DP World inatisha 2: Tazama bandari inazozihudumia Uingereza

DP World inatisha 2: Tazama bandari inazozihudumia Uingereza

Mkuu mbona umejikita kwenye personal attack? Pale anapokosea kuandika basi wewe mrekebishe kwa kuandika kwa usahihi wake,simple tu.
Icebreaker! Ni bora na wewe umeliona hilo, kwanini anapoandika hoja zake haangalii vizuri! Kuna button ya kuedit au haijui! Mara nyingi huwa nashindwa kupata maudhui ya hoja zake kutokana na kuchanganya maneno kimakosa kabisa na kuna wakati nilidhani anaandika kingazija
 
Tazama na viambatanishi utaona hao waluisaini walipewa idhini na nani.

Hivi unawafanya wanasherua wetu qajinga sana? Wewe ndiye mwenye kuijuwa sheria? Una kipi jwenye elimu ya sheria cha kuwashinda wanasheria wetu?


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.

Mkataba wowote kwa anaeifahamu sheria inakua na mlango wa kuingilia na mlango wa kutokea, lakini hiyo sindimba yenu ina mlango wa kuingilia haina mlango wa kutokea, tunatumia lugha nyepesi zisizo na terms za kisheria japo muelewe ninyi tabularasa, hua watu ambao hamjasoma sheria mnaitwa Unlearned
 
Sasa naanza kuamini wewe ni mama samia

Unakuja na thread za kusifu na kuabudu na mapambio mengi kwa mama
Mkuu,na wanaopinga kwa kuja na thd za kuponda,na wao una amini ni kina nani?

Na vipi kama mleta mada angekua anafungua thd za kuponda tu,ungemuhisi yeye ni nani?
 
DP WORLD inatisha tazama ilivyo ingiza chaka viongozi wenu wamesaini mkataba wa kijinga Bogus Treat 💩💩💩 bado miaka 98 na siku 358 mkataba uishe... Ni nchi yenu pekee MPs wanajadili mkataba ulikwisha sainiwa kitambo
 
Halijui kuandika hilo jimama jinga kweli
Mrafinunanisima inatidha.

Ujinga ni sifa tu, siyo maradhi. Wote tukiwa wajanja nani atakuwa mjinga?

Wshenga walisema "ujanja mwingi mbele kiza".



Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Mrafinunanisima inatidha.

Ujinga ni sifa tu, siyo maradhi. Wote tukiwa wajanja nani atakuwa mjinga?

Wshenga walisema "ujanja mwingi mbele kiza".



Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Hapa tena umekosea kuandika "wshenga" ni nini wewe boya!
 
DP World wameunda biashara iliyounganishwa kwa ubora wa hali juu - bandari mbili za kina kirefu zenye vituo vya reli ya mizigo huko London Gateway na Southampton, kituo cha vifaa (logistics park) inayopanuka kwa kasi na biashara ya juu ya programu za software zinazotoa viunganisho vya mtandaoni kwa wateja na udhibiti wa usalama.

DP World wamewekeza kwenye miundombinu sahihi ya biashara na masuluhisho mahiri ya vifaa kwa wateja wao wsnaotumia bandari hizo. Kila mwaka, DP World kupitia bandari hizo wanasafirisha takriban kontena milioni 3.6 - bidhaa zenye thamani ya £43 bilioni katika kontena hizi husafirishwa kwenda na kutoka nchi zilizo nje ya EU.

DP World wanaamini katika soko la Uingereza wana matarajio na rasilimali za kutosha kuhimili na kuboresha ukuwaji, kusaidia biashara, kuunda nafasi za kazi na kuboresha viwango vya maisha. Utaalam wao wa biashara unaoongoza katika sekta ya bandari, unatambuliwa kwa kutoa ushauri wa kiufundi na wa kimkakati mara kwa mara kwa Serikali ya Uingereza.



Chanzo: DP World in the UK

Wewe linapokuja swala la dini akili zako huwa zinahamia kwenye makalio, hapa swala sio wao kupewa mkataba bali ni vipengele vya mkataba vya kijinga sana. Yeyote aliyeshiriki kuidhinisha mkataba huu kwa upande wa Tanzania ni msaliti au taahira
 
Una hisa gani na dp?badla ya kuangalia mapagufu ya mkataba ww umekomalia dp.sisi hatuna shda na dp bali tuna shda na AINA YA mkataba wa dp na bandar yetu
Hisa aliyonayo unaijua!
 
