasa kama zako ni za Kipumbavu daima zitapata wapi hiyo Attention?Ndo mada zinazopata attention Bongo,
Zinafanana na lako hilo la IST unalolimiki kwa Mkopo huku ukiwa bado una Miezi mingine 17 ili Uumalize rasmi huo Mkopo?Hapo ujataja gari ya Gharama mkuu ni magari ya kawaida tu hayo...
Mbona kama umepanic mzee?Sasa kama zako ni za Kipumbavu daima zitapata wapi hiyo Attention?
Malipo ni hapa hapa duniani"Halafu utakuta Mtu bila Aibu anaendesha IST yake halafu na Yeye akifika Kwake anapiga Honi afunguliwe Geti. Hivi hawaoni Aibu? Mwenye Range Rover na Gari zingine za Thamani kama Mercedes Benz na Landcruiser V8 VX wapige Honi na Wewe mwenye Gari yenye Thamani kama ya hii Simu yangu ya Shilingi Milioni 8 unapata wapi Uthubutu huo wa Kupiga Honi?" amesema Influencer Dotto Magari.
Haya wale mnaomiliki IST njooni hapa mumtolee Povu Dotto Magari japo Mimi kama kawaida nakubaliana nae 100%.
Ukijaa tu katika 18 zangu huwa sikucheleweshi.Mbona kama umepanic mzee?
Naona wenye IST sasa mnakuja kwa Kufura kabisa. Ila Dotto Magari bhana eti akiwaona Watu wanaendesha Gari aina za IST anawaona ni kama vile wako Chooni Wanaukweka / Wanakunya kwa jinsi ambavyo huwa wanakuwa wamekaa katika Viti vyao vya Dereva.Malipo ni hapa hapa duniani
Nchi masikini ndio tunanunua magari kwa cash ila Nchi zilizoendelea wanatumia mifumo ya mikopo kwenye Asset nyingi sana mimi sio mkopaji wa magari ila nazungumzia uhalisia mkuu mnaponda ist wakati watu wanaloa kwenye Boda boda na Bajaji.Zinafanana na lako hilo la IST unalolimiki kwa Mkopo huku ukiwa bado una Miezi mingine 17 ili Uumalize rasmi huo Mkopo?
"Halafu utakuta Mtu bila Aibu anaendesha IST yake halafu na Yeye akifika Kwake anapiga Honi afunguliwe Geti. Hivi hawaoni Aibu? Mwenye Range Rover na Gari zingine za Thamani kama Mercedes Benz na Landcruiser V8 VX wapige Honi na Wewe mwenye Gari yenye Thamani kama ya hii Simu yangu ya Shilingi Milioni 8 unapata wapi Uthubutu huo wa Kupiga Honi?" amesema Influencer Dotto Magari.
Haya wale mnaomiliki IST njooni hapa mumtolee Povu Dotto Magari japo Mimi kama kawaida nakubaliana nae 100%.
Haya, ila ni kama umebase kwenye mitazamo hasi tu.Ukijaa tu katika 18 zangu huwa sikucheleweshi.
Naona wenye IST sasa mnakuja kwa Kufura kabisa. Ila Dotto Magari bhana eti akiwaona Watu wanaendesha Gari aina za IST anawaona ni kama vile wako Chooni Wanaukweka / Wanakunya kwa jinsi ambavyo huwa wanakuwa wamekaa katika Viti vyao vya Dereva.Nchi masikini ndio tunanunua magari kwa cash ila Nchi zilizoendelea wanatumia mifumo ya mikopo kwenye Asset nyingi sana mimi sio mkopaji wa magari ila nazungumzia uhalisia mkuu mnaponda ist wakati watu wanaloa kwenye Boda boda na Bajaji.
Naona wenye IST sasa mnakuja kwa Kufura kabisa. Ila Dotto Magari bhana eti akiwaona Watu wanaendesha Gari aina za IST anawaona ni kama vile wako Chooni Wanaukweka / Wanakunya kwa jinsi ambavyo huwa wanakuwa wamekaa katika Viti vyao vya Dereva.Dotto Anajiona kashajiata anasahau kuwa alikuwa mla unga pale Brazil.