Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Dotto anaongea ukweli wasomi lazima wabadilike tena sana.
Zaidi ya vyeti na ajira ni kitu gani kikubwa msomi ana miliki wakuu?
VYETI: Msomi akifa watoto hawawezi kurithi vyeti.
Akifa tu vyeti vinatupwa jalalani havina kazi tena.
AJIRA: Msomi akifa watoto hawawezi kuirithi. Akifa tu ajira inatangazwa upya.
Mwisho msomi hana nafasi ya kuwa maarufu zaidi zaidi anajificha site.
Sasa ni kitu gani msomi anaweza kujitetea kwa Dotto kijana maarufu mwenye pesa nyingi?.
✅The question is: How can we convert this education into money? How can we turn these A's, B's, and C's into money?
✅Dotto is right, and I stand with Dotto.
✅May God guide all of us in converting our A's, B's, and C's into money—that's where the real value of education lies.
Zaidi ya vyeti na ajira ni kitu gani kikubwa msomi ana miliki wakuu?
VYETI: Msomi akifa watoto hawawezi kurithi vyeti.
Akifa tu vyeti vinatupwa jalalani havina kazi tena.
AJIRA: Msomi akifa watoto hawawezi kuirithi. Akifa tu ajira inatangazwa upya.
Mwisho msomi hana nafasi ya kuwa maarufu zaidi zaidi anajificha site.
Sasa ni kitu gani msomi anaweza kujitetea kwa Dotto kijana maarufu mwenye pesa nyingi?.
✅The question is: How can we convert this education into money? How can we turn these A's, B's, and C's into money?
✅Dotto is right, and I stand with Dotto.
✅May God guide all of us in converting our A's, B's, and C's into money—that's where the real value of education lies.