Dotto Magari: Nikimuona Mtu (hasa Mwanaume) anaendesha IST namdharau kwani namuona kama vile amekaa Chooni kwa jinsi anavyoiendesha

Dotto Magari: Nikimuona Mtu (hasa Mwanaume) anaendesha IST namdharau kwani namuona kama vile amekaa Chooni kwa jinsi anavyoiendesha

"Halafu utakuta Mtu bila Aibu anaendesha IST yake halafu na Yeye akifika Kwake anapiga Honi afunguliwe Geti. Hivi hawaoni Aibu? Mwenye Range Rover na Gari zingine za Thamani kama Mercedes Benz na Landcruiser V8 VX wapige Honi na Wewe mwenye Gari yenye Thamani kama ya hii Simu yangu ya Shilingi Milioni 8 unapata wapi Uthubutu huo wa Kupiga Honi?" amesema Influencer Dotto Magari.

Haya wale mnaomiliki IST njooni hapa mumtolee Povu Dotto Magari japo Mimi kama kawaida nakubaliana nae 100%.
Malipo ni hapa hapa duniani
 
Malipo ni hapa hapa duniani
Naona wenye IST sasa mnakuja kwa Kufura kabisa. Ila Dotto Magari bhana eti akiwaona Watu wanaendesha Gari aina za IST anawaona ni kama vile wako Chooni Wanaukweka / Wanakunya kwa jinsi ambavyo huwa wanakuwa wamekaa katika Viti vyao vya Dereva.
 
Zinafanana na lako hilo la IST unalolimiki kwa Mkopo huku ukiwa bado una Miezi mingine 17 ili Uumalize rasmi huo Mkopo?
Nchi masikini ndio tunanunua magari kwa cash ila Nchi zilizoendelea wanatumia mifumo ya mikopo kwenye Asset nyingi sana mimi sio mkopaji wa magari ila nazungumzia uhalisia mkuu mnaponda ist wakati watu wanaloa kwenye Boda boda na Bajaji.
 
"Halafu utakuta Mtu bila Aibu anaendesha IST yake halafu na Yeye akifika Kwake anapiga Honi afunguliwe Geti. Hivi hawaoni Aibu? Mwenye Range Rover na Gari zingine za Thamani kama Mercedes Benz na Landcruiser V8 VX wapige Honi na Wewe mwenye Gari yenye Thamani kama ya hii Simu yangu ya Shilingi Milioni 8 unapata wapi Uthubutu huo wa Kupiga Honi?" amesema Influencer Dotto Magari.

Haya wale mnaomiliki IST njooni hapa mumtolee Povu Dotto Magari japo Mimi kama kawaida nakubaliana nae 100%.


Kwa mawazo haya ya akina dotto, nchi za afrika tutabaki watumiaji wa vitu vya kutengenezwa ng'ambo. Uwezi jitegemea kwa fikira mufilisi za namna hii.
 
Nchi masikini ndio tunanunua magari kwa cash ila Nchi zilizoendelea wanatumia mifumo ya mikopo kwenye Asset nyingi sana mimi sio mkopaji wa magari ila nazungumzia uhalisia mkuu mnaponda ist wakati watu wanaloa kwenye Boda boda na Bajaji.
Naona wenye IST sasa mnakuja kwa Kufura kabisa. Ila Dotto Magari bhana eti akiwaona Watu wanaendesha Gari aina za IST anawaona ni kama vile wako Chooni Wanaukweka / Wanakunya kwa jinsi ambavyo huwa wanakuwa wamekaa katika Viti vyao vya Dereva.
 
Dotto Anajiona kashajiata anasahau kuwa alikuwa mla unga pale Brazil.
Naona wenye IST sasa mnakuja kwa Kufura kabisa. Ila Dotto Magari bhana eti akiwaona Watu wanaendesha Gari aina za IST anawaona ni kama vile wako Chooni Wanaukweka / Wanakunya kwa jinsi ambavyo huwa wanakuwa wamekaa katika Viti vyao vya Dereva.
 
Back
Top Bottom