Dotto yupo sahihi wasomi hatuutumii mtaji wetu wa elimu tulio utafuta kwa miaka mingi kutafuta pesa kama wengine

Dotto yupo sahihi wasomi hatuutumii mtaji wetu wa elimu tulio utafuta kwa miaka mingi kutafuta pesa kama wengine

Zaidi ya vyeti na ajira ni kitu gani kikubwa msomi ana miliki wakuu?

Hapa ulikua uunamaanisha kwamba wasomi hawana vitu wanamiliki?
Unatamka kusema wasomi hawamiliki:-
nyumba?
Viwanja?
Magari?
Flemu za biashara?

Wasomi hawawapi elimu nzuri watoto wao?
Hakuna wasomi waliwapa mitaji ya biashara watoto wao?

Unataka kusema watoto wa wasomi hawanaga future?

Unataka kusema doto magari amewazidi maisha wasomi wote?
 
Mzee sio kila kitu ni changamoto.
Wengine hatuamini mambo ya changamoto.
We are speaking to see resolutions. Changamoto sio lazima uzione wewe, na sio kama usipoziona hazipo. Tunaangalia maisha ya watu wengine katika jamii yetu. Kuna mambo yanatka taaluma na utekelezaj tu, na hawa ndio watu wanaozalishwa na mifumo ya elimu ingawa nafas hazitosh au capacity ni ndogo. Una elim gani mkuu
 
Zaidi ya vyeti na ajira ni kitu gani kikubwa msomi ana miliki wakuu?

Hapa ulikua uunamaanisha kwamba wasomi hawana vitu wanamiliki?
Unatamka kusema wasomi hawamiliki:-
nyumba?
Viwanja?
Magari?
Flemu za biashara?

Wasomi hawawapi elimu nzuri watoto wao?
Hakuna wasomi waliwapa mitaji ya biashara watoto wao?

Unataka kusema watoto wa wasomi hawanaga future?

Unataka kusema doto magari amewazidi maisha wasomi wote?
Watu wanasahau kuangalia quantity na quality. Watu wenye kipato cha kati kama dotto magari kwa kazi hiz ni idad ndogo sana. Wasomi wenye maisha kama yale ya doto magari ni wengi sana na sio lazima kila mtu aya(wa)jue
 
Dotto anaongea ukweli wasomi lazima wabadilike tena sana.

Zaidi ya vyeti na ajira ni kitu gani kikubwa msomi ana miliki wakuu?

VYETI: Msomi akifa watoto hawawezi kurithi vyeti.
Akifa tu vyeti vinatupwa jalalani havina kazi tena.

AJIRA: Msomi akifa watoto hawawezi kuirithi. Akifa tu ajira inatangazwa upya.

Mwisho msomi hana nafasi ya kuwa maarufu zaidi zaidi anajificha site.

Sasa ni kitu gani msomi anaweza kujitetea kwa Dotto kijana maarufu mwenye pesa nyingi?.
wewe nae acha kujishusha heshima yako aliyekwambia wasomi hawajielewi ni nani..
unaposema wasomi wa hii nchi hawajielewi maana yake unamtuka rais, mawaziri na watendaji wote wa serikali ambao ni mamilioni wote hao hawajielewi yaani sababu ya ukosefu wa ajira kusifanye wasomi wadharauriwe na wajinga wachache kama kina dotto anapewa airtime kama comedian na sio kama professional..!
unadhani bila elimu haya maendelea ya tekinolojia, miundombinu, afya yangefikiwaje hizo gari anazojisifia kuuza zilitengenezwa na wapumbavu kama yeye au!

mimi binafsi namchukulia ni mfurahisa genge tu mitandao isipoe ila sio kumfanya sasa awe icon isee bado sana yule maana hata barua tu kusoma hajui.
 
We are speaking to see resolutions. Changamoto sio lazima uzione wewe, na sio kama usipoziona hazipo. Tunaangalia maisha ya watu wengine katika jamii yetu. Kuna mambo yanatka taaluma na utekelezaj tu, na hawa ndio watu wanaozalishwa na mifumo ya elimu ingawa nafas hazitosh au capacity ni ndogo. Una elim gani mkuu
Kila mtu afanye anachoweza kufanya kwa nafasi yake. Yeye anafanya hivyo. Na raia wenye utitiri wa degree nao wafanye kwa elimu yao kutatuq changamoto zilizo kwenye uwezo wao.

