Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda sababu hao sio DP World; tuwaulize DP kama na hili wanaweza kufanya...Twambie hao walopewa uwanja wa ndege tokea mwaka huo mpk leo tumepata faida gani kama taifa wakati wanakabidhiwa uwanja wa ndege nadhan tz tulikuwa na ndege je zlienda wapi?
Hasara znazosemwa na CAG KILA MWAKA ZNATOKANA NA NN IKIWA UWANJA UNAENDESHWA VZURI NA WAWEKEZAJI?
Mnataka tuendelee kubaki misri wachachee muendeleee kula bandarini plsSikukosei heshima, ila wewe ni mjinga.
▪︎ Swissport wameuziwa viwanja vya ndege...
Kwanini hataki ushindani dunia hii huria?Wanalijua hili bali shida yao kuu ni mwekezaji kuwa ni mwarabu. Mkataba huu una lugha ngumu yenye nia ya kulinda mali na mtaji wa mwekezaji. Tanzania Ina bandari nyingi, hakuna mwekezaji mwenye akili timamu atakubali kuweka mapesa yake mengi kwenye...
Bisahaooooo wanapiga keleleee wana maslah bandarini
bandari ina mambo mengi ndugu usisikieeee kuna watu wanatoka na hadi mil/day
wanajua wakija hawa michongo inakufa
ushauri huu mzigo tushautua muda ukifika utaongea kama hamjajiaandaa na uraian muanze sasa
jichanganyeni na watu
Plagiarism,Ndugu zanguni
Naomba niwakumbushe tu kua huduma za Uwanja wa ndege wa Dar zinaendeshwa na Swissport ambayo ni kampuni ya Switzerland toka mwaka 1985 ambapo wengi mnaopiga mayowe mlikua bado hata haijuilikani kama mtakuaja Duniani. Lakini kwa kua utendaji wao ni wa kiwango cha juu ndio maana wako mpaka leo pale
Haya tusitokwe mapovu. Swissport wanahudumia viwanja zaidi ya 200 duniani. Kwa wale mliowahi safiri lazima umeona mabango yao
TICTS wako bandarini miaka 33 sasa na hawajawahi nunua hata crane moja na utendaji wao umekutuumiza sana Wafanya biashara. Yaani mara kwa mara tumezoea kumuona Mh Waziri Mkuu akienda pale kuwahimiza wafanye kazi kwa bidii makontena yatoke. Hata hii ya masaa 24 ni baada ya Mh Waziri Mkuu kuwaambia wafanye kazi masaa 24 kuondoa msongamano port
Ndugu zanguni , sijawahi sikia mtu akilalamika kuhusu Swissport sababu utendaji wao ni wa kiwango cha juu sana.
Tumechoka hii aibu ya meli kukwepa bandari ya Dar sababu ya miundombinu mibovu.
NB: Natoa kauli hii nikiwa mmoja wa watumiaji wakubwa wa bandari na sio chawa asiejua hata meli ina magurudumu mangapi.
Niko tayari kukaa meza moja na Rafiki yangu wa Zamani Lema tulijadili hili ili wazi na kwa Data. Juzi nimemsikia akiongea kwa data za kupotosha. Ili mwananchi wa kawaida aelewe ninaomba niwekwe uwanja mmoja nae tujadiliane kwa hoja. Naamini hata yeye atanielewa na atakubaliana nami
Kwahiyo umeanzisha uzi hata mkataba haujauona!Tulet
Ee hiyo nakala mkataba tuone wewe umeelewa nini? Kima wewe
wayahudi tunajua ni akina nani kwa habari za Mungu. Msituletee mambo ya assimilation policy kukubaliana na ukoloniWakatoliki mmeumia kweli kweli poleni aisee! Soon tutawaleta wayahudi hapa
AAaaa!! unapokubali kuwekeza maana yake umejipigia hesabu za magazijuto kujua ukubwa wa biashara, wingi wa wateja na faida utakayoipata. Ndio maana wenye biashara ya malori wanaihujumu treni ya mizigo, na wenye usafiri wa mabasi wanaikasirikia treni ya abiria. Ndio maana mwekezaji anataka lazima apewe taarifa yeye kwanza kama serikali itataka kukodisha au kuboresha bandari yake nyingine ili ikiwezekani apewe yeye aiboreshe na kuiendesha ili kupunguza upinzani na ushindani.Kwanini hataki ushindani dunia hii huria?
Mbona Marekani amepewa bandari moja tu, nyinginezo wanapewa wengine na zinaendelezwa? Same kwa Uingereza?AAaaa!! unapokubali kuwekeza maana yake umejipigia hesabu za magazijuto kujua ukubwa wa biashara, wingi wa wateja na faida utakayoipata. Ndio maana wenye biashara ya malori wanaihujumu treni ya mizigo, na wenye usafiri wa mabasi wanaikasirikia treni ya abiria. Ndio maana mwekezaji anataka lazima apewe taarifa yeye kwanza kama serikali itataka kukodisha au kuboresha bandari yake nyingine ili ikiwezekani apewe yeye aiboreshe na kuiendesha ili kupunguza upinzani na ushindani.
Hajasema wasipewe Wala kuendelezwa, bali aambiwe mapema ili ajipange kulingana na mwekezaji mpya. Hata hivyo volume ya biashara/mizingo kwenye nchi inayohudumiwa na bandari ni muhimu sana, hapa Tanzania Kuna vijimizigo TU kulinganisha na US.Mbona Marekani amepewa bandari moja tu, nyinginezo wanapewa wengine na zinaendelezwa? Same kwa Uingereza?