"Double Standards" ya TEC na Kardinali Pengo linapokuja suala la ukosoaji wa utawala

"Double Standards" ya TEC na Kardinali Pengo linapokuja suala la ukosoaji wa utawala

Friends and Enemies,

In order for the criticisms to be valid and acceptable must stand without biasness or manipulation.

Baraza la maaskofu na Cardinal PENGO in particular wamekuwa Kwa miaka mingi sana wakijipambanua kuwa ni Taasis zinazosimama na wananchi na kuwasemea Kwa niaba pale ambapo uongozi wa serikali unapofanya maamuz ambayo Yana ukakasi na yanagusa maslahi ya Taifa, ni jambo zuri na Kwa kias flan linastahili kupongezwa.

Suala ambalo Linazalisha maswali Kwa TEC na PENGO ni kwamba kwanini huwa wanakuwa kimya kwenye Regime zingine za Utawala hasa pale yanapotokea mambo ya ukakasi kwa Taifa pia?

During Benjamin Mkapa Regime tulishuhudia mauaji ya kikatili ya mwembechai,Unibinafsishaji wa mashirika ya umma na kias hata Mkapa mwenyew alikuja kukiri katika kitabu chake kuwa ni miongon mwa maamuzi ya hovyo kuwahi kufanyika katika Utawala wake, hakuonekana PENGO Wala TEC wakitoa kaul wala waraka za aina yoyote.

PENGO na TEC walikuja Kushamiri sana enzi za Regime ya kikwete, kiasi kwamba ilipelekea Kila anachokifanya kikwete kinageuka kuwa bango la waraka zisizoisha wenye macho waliona na bila shaka wenye kumbu kumbu wanakumbuka.

Regime ya JPM ilikua na mabaya na mazuri yake kama vile zilivyokuwa Regime zingine,mfano suala la kuizika demokrasia ndan ya nchi hii na kukandamizi uhuru wa vyombo vya habari na speech, kuminya upinzan kias had kufikia baadhi ya wapinzani kupigwa risasi ndani ya viunga vya bunge na wengine kupewa kesi za uzushi na kufungwa, hatusikia Wala kuona PENGO na TEC wakisimama kuzungumza Wala kutoa Waraka zao.

Sasa kitu kinachofikirisha, pamoja na Nia Yao njema PENGO na TEC Kwa Taifa kwanin wanakuwa selective katika kusimama na wananchi katika REGIME za uongozi ndani ya Taifa hili?

Nini kinawasukuma nyuma ya Criticism zao, uchungu Kwa Taifa lao au Wana ajenda zao za Udini?
Pengo Ndio nani nchi hii?
 
Mnaibuka mmoja mmoja,yaani ninyi kupewa rasilimali muhimu za taifa mwarabu hamuoni ubaya kwa sababu wamewarithisha dini hamuangalii athari zake.

Anachokifanya huyu mama wa kipemba ni kitu cha hatari sana,tupo 21 century lakini yeye analiingiza taifa kwenye mikataba ya karne ya 14 ambayo mpaka leo wale walioiingia wanajuta kwa athari zake.
Kwahiyo wewe tatizo lako hapo ni Mwarabu? Angepewa Mzungu ungeona ni sawa tu sio?
 
Safi, kumbe unawafahamu hawa wanafiki, huu mchezo wao wa kizamani kuwalinda waharibifu kisa ni wenzao katika imani, safari hii umefika mwisho, watambue wamefeli, na hatanyamaza mtu.
Ulikuwepo kwenye maandamano aisee? Au ndio unabweka humu tu?


😀 😀
 
Kwahiyo wewe tatizo lako hapo ni Mwarabu? Angepewa Mzungu ungeona ni sawa tu sio?
Mzungu kwa sababu gani.....hapo uliponisoma kuna sehemu nimesema apewe mzungu?

Weka mahaba ya dini pembeni wewe unadhani nimeandika hapo ili kupinga bandari kupewa mwarabu anayejulikana kama muslm sasa unanizodoa kwa kuhisi kwamba mimi Mkristo nilitamani apewe mzungu,tuzungumze kitaifa acheni hizi pumba mnazoleta.
 