Wewe linapokuja swala la dini akili zako huwa zinahamia kwenye makalio
Umeliona hilo eeh? Mwanamke makalio.


Tazama DP World wanafanya nini Uingereza👇🏾




Mambo hayo 👆🏾tunayataka Dar haraka sana.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Waarabu wa Dubai wanatisha.


Mama Samia hujakosea kabisa kuamuwa kuwaleta DP World Tanzania.

Tupo na wewe 100%.
Hivi mkuu, mijadala yote iliyofumuka kitaifa ihusuyo masharti mabovu ya mkataba wa muwekezaji, wewe haujasikia?

Na kama umesikia, kuna mtu yeyote kasema uwekezaji kutoka Uarabuni haufai au kinachopigiwa kelele na raia ni masharti ya hovyo yaliyomo kwenye mkataba?

Kuwa DpW wapo Uingereza na kwingine kwenye uwekezaji wa namna hiyo, si uhalali wa kututwisha sisi mikataba masalia ya kuumiza nchi.

Waziri mkuu mwenyewe keshasema, wapo raia wenye mashaka nao na hawastahili kubezwa.

Na mashaka hayo yanatokana na mikataba mingine ya kifisadi huko nyuma iliyoingiwa na kuridhiwa na nchi ambayo kila mtu mzima anafahamu.

Yawezekana Rais alikuwa na nia njema kufikiria jambo hilo, lakini ni namna gani utekekezaji wake ulivyoanzwa, ndiyo kitendawili na kizungumkuti kinachochanganya wananch!

Umeshamsikia Mbunge wa Nkansi aitwaye Kishoa kwa umakini na ukamuelewa?

Sasa, kati kati ya mijadala mizito namna hii ambayo haijapata muafaka wa kitaifa, halafu wewe unaanzisha mada ya kujiweka upande unaotiliwa shaka na kuitwa majina mabaya ya uchawa, wewe unaona fahari?

Nadhani haikustahili kwa mtu kama wewe unayeonekana humu Jf kama ni mwenye akili kubwa kuanzisha mada kama hii kwa sasa ambayo itakushushia tu heshima.

Ujue jambo hili hili tayari limeshatugawa waTz.

Na litakapofikia muafaka jambo hili, kuna baadhi ya watu wenye majina yenye kuheshemika, ambao hoja hii itawatweza na kudharaulika na jamii kutokana na kuunga kwao mkono hoja mbovu za kifisadi zisizofanyiwa na zinazoendelea kfanyiwa utafiti kabla ya kupata muafaka wa Umma.
 
DP World wameunda biashara iliyounganishwa kwa ubora wa hali juu - bandari mbili za kina kirefu zenye vituo vya reli ya mizigo huko London Gateway na Southampton, kituo cha vifaa (logistics park) inayopanuka kwa kasi na biashara ya juu ya programu za software zinazotoa viunganisho vya mtandaoni kwa wateja na udhibiti wa usalama.

DP World wamewekeza kwenye miundombinu sahihi ya biashara na masuluhisho mahiri ya vifaa kwa wateja wao wsnaotumia bandari hizo. Kila mwaka, DP World kupitia bandari hizo wanasafirisha takriban kontena milioni 3.6 - bidhaa zenye thamani ya £43 bilioni katika kontena hizi husafirishwa kwenda na kutoka nchi zilizo nje ya EU.

DP World wanaamini katika soko la Uingereza wana matarajio na rasilimali za kutosha kuhimili na kuboresha ukuwaji, kusaidia biashara, kuunda nafasi za kazi na kuboresha viwango vya maisha. Utaalam wao wa biashara unaoongoza katika sekta ya bandari, unatambuliwa kwa kutoa ushauri wa kiufundi na wa kimkakati mara kwa mara kwa Serikali ya Uingereza.



Chanzo: DP World in the UK

Mkata wa DPW na UK unafanana na TZ kwa vigezo na masharti?
 
Sio huyu ni Fala tuu yupo humu kitambo na hoja yake kuu ni udini! Hana lolote ni ajuza fulani alieachika kwa kukosa mvuto!
Ma shaa Allah. Sema ni Uislam, usijitafune tafune. Usiogooe neni Yislam. Uislam ni mwema sana.

Najivunia Uislam wangu. Wewe unajivunia nini, upinde?

