Dotto Magari: Nikimuona Mtu (hasa Mwanaume) anaendesha IST namdharau kwani namuona kama vile amekaa Chooni kwa jinsi anavyoiendesha

Dotto Magari: Nikimuona Mtu (hasa Mwanaume) anaendesha IST namdharau kwani namuona kama vile amekaa Chooni kwa jinsi anavyoiendesha

Hilo chawa na chokocho asitupotezee muda......
Naona wenye IST sasa mnakuja kwa Kufura kabisa. Ila Dotto Magari bhana eti akiwaona Watu wanaendesha Gari aina za IST anawaona ni kama vile wako Chooni Wanaukweka / Wanakunya kwa jinsi ambavyo huwa wanakuwa wamekaa katika Viti vyao vya Dereva.
 
Naona wenye IST sasa mnakuja kwa Kufura kabisa. Ila Dotto Magari bhana eti akiwaona Watu wanaendesha Gari aina za IST anawaona ni kama vile wako Chooni Wanaukweka / Wanakunya kwa jinsi ambavyo huwa wanakuwa wamekaa katika Viti vyao vya Dereva.
Niko kwenye discovery 3 nilitoka kwa rav 4....ila sio sawa kudharau ....ukiyapatia shukuru Mungu......
 
Yule Boss wake ISSA Tambuu Yuko humble sana. Ni mdogo Kwa Umri kuliko Dotto but Yuko Matured Enough.

Huyu Dotte ana wenge la Methadone.
 
Yaani kila Mtu hapa JamiiForums anajifanya ni Tajiri na ana Gari wakati wengine hata mnavyoandika tu mnaonekana ni Masikini na Washamba fulani hivi mliojaa Sifa na kutaka Kujionyesha.
Sijajua hii personal attack kwangu au kwa mtoa post but bottom line is behind every id kuna watu wana jiweza, bottom line is si vizuri kumponda mtu mwenye uwezo mdogo wa ku afford IST just because una gari kubwa kuliki hiyo. Si kila mtu ana financial muscle ya ku perchase VX,vanguard, or haya rav 4 new models na beand nyingine
 
Kwahiyo unamiliki Xtrail?
20240925_081648.jpg
 
"Halafu utakuta Mtu bila Aibu anaendesha IST yake halafu na Yeye akifika Kwake anapiga Honi afunguliwe Geti. Hivi hawaoni Aibu? Mwenye Range Rover na Gari zingine za Thamani kama Mercedes Benz na Landcruiser V8 VX wapige Honi na Wewe mwenye Gari yenye Thamani kama ya hii Simu yangu ya Shilingi Milioni 8 unapata wapi Uthubutu huo wa Kupiga Honi?" amesema Influencer Dotto Magari.

Haya wale mnaomiliki IST njooni hapa mumtolee Povu Dotto Magari japo Mimi kama kawaida nakubaliana nae 100%.
Dotto Magari huwa hakai chooni? Au anajisaidia wima.

Atueleze, yeye ana kiwanda gani cha magari tukanunue.

Huyu mlaanifu ni wa kumpuuza
 
"Halafu utakuta Mtu bila Aibu anaendesha IST yake halafu na Yeye akifika Kwake anapiga Honi afunguliwe Geti. Hivi hawaoni Aibu? Mwenye Range Rover na Gari zingine za Thamani kama Mercedes Benz na Landcruiser V8 VX wapige Honi na Wewe mwenye Gari yenye Thamani kama ya hii Simu yangu ya Shilingi Milioni 8 unapata wapi Uthubutu huo wa Kupiga Honi?" amesema Influencer Dotto Magari.

Haya wale mnaomiliki IST njooni hapa mumtolee Povu Dotto Magari japo Mimi kama kawaida nakubaliana nae 100%.
Ulimbukeni upo siku zote katika dunia asamehewe bure.
 
"Halafu utakuta Mtu bila Aibu anaendesha IST yake halafu na Yeye akifika Kwake anapiga Honi afunguliwe Geti. Hivi hawaoni Aibu? Mwenye Range Rover na Gari zingine za Thamani kama Mercedes Benz na Landcruiser V8 VX wapige Honi na Wewe mwenye Gari yenye Thamani kama ya hii Simu yangu ya Shilingi Milioni 8 unapata wapi Uthubutu huo wa Kupiga Honi?" amesema Influencer Dotto Magari.

Haya wale mnaomiliki IST njooni hapa mumtolee Povu Dotto Magari japo Mimi kama kawaida nakubaliana nae 100%.
Hata mimi Toyota Ist siwezi kununua hata ivyo vi passo sitaki mimi gari zangu ni Landcruiser V8 VX , Mercedes Benzi ndo gari zangu mimi
 
Back
Top Bottom