DP World inatisha 2: Tazama bandari inazozihudumia Uingereza

Tupe mfano wa nchi masikini kama ya kwetu iliyopata faida na maendeleo kwa uwekezaji wa DP katika bandari zao.Huko Uingereza DP hajaenda kuongeza chochote zaidi ya pesa za gesi.
Na mkataba uwekwe humu
 
 
Waarabu wa Dubai wanatisha kwenye biashara.


Mama Samia hujakosea kabisa kuamuwa kuwaleta DP World Tanzania.

Tupo na wewe 100%.
Tatzo sio waarabu....tatzo ni hizo terms za mkataba..Yani ni kama hati ya ndoa
 
Una hisa gani na dp?badla ya kuangalia mapagufu ya mkataba ww umekomalia dp.sisi hatuna shda na dp bali tuna shda na AINA YA mkataba wa dp na bandar yetu....

Credits GEBA2013
 
Wewe maslahi gani ya nchi unayoyajuwa wewe zaidi ya Mama Samia Suluhu Hassan?

Wacha upoyoyo wewe.
Kwahiyo kwa akilizako mwenye kujua maslahi ya nchi ni mama samia pekee cyo? Hivi kwa umri ulio nao hapo ndo mwisho wako wakufikiri au matumizi ya kichwa umehamishia tumboni ....... Time will tell
 
Hizi zote sisi tunaita ni MBA MBA MBA.... jikite kwenye hoja ya mikataba hakuna kati yetu asiye jua umuhimu wa uwekezaji na hakuna asiye penda wawekezaji mbona swisport wapo tangu 1985 na hatuwasemi
 
Kwahiyo kwa akilizako mwenye kujua maslahi ya nchi ni mama samia pekee cyo? Hivi kwa umri ulio nao hapo ndo mwisho wako wakufikiri au matumizi ya kichwa umehamishia tumboni ....... Time will tell
Wewe unayajuwa zaidi ya mama Samia.

Maslahi yako umejitimizia?
 
Hizi zote sisi tunaita ni MBA MBA MBA.... jikite kwenye hoja ya mikataba hakuna kati yetu asiye jua umuhimu wa uwekezaji na hakuna asiye penda wawekezaji mbona swisport wapo tangu 1985 na hatuwasemi
Bendera yao ina msalaba.
 
Mkataba upi unaouzungumzia wewe, wa Kuendesha bandari?
Kivyovyote utakavyouita...wa kuendesha...kuuza...kubinafsisha...makubaliano...ni sawa..ila Kuna mapungufu....na Kuna haja ya kurekebisha au kutoa maelezo sahihi kwa kutumia watu sahihi...(sio wanasiasa)...binafsi Sina shaka na DPW kama Wana uwezo wa kuendesha bandar zetu...wanao Tena sana tu...tatzo lililopo ni hizo terms za mkataba/makubaliano/IGA..
 
Huu ujinga wa waislam mkiona mwarabu mna m treat kama ndugu yenu sijui utaisha lini
mnamtetea mpaka basi
ungetuwekea mkataba wa huko nchi zenye akili tulinganishe na huu wa kwetu
Kila Muislam akiunga Mkono Mkataba wa DP World lazima muunganishe uungaji wake mkono na dini yake, Mkiitwa Wadini mnalalamika
mbona Mie Muislam na siungi mkono kwa vyovyote vile Mkataba wa DP World?
 
Ila inatumika nguvu kubwa
 
Mapungufu "hewa"?

Wanasheria wameshapeleka kesi mahakamani. Hamuwaamini wasomi wenu? Waliopeleka malalamiko na wanaotetea na watao amuwa?

Sasa hii tunataka serikali iwachane na kupeleka pesa taasisi za kidini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…