Kama unapenda changamoto.
Yeye anatatua changamoto za masoko kwa wengi ambao hawana wateja kwa kupromote bidhaa zao. Hao wasomi wa marketing na wao wafanye kwa elimu zao.

Yeye anampigia promo mama kwa dizaidi flani. Na wasomi wa siasa na wao waonyeshe taaluma zak kwenye cyama vyao vya siasa.

Yeye ametatua changamoto za familia yake kwa kiasi fkani. Na wasomi nao angalau watatue zao.
 
Zaidi ya vyeti na ajira ni kitu gani kikubwa msomi ana miliki wakuu?

Hapa ulikua uunamaanisha kwamba wasomi hawana vitu wanamiliki?
Unatamka kusema wasomi hawamiliki:-
nyumba?
Viwanja?
Magari?
Flemu za biashara?

Wasomi hawawapi elimu nzuri watoto wao?
Hakuna wasomi waliwapa mitaji ya biashara watoto wao?

Unataka kusema watoto wa wasomi hawanaga future?

Unataka kusema doto magari amewazidi maisha wasomi wote?
Elimu ni kile kilichobaki kichwani baada ya kusahau vyote ulivyojifunza darasani.
 
Kila mtu afanye anachoweza kufanya kwa nafasi yake. Yeye anafanya hivyo. Na raia wenye utitiri wa degree nao wafanye kwa elimu yao kutatuq changamoto zilizo kwenye uwezo wao.

Kama unapenda changamoto.
Yeye anatatua changamoto za masoko kwa wengi ambao hawana wateja kwa kupromote bidhaa zao. Hao wasomi wa marketing na wao wafanye kwa elimu zao.

Yeye anampigia promo mama kwa dizaidi flani. Na wasomi wa siasa na wao waonyeshe taaluma zak kwenye cyama vyao vya siasa.

Yeye ametatua changamoto za familia yake kwa kiasi fkani. Na wasomi nao angalau watatue zao.
Ok
 
Watu weupe sana. Hii mada nzuri ila aina ya watu wanaoijadili hakuna cha maana hapa hainifai hata dakika moja. Jambo la jamii nzima linaangaliwa ngazi ya mtu mmoja mmoja
 
Dotto anaongea ukweli wasomi lazima wabadilike tena sana.

Zaidi ya vyeti na ajira ni kitu gani kikubwa msomi ana miliki wakuu?

VYETI: Msomi akifa watoto hawawezi kurithi vyeti.
Akifa tu vyeti vinatupwa jalalani havina kazi tena.

AJIRA: Msomi akifa watoto hawawezi kuirithi. Akifa tu ajira inatangazwa upya.

Mwisho msomi hana nafasi ya kuwa maarufu zaidi zaidi anajificha site.

Sasa ni kitu gani msomi anaweza kujitetea kwa Dotto kijana maarufu mwenye pesa nyingi?.

Kwani Mkuu doto magari katangaza kawaachia nini wanae?

Doto katangaza anakiasi gani cha pesa mpaka ukasema wasomi hawana cha kujitetea kwa doto magari?

Inamaana Mkuu inabidi wasomi wote wawe maarufu? ili iweje?
Nitajie nchi Gani duniani wasome wote maarufu?
 
Dotto anaongea ukweli wasomi lazima wabadilike tena sana.

Zaidi ya vyeti na ajira ni kitu gani kikubwa msomi ana miliki wakuu?

VYETI: Msomi akifa watoto hawawezi kurithi vyeti.
Akifa tu vyeti vinatupwa jalalani havina kazi tena.

AJIRA: Msomi akifa watoto hawawezi kuirithi. Akifa tu ajira inatangazwa upya.

Mwisho msomi hana nafasi ya kuwa maarufu zaidi zaidi anajificha site.

Sasa ni kitu gani msomi anaweza kujitetea kwa Dotto kijana maarufu mwenye pesa nyingi?.

✅The question is: How can we convert this education into money? How can we turn these A's, B's, and C's into money?

✅Dotto is right, and I stand with Dotto.

✅May God guide all of us in converting our A's, B's, and C's into money—that's where the real value of education lies.
Kazi ya elimu sio kutafuta pesa, nu kutatua changamoto za kwenye jamii, Pesa ni matokeo
 
Kwa wastani watu walioenda shule wanamaisha bora kwa mbali sana ukilinganisha na wasiopita shule
 
Back
Top Bottom