Ramsy Dalai Lama
Senior Member
- Apr 5, 2021
- 156
- 554
We are speaking to see resolutions. Changamoto sio lazima uzione wewe, na sio kama usipoziona hazipo. Tunaangalia maisha ya watu wengine katika jamii yetu. Kuna mambo yanatka taaluma na utekelezaj tu, na hawa ndio watu wanaozalishwa na mifumo ya elimu ingawa nafas hazitosh au capacity ni ndogo. Una elim gani mkuuMzee sio kila kitu ni changamoto.
Wengine hatuamini mambo ya changamoto.
Watu wanasahau kuangalia quantity na quality. Watu wenye kipato cha kati kama dotto magari kwa kazi hiz ni idad ndogo sana. Wasomi wenye maisha kama yale ya doto magari ni wengi sana na sio lazima kila mtu aya(wa)jueZaidi ya vyeti na ajira ni kitu gani kikubwa msomi ana miliki wakuu?
Hapa ulikua uunamaanisha kwamba wasomi hawana vitu wanamiliki?
Unatamka kusema wasomi hawamiliki:-
nyumba?
Viwanja?
Magari?
Flemu za biashara?
Wasomi hawawapi elimu nzuri watoto wao?
Hakuna wasomi waliwapa mitaji ya biashara watoto wao?
Unataka kusema watoto wa wasomi hawanaga future?
Unataka kusema doto magari amewazidi maisha wasomi wote?
wewe nae acha kujishusha heshima yako aliyekwambia wasomi hawajielewi ni nani..Dotto anaongea ukweli wasomi lazima wabadilike tena sana.
Zaidi ya vyeti na ajira ni kitu gani kikubwa msomi ana miliki wakuu?
VYETI: Msomi akifa watoto hawawezi kurithi vyeti.
Akifa tu vyeti vinatupwa jalalani havina kazi tena.
AJIRA: Msomi akifa watoto hawawezi kuirithi. Akifa tu ajira inatangazwa upya.
Mwisho msomi hana nafasi ya kuwa maarufu zaidi zaidi anajificha site.
Sasa ni kitu gani msomi anaweza kujitetea kwa Dotto kijana maarufu mwenye pesa nyingi?.
Kila mtu afanye anachoweza kufanya kwa nafasi yake. Yeye anafanya hivyo. Na raia wenye utitiri wa degree nao wafanye kwa elimu yao kutatuq changamoto zilizo kwenye uwezo wao.We are speaking to see resolutions. Changamoto sio lazima uzione wewe, na sio kama usipoziona hazipo. Tunaangalia maisha ya watu wengine katika jamii yetu. Kuna mambo yanatka taaluma na utekelezaj tu, na hawa ndio watu wanaozalishwa na mifumo ya elimu ingawa nafas hazitosh au capacity ni ndogo. Una elim gani mkuu
Elimu ni kile kilichobaki kichwani baada ya kusahau vyote ulivyojifunza darasani.Zaidi ya vyeti na ajira ni kitu gani kikubwa msomi ana miliki wakuu?
Hapa ulikua uunamaanisha kwamba wasomi hawana vitu wanamiliki?
Unatamka kusema wasomi hawamiliki:-
nyumba?
Viwanja?
Magari?
Flemu za biashara?
Wasomi hawawapi elimu nzuri watoto wao?
Hakuna wasomi waliwapa mitaji ya biashara watoto wao?
Unataka kusema watoto wa wasomi hawanaga future?
Unataka kusema doto magari amewazidi maisha wasomi wote?
OkKila mtu afanye anachoweza kufanya kwa nafasi yake. Yeye anafanya hivyo. Na raia wenye utitiri wa degree nao wafanye kwa elimu yao kutatuq changamoto zilizo kwenye uwezo wao.
Kama unapenda changamoto.
Yeye anatatua changamoto za masoko kwa wengi ambao hawana wateja kwa kupromote bidhaa zao. Hao wasomi wa marketing na wao wafanye kwa elimu zao.
Yeye anampigia promo mama kwa dizaidi flani. Na wasomi wa siasa na wao waonyeshe taaluma zak kwenye cyama vyao vya siasa.
Yeye ametatua changamoto za familia yake kwa kiasi fkani. Na wasomi nao angalau watatue zao.
Dotto anaongea ukweli wasomi lazima wabadilike tena sana.
Zaidi ya vyeti na ajira ni kitu gani kikubwa msomi ana miliki wakuu?
VYETI: Msomi akifa watoto hawawezi kurithi vyeti.
Akifa tu vyeti vinatupwa jalalani havina kazi tena.
AJIRA: Msomi akifa watoto hawawezi kuirithi. Akifa tu ajira inatangazwa upya.
Mwisho msomi hana nafasi ya kuwa maarufu zaidi zaidi anajificha site.
Sasa ni kitu gani msomi anaweza kujitetea kwa Dotto kijana maarufu mwenye pesa nyingi?.
Walikuwa na mentorsBiashara walioanza ukubwan kina Kentucky si wapo?
Na mimi niliuliza hili swali... Ili uwe msomi unatakiwa uwe na sifa zipi? Lakin mpaka sasa sijajibiwaKwanza tufafanue Msomi ni nani?
Kazi ya elimu sio kutafuta pesa, nu kutatua changamoto za kwenye jamii, Pesa ni matokeoDotto anaongea ukweli wasomi lazima wabadilike tena sana.
Zaidi ya vyeti na ajira ni kitu gani kikubwa msomi ana miliki wakuu?
VYETI: Msomi akifa watoto hawawezi kurithi vyeti.
Akifa tu vyeti vinatupwa jalalani havina kazi tena.
AJIRA: Msomi akifa watoto hawawezi kuirithi. Akifa tu ajira inatangazwa upya.
Mwisho msomi hana nafasi ya kuwa maarufu zaidi zaidi anajificha site.
Sasa ni kitu gani msomi anaweza kujitetea kwa Dotto kijana maarufu mwenye pesa nyingi?.
✅The question is: How can we convert this education into money? How can we turn these A's, B's, and C's into money?
✅Dotto is right, and I stand with Dotto.
✅May God guide all of us in converting our A's, B's, and C's into money—that's where the real value of education lies.