Naughty by nature
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 2,123
- 2,359
Mmbwa hao ni kuwatia adabu tuWana ajenda za hovyo sana,na ukiwaendekeza hawa huwez ongoza nchi kabisa,ni watu wa kupenda vitu vya dezo dezo wakiona hawavipati wanaanza fujo za waraka waraka zao,wakafungie vitumbua tuh
Acha matusi mbuzi wwPumbavu, tabla lasa, kichwa panzi nimesema gwajima alimtukana pengo kwa kumsupport kikwete(muislam) hiyo kumkosoa umetoa wapi wewe juha!?
Na wagalatia msahau kupewa tena nchi wauaji nyieHatuwezi kuweka nchi rehani Kwa wavaa kobazi never;
Wavaa kobazi huwa si mahasidi wala mafisadi. Siku zote wapo kuwaletea unafuu wa maisha wananchi. Tuliza munkari DP World wapo pale tayari kwa kazi. Ukipenda usipende.
Kumbe Islamic state, bokoharam Al-Qaida' ni wagalatiaNa wagalatia msahau kupewa tena nchi wauaji nyie
Na wagalatia msahau kupewa tena nchi wauaji nyie
Kipindi hiki ndicho cha kuwajua wakirito roho zao zilivyoWatupe majibu hawa PENGO na TEC,kwanin walikuwa mabubu during Benjamin Mkapa and Magufuli Regime??
Ajenda ya Udini unaweka wapi?wewe hapo ulipo kiroho kina kukeleketaAjenda ya udini haina maana yoyote.
Ajenda iliyopo ni Samia kuuza bandari yetu.
Akauze ya kwao Zanzibar.
Umesahau waraka wa maaskofu?Weka evidence ya TEC ikimkosoa JPM tuone
Pengo Ndio nani nchi hii?Friends and Enemies,
In order for the criticisms to be valid and acceptable must stand without biasness or manipulation.
Baraza la maaskofu na Cardinal PENGO in particular wamekuwa Kwa miaka mingi sana wakijipambanua kuwa ni Taasis zinazosimama na wananchi na kuwasemea Kwa niaba pale ambapo uongozi wa serikali unapofanya maamuz ambayo Yana ukakasi na yanagusa maslahi ya Taifa, ni jambo zuri na Kwa kias flan linastahili kupongezwa.
Suala ambalo Linazalisha maswali Kwa TEC na PENGO ni kwamba kwanini huwa wanakuwa kimya kwenye Regime zingine za Utawala hasa pale yanapotokea mambo ya ukakasi kwa Taifa pia?
During Benjamin Mkapa Regime tulishuhudia mauaji ya kikatili ya mwembechai,Unibinafsishaji wa mashirika ya umma na kias hata Mkapa mwenyew alikuja kukiri katika kitabu chake kuwa ni miongon mwa maamuzi ya hovyo kuwahi kufanyika katika Utawala wake, hakuonekana PENGO Wala TEC wakitoa kaul wala waraka za aina yoyote.
PENGO na TEC walikuja Kushamiri sana enzi za Regime ya kikwete, kiasi kwamba ilipelekea Kila anachokifanya kikwete kinageuka kuwa bango la waraka zisizoisha wenye macho waliona na bila shaka wenye kumbu kumbu wanakumbuka.
Regime ya JPM ilikua na mabaya na mazuri yake kama vile zilivyokuwa Regime zingine,mfano suala la kuizika demokrasia ndan ya nchi hii na kukandamizi uhuru wa vyombo vya habari na speech, kuminya upinzan kias had kufikia baadhi ya wapinzani kupigwa risasi ndani ya viunga vya bunge na wengine kupewa kesi za uzushi na kufungwa, hatusikia Wala kuona PENGO na TEC wakisimama kuzungumza Wala kutoa Waraka zao.
Sasa kitu kinachofikirisha, pamoja na Nia Yao njema PENGO na TEC Kwa Taifa kwanin wanakuwa selective katika kusimama na wananchi katika REGIME za uongozi ndani ya Taifa hili?
Nini kinawasukuma nyuma ya Criticism zao, uchungu Kwa Taifa lao au Wana ajenda zao za Udini?
Tukumbushe mkuuGwajima hakumtukana PENGO Kwa kumkosoa kikwete,weka memory zako SAWA
Kwahiyo wewe tatizo lako hapo ni Mwarabu? Angepewa Mzungu ungeona ni sawa tu sio?Mnaibuka mmoja mmoja,yaani ninyi kupewa rasilimali muhimu za taifa mwarabu hamuoni ubaya kwa sababu wamewarithisha dini hamuangalii athari zake.
