DP World inatisha 2: Tazama bandari inazozihudumia Uingereza

DP World inatisha 2: Tazama bandari inazozihudumia Uingereza

IBARA YA 23
MUDA NA KUKOMESHA

Kusitishwa kwa Mkataba huu kutakuwa chini ya idhini ya awali ya Nchi Wanachama, idhini hiyo haipaswi kuzuiliwa bila sababu.



Ni kwamba huo mkataba unavunjika tu endapo Serikali ya Tanzania na UAE kwa pamoja wakiridhia, Serikali ya Tanzania pekee haiwezi kuuvunja, Utawahonga kipi waarabu wakubali kwa hiari kuacha kusimamia bandari ?

Kwanza hichi unachokisema ni kwa pande zote mbili, hata wao hawawezi kuvunja jwankuamua tu au kwa kuwa labda kwao wameopinduana

Mkataba nu wa pande mbili (it takes two to tango).

Au wewe ulitaka Waarabu wawekeze pesa zao halafu uwaambie hutaki nkataba? Na bandari ipo kwako?

Usiwe kioja. Unataka kuwatapeli? Usifikiri Waarabu wajinga?

Ukitaka kuvunja mkataba kuna vigezo vyake kwenye mkataba. simpo. Jisomee kipengele cha 20 moaka 23 vipo wazi kabisa.

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Acha uongo kuna makampuni mbalimbali yanaendesha bandari za uingereza kama APM,CMACGM,MSC NA WENGINEO
Uingereza wana bandari ngapi? Ukipata jibu, container terminals kubwa za bandari mbili za Uingereza zinaendeshwa na DP World.
 
Kwanza hichi unachokisema ni kwa pande zote mbili, hata wao hawawezi kuvunja jwankuamua tu au kwa kuwa labda kwao wameopinduana

Mkataba nu wa pande mbili (it takes two to tango).

Au wewe ulitaka Waarabu wawekeze pesa zao halafu uwaambie hutaki nkataba? Na bandari ipo kwako?

Usiwe kioja. Unataka kuwatapeli? Usifikiri Waarabu wajinga?

Ukitaka kuvunja mkataba kuna vigezo vyake kwenye mkataba. simpo. Jisomee kipengele cha 20 moaka 23 vipo wazi kabisa.

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Sawa ila mbona hujui kuandika kwa ufasaha papara za nini wewe jike shupa
 
Waziri Mkuu ujue una ongea na wasomi.

1. PM tulicho saini Bungeni siyo Mkataba. Spika, mkataba huu ni sawa na ule wa Bomba la Mafuta la Uganda. Hapa wana tuchanganya. Tumuamini nani?
2. Eti anae lalamika ni TICS. Huu ni uongo wa PM. Ni watanzania wote. Kizazi kimesoma.
3. Siyo Mkataba. Yale yalikuwa Makubaliano ya Mahusiano ya Kibiashara. Ni lini Tz imewahi kupeleka suala la nchi yoyote nyingine la Mahusiano ya Kibiashara Bungeni? Atoe mfano.
Tz na Dubai zina mabalozi kotekote. Mahusiano yapi hayapo? Ila sheria ya JPM 2017 inataka Mikataba ya rasilimali za Taifa zilidhiwe na Bunge.
4. Walikutana na DP World kwenye maonesho ya Biashara Dubai! Real,. Mkataba wa nchi? Yaani ni sawa na kutongoza demu kwenye sherehe siku 1 na siku hiyohiyo una oa.
5. Ana sema kilichopelekwa Bungeni ni mahusiano ya Kibiashara. Hatujawahi kuona hii kitu Kati ya Tz na nchi Zingine. Na kama ni mahusiano...why itaje Bandari pekee wakati, kuna mikataba hadi za Misitu, Viwanja vya ndege, nk. 37 contracts zilisainiwa in oneday during Trade Exhibitions!!
 
Tupe mfano wa nchi masikini kama ya kwetu iliyopata faida na maendeleo kwa uwekezaji wa DP katika bandari zao.Huko Uingereza DP hajaenda kuongeza chochote zaidi ya pesa za gesi.
Tupe mfano wa nchi masikini kama ya kwetu iliyopata faida na maendeleo kwa uwekezaji wa DP katika bandari zao.Huko Uingereza DP hajaenda kuongeza chochote zaidi ya pesa za gesi.
Bandari ya Senegali toka 250k Teu 2008 mpaka 750k Teu 2023, Asilimia 200 ndani ya miaka 15.

