GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #101
Naona wenye IST sasa mnakuja kwa Kufura kabisa. Ila Dotto Magari bhana eti akiwaona Watu wanaendesha Gari aina za IST anawaona ni kama vile wako Chooni Wanaukweka / Wanakunya kwa jinsi ambavyo huwa wanakuwa wamekaa katika Viti vyao vya Dereva.Hilo chawa na chokocho asitupotezee muda......
Niko kwenye discovery 3 nilitoka kwa rav 4....ila sio sawa kudharau ....ukiyapatia shukuru Mungu......Naona wenye IST sasa mnakuja kwa Kufura kabisa. Ila Dotto Magari bhana eti akiwaona Watu wanaendesha Gari aina za IST anawaona ni kama vile wako Chooni Wanaukweka / Wanakunya kwa jinsi ambavyo huwa wanakuwa wamekaa katika Viti vyao vya Dereva.
Endelea kuudhihirishia ukichaa wako wa kurithiKama wale Waliokuzaa.
Sijajua hii personal attack kwangu au kwa mtoa post but bottom line is behind every id kuna watu wana jiweza, bottom line is si vizuri kumponda mtu mwenye uwezo mdogo wa ku afford IST just because una gari kubwa kuliki hiyo. Si kila mtu ana financial muscle ya ku perchase VX,vanguard, or haya rav 4 new models na beand nyingineYaani kila Mtu hapa JamiiForums anajifanya ni Tajiri na ana Gari wakati wengine hata mnavyoandika tu mnaonekana ni Masikini na Washamba fulani hivi mliojaa Sifa na kutaka Kujionyesha.
Kwahiyo unamiliki Xtrail?
Imani tu hizo man😁Mara nyingi watu wenye dharau maisha yao huishia kuwa magumu sana... endeleza tu dharau
Ukichaa wangu wa Kurithi unauzidi ule walionao wale Waliokuzaa?Endelea kuudhihirishia ukichaa wako wa kurithi
Kwakuwa unamiliki IST yako hiyo ya Mkopo?Dotto ana dharau sana
Za Boss wako Mzungu hizi na Wewe ni Dereva.
Tafuta hela kijana acha masimango, hivi ni vitu vya kawaida kwa vijana tunaojitafuta na kujipata.Za Boss wako Mzungu hizi na Wewe ni Dereva.
Dotto Magari huwa hakai chooni? Au anajisaidia wima."Halafu utakuta Mtu bila Aibu anaendesha IST yake halafu na Yeye akifika Kwake anapiga Honi afunguliwe Geti. Hivi hawaoni Aibu? Mwenye Range Rover na Gari zingine za Thamani kama Mercedes Benz na Landcruiser V8 VX wapige Honi na Wewe mwenye Gari yenye Thamani kama ya hii Simu yangu ya Shilingi Milioni 8 unapata wapi Uthubutu huo wa Kupiga Honi?" amesema Influencer Dotto Magari.
Haya wale mnaomiliki IST njooni hapa mumtolee Povu Dotto Magari japo Mimi kama kawaida nakubaliana nae 100%.
Ulimbukeni upo siku zote katika dunia asamehewe bure."Halafu utakuta Mtu bila Aibu anaendesha IST yake halafu na Yeye akifika Kwake anapiga Honi afunguliwe Geti. Hivi hawaoni Aibu? Mwenye Range Rover na Gari zingine za Thamani kama Mercedes Benz na Landcruiser V8 VX wapige Honi na Wewe mwenye Gari yenye Thamani kama ya hii Simu yangu ya Shilingi Milioni 8 unapata wapi Uthubutu huo wa Kupiga Honi?" amesema Influencer Dotto Magari.
Haya wale mnaomiliki IST njooni hapa mumtolee Povu Dotto Magari japo Mimi kama kawaida nakubaliana nae 100%.
Sina hata hiyo IST ila jamaa ana dharau sana.Kwakuwa unamiliki IST yako hiyo ya Mkopo?
Hata mimi Toyota Ist siwezi kununua hata ivyo vi passo sitaki mimi gari zangu ni Landcruiser V8 VX , Mercedes Benzi ndo gari zangu mimi"Halafu utakuta Mtu bila Aibu anaendesha IST yake halafu na Yeye akifika Kwake anapiga Honi afunguliwe Geti. Hivi hawaoni Aibu? Mwenye Range Rover na Gari zingine za Thamani kama Mercedes Benz na Landcruiser V8 VX wapige Honi na Wewe mwenye Gari yenye Thamani kama ya hii Simu yangu ya Shilingi Milioni 8 unapata wapi Uthubutu huo wa Kupiga Honi?" amesema Influencer Dotto Magari.
Haya wale mnaomiliki IST njooni hapa mumtolee Povu Dotto Magari japo Mimi kama kawaida nakubaliana nae 100%.