Friends and Enemies,

In order for the criticisms to be valid and acceptable must stand without biasness or manipulation.

Baraza la maaskofu na Cardinal PENGO in particular wamekuwa Kwa miaka mingi sana wakijipambanua kuwa ni Taasis zinazosimama na wananchi na kuwasemea Kwa niaba pale ambapo uongozi wa serikali unapofanya maamuz ambayo Yana ukakasi na yanagusa maslahi ya Taifa, ni jambo zuri na Kwa kias flan linastahili kupongezwa.

Suala ambalo Linazalisha maswali Kwa TEC na PENGO ni kwamba kwanini huwa wanakuwa kimya kwenye Regime zingine za Utawala hasa pale yanapotokea mambo ya ukakasi kwa Taifa pia?

During Benjamin Mkapa Regime tulishuhudia mauaji ya kikatili ya mwembechai,Unibinafsishaji wa mashirika ya umma na kias hata Mkapa mwenyew alikuja kukiri katika kitabu chake kuwa ni miongon mwa maamuzi ya hovyo kuwahi kufanyika katika Utawala wake, hakuonekana PENGO Wala TEC wakitoa kaul wala waraka za aina yoyote.

PENGO na TEC walikuja Kushamiri sana enzi za Regime ya kikwete, kiasi kwamba ilipelekea Kila anachokifanya kikwete kinageuka kuwa bango la waraka zisizoisha wenye macho waliona na bila shaka wenye kumbu kumbu wanakumbuka.

Regime ya JPM ilikua na mabaya na mazuri yake kama vile zilivyokuwa Regime zingine,mfano suala la kuizika demokrasia ndan ya nchi hii na kukandamizi uhuru wa vyombo vya habari na speech, kuminya upinzan kias had kufikia baadhi ya wapinzani kupigwa risasi ndani ya viunga vya bunge na wengine kupewa kesi za uzushi na kufungwa, hatusikia Wala kuona PENGO na TEC wakisimama kuzungumza Wala kutoa Waraka zao.

Sasa kitu kinachofikirisha, pamoja na Nia Yao njema PENGO na TEC Kwa Taifa kwanin wanakuwa selective katika kusimama na wananchi katika REGIME za uongozi ndani ya Taifa hili?

Nini kinawasukuma nyuma ya Criticism zao, uchungu Kwa Taifa lao au Wana ajenda zao za Udini?
Hawa Huwa ikija suala la Rais Muislamu Huwa nyaraka haziishi,ni wapuuzi sana,wanapenda kuyumbisha Serikali za Rais ambae sio Mkatoliki
 
Mzungu kwa sababu gani.....hapo uliponisoma kuna sehemu nimesema apewe mzungu?

Weka mahaba ya dini pembeni wewe unadhani nimeandika hapo ili kupinga bandari kupewa mwarabu anayejulikana kama muslm sasa unanizodoa kwa kuhisi kwamba mimi Mkristo nilitamani apewe mzungu,tuzungumze kitaifa acheni hizi pumba mnazoleta.
Mbona unakua na akili za Panzi? Nimekuuliza swali,sijakwambia umesema mzungu,tuliza akili acha kuandika huku unatetemeka.
 
Mbona unakua na akili za Panzi? Nimekuuliza swali,sijakwambia umesema mzungu,tuliza akili acha kuandika huku unatetemeka.
Kawaida yenu mkishajiona hamna hoja,unaruka ruka hapa ku-provoke ukidhani nitakuacha hoja ya kama apewe mzungu na siyo muarabu ni wewe umeileta ndiyo maana nikakuuliza...

Uliponisoma na kuni-quote hiyo post mimi nilizungumza suala la bandari apewe nani?

Kuitana majina ya ajabu ajabu hakusaidii hata mimi nina uwezo wa kukujibu hivyo ila tuna uelewa tofauti akili hizo mimi sina.
 
Back
Top Bottom