Ramsy Dalai Lama
Senior Member
- Apr 5, 2021
- 156
- 554
Zaidi ya vyeti na ajira ni kitu gani kikubwa msomi ana miliki wakuu?
Hapa ulikua uunamaanisha kwamba wasomi hawana vitu wanamiliki?
Unatamka kusema wasomi hawamiliki:-
nyumba?
Viwanja?
Magari?
Flemu za biashara?
Wasomi hawawapi elimu nzuri watoto wao?
Hakuna wasomi waliwapa mitaji ya biashara watoto wao?
Unataka kusema watoto wa wasomi hawanaga future?
Unataka kusema doto magari amewazidi maisha wasomi wote?
Hapa ulikua uunamaanisha kwamba wasomi hawana vitu wanamiliki?
Unatamka kusema wasomi hawamiliki:-
nyumba?
Viwanja?
Magari?
Flemu za biashara?
Wasomi hawawapi elimu nzuri watoto wao?
Hakuna wasomi waliwapa mitaji ya biashara watoto wao?
Unataka kusema watoto wa wasomi hawanaga future?
Unataka kusema doto magari amewazidi maisha wasomi wote?