DP World inatisha 2: Tazama bandari inazozihudumia Uingereza

DP World inatisha 2: Tazama bandari inazozihudumia Uingereza

Mnaratibu maandamano lakini hamutokei site kazi kupayuka tu kwenye midia acha tuuzwe hatuna namna, watanzania tuna nidhamu ya uoga afu tunaogopa virungu vya kina fanya fujo uone.
 
Uyahudi na Ukristo mbona ni imani mbili tofauti au hujui?
Sema kuhusu mzungu tu
Mimi najua na nimesha waelewesha sana humu kua Judaism haikubaliani na christianity ila wao wanajua kua Yahudi ni mwenzao na hawataki kuelewa,

Labda wewe uwaeweshe huenda wakakuelewa.
 
Ni kama vile

Unamtupia kuku punje alafu unamvizia ,
Au ni kama unamtegea nyama yenye sumu halafu ya kukaanga panya ,halafu unaenda kulala zako,
Pumbavu kabisa ,uzeni za kwenu zanzibar
 
Fa
Fala wewe unajidai unawajua DP World! Mbona kabla hawajakuja hukuwahi kuwataja popote kima wewe wakati wa kampeni zako chafu za kidini! Boya tuu wewe fala
DP World nilikuwa siwajyi kabla, nani alikwambia nilikuwa nawajuwa? Au unejidangabya tu kichwani mwako?

Naona umekuwa muongo mpaka unajidanganya wewe mwenyewe.


Mini naijuwa Dubai World miaka mingi kabla ya kuijuwa DP World. DP World nimewajuwa kusnzua mwaka jana nilipoenda Dubai 2022.


Kwani huelewi maana ya dunia kiganjani?


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Chawa mzee.
Inatisha nini?
Na mkiendelea kulipigia makofi hili suala la DP W muungano utakatika vipande vipande.
 
Naona hoja za bandari zimekushinda umeanza kuhororoja, kubwabwaja na kubweka bila mpango.


Kwa kutumia lugha yako, Uingereza siyo jirani yetu. Jirani zetu ni wanaotuzunguka. Ususahau hilo.


Tunaisikfia DP World kwa kuwa tumepeleka posa tuoane nao. Sasa Wajomba lazima tuwasifie sifie msiipingepinge ndoa ingawa wajomba wenyewe ndiyo mpo vile. Kina Deus Soka.

Waarabu wanasema "mjomba ni mzazi hata kama ni kiazi cha orojo".

Utajaza.mwenyewe mjomba.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Wewe ni mtumwa,

Usituambukize ujinga.

Nchi hii tunaweza kujitegemea bila kuruhusu majirani kuingia Hadi chumbani.
 
Kwani jibu si ni jepeai tuu hatuitaki DP WORLD kwani mbona wanatumia nguvu kubwa sana kuwalazimisha Watanzania?
nguvu ya wengi ni nguvu ya Mungu
 
UNAHANGAIKA sana.

WATU WANAKATAA vipengele vya MKATABA sio DPW.

FICHA UPUMBAFU WAKO.
 
DP World wameunda biashara iliyounganishwa kwa ubora wa hali juu - bandari mbili za kina kirefu zenye vituo vya reli ya mizigo huko London Gateway na Southampton, kituo cha vifaa (logistics park) inayopanuka kwa kasi na biashara ya juu ya
Kilichokutisha ni huo mkusanyiko wa makontena? 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
DP World wameunda biashara iliyounganishwa kwa ubora wa hali juu - bandari mbili za kina kirefu zenye vituo vya reli ya mizigo huko London Gateway na Southampton, kituo cha vifaa (logistics park) inayopanuka kwa kasi na biashara ya juu ya programu za software zinazotoa viunganisho vya mtandaoni kwa wateja na udhibiti wa usalama.

DP World wamewekeza kwenye miundombinu sahihi ya biashara na masuluhisho mahiri ya vifaa kwa wateja wao wsnaotumia bandari hizo. Kila mwaka, DP World kupitia bandari hizo wanasafirisha takriban kontena milioni 3.6 - bidhaa zenye thamani ya £43 bilioni katika kontena hizi husafirishwa kwenda na kutoka nchi zilizo nje ya EU.

DP World wanaamini katika soko la Uingereza wana matarajio na rasilimali za kutosha kuhimili na kuboresha ukuwaji, kusaidia biashara, kuunda nafasi za kazi na kuboresha viwango vya maisha. Utaalam wao wa biashara unaoongoza katika sekta ya bandari, unatambuliwa kwa kutoa ushauri wa kiufundi na wa kimkakati mara kwa mara kwa Serikali ya Uingereza.



Chanzo: DP World in the UK
Tuone mikataba waliyoingia na Uingereza ili tuufananishe na wa Tz!
 
Umeliona hilo eeh? Mwanamke makalio.


Tazama DP World wanafanya nini Uingereza👇🏾




Mambo hayo 👆🏾tunayataka Dar haraka sana.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.

Sio Dar mkataba unasema bandari zote,pamoja na zile kwenye maziwa makuu.usijitoe akili
 
Mama anaupiga mwingi sana kama vipi hao DP world waende mpaka kule kilwa, Mafya na Lindi bandari zina hali mbaya sana kama watu wanaofanya maigizo [emoji23][emoji2][emoji2].
 
Sio Dar mkataba unasema bandari zote,pamoja na zile kwenye maziwa makuu.usijitoe akili
Sawa kabisa, mambo bado, kuna mikataba 36. Jionee 👇🏾



Mtakufa navyo vijiba vya roho.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Ushahidi huu hapa kuwa DP World ni wezi na matapeli,kwenye nchi za wenye akili wanafukuzwa kama mbwa
 
Tuonyeshe na zile bandar za Djibouti tuone walifikia wapi
DP World wameunda biashara iliyounganishwa kwa ubora wa hali juu - bandari mbili za kina kirefu zenye vituo vya reli ya mizigo huko London Gateway na Southampton, kituo cha vifaa (logistics park) inayopanuka kwa kasi na biashara ya juu ya programu za software zinazotoa viunganisho vya mtandaoni kwa wateja na udhibiti wa usalama.

DP World wamewekeza kwenye miundombinu sahihi ya biashara na masuluhisho mahiri ya vifaa kwa wateja wao wsnaotumia bandari hizo. Kila mwaka, DP World kupitia bandari hizo wanasafirisha takriban kontena milioni 3.6 - bidhaa zenye thamani ya £43 bilioni katika kontena hizi husafirishwa kwenda na kutoka nchi zilizo nje ya EU.

DP World wanaamini katika soko la Uingereza wana matarajio na rasilimali za kutosha kuhimili na kuboresha ukuwaji, kusaidia biashara, kuunda nafasi za kazi na kuboresha viwango vya maisha. Utaalam wao wa biashara unaoongoza katika sekta ya bandari, unatambuliwa kwa kutoa ushauri wa kiufundi na wa kimkakati mara kwa mara kwa Serikali ya Uingereza.



Chanzo: DP World in the UK
 
Back
Top Bottom