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Mkata wa DPW na UK unafanana na TZ kwa vigezo na masharti?
Tanzania hatuna mkataba wsnkibiadhara na DPW, tuna mkataba wa ushirikiano. Wa maendeleo na Serikali ya Dubai. Kama upo mkataba wa jibuashara bauna ya DPW na TPA sijauona. Kama wewe unao uweke hapa tuoone,

Niujuao mimi ni huu 👇🏾 bofya chini hapo 👇🏾


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
DP World wameunda biashara iliyounganishwa kwa ubora wa hali juu - bandari mbili za kina kirefu zenye vituo vya reli ya mizigo huko London Gateway na Southampton, kituo cha vifaa (logistics park) inayopanuka kwa kasi na biashara ya juu ya programu za software zinazotoa viunganisho vya mtandaoni kwa wateja na udhibiti wa usalama.

DP World wamewekeza kwenye miundombinu sahihi ya biashara na masuluhisho mahiri ya vifaa kwa wateja wao wsnaotumia bandari hizo. Kila mwaka, DP World kupitia bandari hizo wanasafirisha takriban kontena milioni 3.6 - bidhaa zenye thamani ya £43 bilioni katika kontena hizi husafirishwa kwenda na kutoka nchi zilizo nje ya EU.

DP World wanaamini katika soko la Uingereza wana matarajio na rasilimali za kutosha kuhimili na kuboresha ukuwaji, kusaidia biashara, kuunda nafasi za kazi na kuboresha viwango vya maisha. Utaalam wao wa biashara unaoongoza katika sekta ya bandari, unatambuliwa kwa kutoa ushauri wa kiufundi na wa kimkakati mara kwa mara kwa Serikali ya Uingereza.



Chanzo: DP World in the UK

Naiunga mkono DP world, lakini si kwa kiwango kufananisha na uwepo wao Uingereza.
 
mkataba hauna shida kabisaaa.... nashauri tuwepe Chochote wanachotaka... tuwape tu....
 
Hivi mkuu, mijadala yote iliyofumuka kitaifa ihusuyo masharti mabovu ya mkataba wa muwekezaji, wewe haujasikia?

Na kama umesikia, kuna mtu yeyote kasema uwekezaji kutoka Uarabuni haufai au kinachopigiwa kelele na raia ni masharti ya hovyo yaliyomo kwenye mkataba?

Kuwa DpW wapo Uingereza na kwingine kwenye uwekezaji wa namna hiyo, si uhalali wa kututwisha sisi mikataba masalia ya kuumiza nchi.

Waziri mkuu mwenyewe keshasema, wapo raia wenye mashaka nao na hawastahili kubezwa.

Na mashaka hayo yanatokana na mikataba mingine ya kifisadi huko nyuma iliyoingiwa na kuridhiwa na nchi ambayo kila mtu mzima anafahamu.

Yawezekana Rais alikuwa na nia njema kufikiria jambo hilo, lakini ni namna gani utekekezaji wake ulivyoanzwa, ndiyo kitendawili na kizungumkuti kinachochanganya wananch!

Umeshamsikia Mbunge wa Nkansi aitwaye Kishoa kwa umakini na ukamuelewa?

Sasa, kati kati ya mijadala mizito namna hii ambayo haijapata muafaka wa kitaifa, halafu wewe unaanzisha mada ya kujiweka upande unaotiliwa shaka na kuitwa majina ya uchawa!

Nadhani haikustahili kwa mtu kama wewe unayeonekana humu Jf kama ni mwenye akili kubwa kuanzisha mada kama hii kwa sasa ambayo itakushushia tu heshima.

Ujue jambo hili hili tayari limeshatugawa waTz.

Na litakapofikia muafaka jambo hili, kuna baadhi ya watu wenye majina yenye kuheshemika, ambao hoja hii itawatweza na kudharaulika na jamii kutokana na kuunga kwao mkono hoja mbovu za kifisadi zisizofanyiwa na zinazoendelea kfanyiwa utafiti kabla ya kupata muafaka wa Umma.
Nimesikia ndiyo maana nijauweka mkataba hapa👇🏾 ili tuyajadili hayo "matatizo" tusidanganyane. Wewe upitie utuoneshe tatizo moja moja tulijadili 👇🏾



Mama anaupiga mwingi Kimataifa
 
Back
Top Bottom