Anachokifanya huyu mama wa kipemba ni kitu cha hatari sana,tupo 21 century lakini yeye analiingiza taifa kwenye mikataba ya karne ya 14 ambayo mpaka leo wale walioiingia wanajuta kwa athari zake.
Ulikuwepo kwenye maandamano aisee? Au ndio unabweka humu tu?Safi, kumbe unawafahamu hawa wanafiki, huu mchezo wao wa kizamani kuwalinda waharibifu kisa ni wenzao katika imani, safari hii umefika mwisho, watambue wamefeli, na hatanyamaza mtu.
Mzungu kwa sababu gani.....hapo uliponisoma kuna sehemu nimesema apewe mzungu?Kwahiyo wewe tatizo lako hapo ni Mwarabu? Angepewa Mzungu ungeona ni sawa tu sio?
Hawa Huwa ikija suala la Rais Muislamu Huwa nyaraka haziishi,ni wapuuzi sana,wanapenda kuyumbisha Serikali za Rais ambae sio MkatolikiFriends and Enemies,
In order for the criticisms to be valid and acceptable must stand without biasness or manipulation.
Baraza la maaskofu na Cardinal PENGO in particular wamekuwa Kwa miaka mingi sana wakijipambanua kuwa ni Taasis zinazosimama na wananchi na kuwasemea Kwa niaba pale ambapo uongozi wa serikali unapofanya maamuz ambayo Yana ukakasi na yanagusa maslahi ya Taifa, ni jambo zuri na Kwa kias flan linastahili kupongezwa.
Suala ambalo Linazalisha maswali Kwa TEC na PENGO ni kwamba kwanini huwa wanakuwa kimya kwenye Regime zingine za Utawala hasa pale yanapotokea mambo ya ukakasi kwa Taifa pia?
During Benjamin Mkapa Regime tulishuhudia mauaji ya kikatili ya mwembechai,Unibinafsishaji wa mashirika ya umma na kias hata Mkapa mwenyew alikuja kukiri katika kitabu chake kuwa ni miongon mwa maamuzi ya hovyo kuwahi kufanyika katika Utawala wake, hakuonekana PENGO Wala TEC wakitoa kaul wala waraka za aina yoyote.
PENGO na TEC walikuja Kushamiri sana enzi za Regime ya kikwete, kiasi kwamba ilipelekea Kila anachokifanya kikwete kinageuka kuwa bango la waraka zisizoisha wenye macho waliona na bila shaka wenye kumbu kumbu wanakumbuka.
Regime ya JPM ilikua na mabaya na mazuri yake kama vile zilivyokuwa Regime zingine,mfano suala la kuizika demokrasia ndan ya nchi hii na kukandamizi uhuru wa vyombo vya habari na speech, kuminya upinzan kias had kufikia baadhi ya wapinzani kupigwa risasi ndani ya viunga vya bunge na wengine kupewa kesi za uzushi na kufungwa, hatusikia Wala kuona PENGO na TEC wakisimama kuzungumza Wala kutoa Waraka zao.
Sasa kitu kinachofikirisha, pamoja na Nia Yao njema PENGO na TEC Kwa Taifa kwanin wanakuwa selective katika kusimama na wananchi katika REGIME za uongozi ndani ya Taifa hili?
Nini kinawasukuma nyuma ya Criticism zao, uchungu Kwa Taifa lao au Wana ajenda zao za Udini?
Mbona wewe ni Mdini sana tu. Nyani haoni mku...wakeAjenda ya udini Haina maana kweli km unavyosema,ila TEC na PENGO ni Taasis za dini, kwanin wanakuwa selective na double standards?
Mbona unakua na akili za Panzi? Nimekuuliza swali,sijakwambia umesema mzungu,tuliza akili acha kuandika huku unatetemeka.Mzungu kwa sababu gani.....hapo uliponisoma kuna sehemu nimesema apewe mzungu?
Weka mahaba ya dini pembeni wewe unadhani nimeandika hapo ili kupinga bandari kupewa mwarabu anayejulikana kama muslm sasa unanizodoa kwa kuhisi kwamba mimi Mkristo nilitamani apewe mzungu,tuzungumze kitaifa acheni hizi pumba mnazoleta.
Ni watu hatariKipindi hiki ndicho cha kuwajua wakirito roho zao zilivyo
Kawaida yenu mkishajiona hamna hoja,unaruka ruka hapa ku-provoke ukidhani nitakuacha hoja ya kama apewe mzungu na siyo muarabu ni wewe umeileta ndiyo maana nikakuuliza...Mbona unakua na akili za Panzi? Nimekuuliza swali,sijakwambia umesema mzungu,tuliza akili acha kuandika huku unatetemeka.