Dotto Magari: Nikimuona Mtu (hasa Mwanaume) anaendesha IST namdharau kwani namuona kama vile amekaa Chooni kwa jinsi anavyoiendesha


Mkuu samahani naomba ka picha na mi niigilizie nikapimp haka ka Starlert kangu
 
Kila mtu ana malengo yake na mtazamo wake ...Mtazamo wa Dotto Magari hauwezi kuwa sawa na watu million 65 hapa tanzania
 
KUjivunia si jambo baya lkn kuwagawanya wateja ambao ndio uwekezaji wako upo huko si jambo lenye afya.
 
Wakati mwingine kukaa kimya Ni Bora kuliko kuonyesha ujinga uliopo kwenye ubongo wako.
Mimi namiliki probox Ila katu sitamsema mwenye baiskeli kwani dunia duara.
 
Yaani kila Mtu hapa JamiiForums anajifanya ni Tajiri na ana Gari wakati wengine hata mnavyoandika tu mnaonekana ni Masikini na Washamba fulani hivi mliojaa Sifa na kutaka Kujionyesha.
 
Somebody standard 4 failure hajafika hata standard 7 and he feels proud to be such a bogus person
Naona wenye IST sasa mnakuja kwa Kufura kabisa. Ila Dotto Magari bhana eti akiwaona Watu wanaendesha Gari aina za IST anawaona ni kama vile wako Chooni Wanaukweka / Wanakunya kwa jinsi ambavyo huwa wanakuwa wamekaa katika Viti vyao vya Dereva.
 
Naona wenye IST sasa mnakuja kwa Kufura kabisa. Ila Dotto Magari bhana eti akiwaona Watu wanaendesha Gari aina za IST anawaona ni kama vile wako Chooni Wanaukweka / Wanakunya kwa jinsi ambavyo huwa wanakuwa wamekaa katika Viti vyao vya Dereva.
 
Nguruwe wanalipa.ukiwa mfugaji wa nguruwe kisasa unauwezo wa kumiliki V8 kabisa.
 
Hilo chawa na chokocho asitupotezee muda......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…