Dozi 24 za kuzuia watoto wetu wa kiume wasiharibikiwe

Namba 23 😂
 
Sawa bwana msukule wa Mwendazake umeeleweka vyema
 
Naongezea hii mtoto wa kiume akiimba nyimbo za zuchu(nadeka ,napendwa ,natamaniwa,sukari,chapati,mandazi ,nk) mpigishe pushups 10 mara 5,planks dk 1 mara 10,jumping jack 100 mara 10,kichura chura 20 mara 5,HATORUDIA .Mimi sichapi mtoto wa kiume ni MAZOEZI ADHABU ,nachapa wa kike.
 
Hzo ngoma ngumu ni kama Depo JKT lazima unyooke😁

Watoto wa kiume wa Leo wamelegea sana mkuu
 
Dozi ya 2

Mfundishe mtoto wako wa kiume mfumo dume japokuwa Dunia inaulaani. Mwambie yeye ni mtawala popote aendapo! Mfumo dume ni mpango wa Mungu maana hata vitabu vitakatifu vinautukuza.
 
Sawa mkuu nitafanyia kazi
 
Hii dozi ni perfect. Wakati nasoma hii mida hii nipo mahala nimemaliza kucheki gemu ya utopolo dj anapiga nyimbo ya zuchu sukari, kuna kidume kipo pembeni yangu kinaimba kwa sauti yaani natamani nimchape kelbu ya kushoto.
 
Peleka Facebook.
 
daaah unaongea kama utani ila ipo hiyo kwenye jamii unalikuita lijamaa limeva suruali halafu limebana matako asee!!! Mungu atujalie!!!!
 

Tukukabidhi hili punga ja jf [mention]Chizi Maarifa [/mention] labda utaweza mtibu maana muda wote anawaza kupumuliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…