Djibout pia Toka Li nchi la Hovyo hovyo 2006 wakiwa na Gdp per capita chini ya 1000 kama Tanzania mpaka sasa wana Gdp per capita zaidi ya 3000. Asilimia zaidi ya 50 ya pato la Taifa lao inatokana na Bandari iliojengwa na hao Dp world.
 
Utafute wewe uulete, usipinge kishoga bila ushahidi. Upinge wewe ushahidi nikuwekee mimi?
Wewe ndio ulipaswa kuuweka hapa huo mkataba baada ya kuwasifia hao waarabu na uwekezaji wao huko UK.

Usipige chenga weka hapa huo mkataba tuulinganishe na wa Tanganyika
 
DP World wameunda biashara iliyounganishwa kwa ubora wa hali juu - bandari mbili za kina kirefu zenye vituo vya reli ya mizigo huko London Gateway na Southampton, kituo cha vifaa (logistics park) inayopanuka kwa kasi na biashara ya juu ya programu za software zinazotoa viunganisho vya mtandaoni kwa wateja na udhibiti wa usalama.

DP World wamewekeza kwenye miundombinu sahihi ya biashara na masuluhisho mahiri ya vifaa kwa wateja wao wsnaotumia bandari hizo. Kila mwaka, DP World kupitia bandari hizo wanasafirisha takriban kontena milioni 3.6 - bidhaa zenye thamani ya £43 bilioni katika kontena hizi husafirishwa kwenda na kutoka nchi zilizo nje ya EU.

DP World wanaamini katika soko la Uingereza wana matarajio na rasilimali za kutosha kuhimili na kuboresha ukuwaji, kusaidia biashara, kuunda nafasi za kazi na kuboresha viwango vya maisha. Utaalam wao wa biashara unaoongoza katika sekta ya bandari, unatambuliwa kwa kutoa ushauri wa kiufundi na wa kimkakati mara kwa mara kwa Serikali ya Uingereza.



Chanzo: DP World in the UK

Wewe ni mtumwa ktk Nchi Yako,

Kwann kupoteza muda kusifia mume wa Jirani kuwa ana pesa na uwezo kumzidi mumeo?

Ktk NDOA hiyo role Yako ni ipi?

Acha uongo na unafiki, Lete mawazo chanya ya kuongeza uwezo wa ndani wa Watanzania wenzetu kuendesha Bandari Kwa kiwango Bora Cha kidunia.
 
Ukweli ni kwamba DP world sehemu nyingi wanaendesha bandari kavu kama walivyofungua Rwanda au kwa Paris pale kwala waendeshe wao na nchi nyingi duniani hazikutoa magati kama yetu kwa DP world hiyo ndio tofauti, hivo msijione wajanja wa dunia hii hata congo brazaville wamewapa AD ports kuendesha bandari kavu na sio seaport kama Samia alivyofanya
 
Wewe ni mtumwa ktk Nchi Yako,

Kwann kupoteza muda kusifia mume wa Jirani kuwa ana pesa na uwezo kumzidi mumeo?

Ktk NDOA hiyo role Yako ni ipi?

Acha uongo na unafiki, Lete mawazo chanya ya kuongeza uwezo wa ndani wa Watanzania wenzetu kuendesha Bandari Kwa kiwango Bora Cha kidunia.

DP world na AD ports ya Abu Dhabi maeneo mengi duniani hupewa kuendesha bandari kavu huo ukweli hawataki kuusema hawa washangiliaji, moyo wa uchumi wa nchi unamkabidhije mtu kizembe namna hiyo,
 
Mkataba wa Tz na Waingereza unazani ni sawa?
Mkataba wa Uingereza ni wa kuendesha bandari baina ya DP World na "Associated British Ports" ya Uingereza ni wa kibiashara, mikataba ya kibiashara huwa ni siri za kibiashara baina ya pande mbili.


Mkataba unaouona unaongelewa Tanzania hivi sasa ni IGA baina ya serikali ya Dubai na Serikali ya Tanzania. Ni vitu viwili tofauti.

Tutapokuwa na nkataba wa kibiashara baina ya DP World na TPA pia utakuwa tofauti sana na huu tuuonao sasa.



Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Mkataba wa Uingereza ni wa kuendesha bandari baina ya DP World na "Associated British Ports" ya Uingereza ninwa kibiashara, mikataba ya kibiashara huwa ni siri za kibiashara baina ya pande mbili.


Mkataba unaouona unaongelewa Tanzania hivi sasa ni IGA baina ya serikali ya Dubai na Serikali ya Tanzania. Ni vitu viwili tofauti.

Tutapokuwa na nkataba wa kibiashara baina ya DP World na TPA pia utakuwa tofauti sana na huu tuuonao sasa.



Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Halijui kuandika hilo jimama jinga kweli
 
Hakuna bandari yoyote wliyiyoewa. Tuoneshe. Huo mkataba wako wa bandari waliyopewa.

Mkstaba uliopo ni wa ushirokianonwa msendeleo ya bandari siyibwa yendeshaji bandari.

Jinsi unavyochangia mada, sina uhakika kama unaielewa tofauti IGA na HGA. Pole sana.

Elimu elimu elimu - kwa sauti ya Lowasa.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Mimi naiangalia mikataba tokea awamu ya Mzee Benjamini. Wakina Mwanyika wanaingia mikataba ya hovyo na Acacia mimi nipo. Bilateral Investment Treaties (BIT) zinaangaliwa upya kipindi cha Raisi Magufuli mimi nipo nafuatilia vizuri tu. Mitafaruku inatokea na wawekezaji kama San Lodges Mikindani Estates Mtwara, ndege zinakamatwa kule Afrika Kusini mimi nipo nashuhudia. Tanganyika inapelekwa kwenye mahakama za Uingereza kisa makinikia mimi nipo nashuhudia kwa macho yangu.

Itoshe kusema nimefanya kazi kwenye hizi mahakama za kimataifa ambako sheria za kimataifa zinatumika. Kiufupi INTERNATIONAL ECONOMICS LAW ndiyo uwanja wangu wa nyumbani, na wahenga husema mcheza kwao hutuzwa. Nimesoma na nimefundishwa sheria na wasomi wakubwa hapa nchini na duniani. Wewe BUSH LAWYER utaniambia nini mimi nisichokifahamu ?

Eti mara IGA, mara HGA unadhani unaonekana mwerevu. Kiufupi ni wajinga tu ndiyo wanachekelea wasiyoyafahamu. Sasa hebu nikupashe habari kidogo jinsi ambavyo duniani kote mambo yanafanyika ili uachane na ujinga. Mikataba ya biashara duniani kote, msingi wake hujengwa kwenye kitu kiitwacho BILATERAL INVESTMENT TREATIES (BIT's) ambazo nchi moja husaini na nchi nyingine ili kuruhusu uwekezaji baina ya raia, mashirika na makampuni ya nchi hizo mbili. Hii mikataba huwa inaweza kusimamiwa na sheria za kimataifa kama zile za World Trade Organization Rules (WTO Rules) au Customary International Law. Wewe mjinga haya unayafahamu ?

Sasa Tanzania ina BITs kama 21 hivi ambazo zinaruhusu uwekezaji nchini. Bahati mbaya sana taifa kama United Araba Emirates (UAE) halijawahi kusaini BIT na Tanzania, hivyo sasa wanafanyaje ili kuweza kuruhusu uwekezaji kwenye nchi zao ? Inabidi wasaini INTERGOVERNMENTAL AGREEMENT (IGA) ambayo itakuwa na nguvu sana BILATERAL INVESTMENT TREATY. Ndiyo maana ukisoma hiyo IGA baina ya Tanzania na Dubai utaona zile kanuni za kisheria za biashara ambazo ziko kwenye BITs nyingine zimo humohumo ndani ya IGA. Hili nadhani madrasa haujafundishwa, hivyo ngoja nikupashe.

Kanuni za sheria ya biashara ambazo zinatakiwa kuwa ndani ya IGA na BIT ni hizi hapa:

Mosi
, THE RULES AGAINST EXPROPRIATION.
Hapa nchi (Host Government) inakubali kwamba kwa namna yoyote ile haitajaribu kushika au kukamata mali za huyo mwekezaji hata itokee nini. Kwenye hiyo IGA yenu ni IBARA YA 14. Hii kanuni ndiyo ilitumika na ACACIA, SUN LODGES kuiburuza Tanzania kwenye mahakama za kimataifa kipindi cha Raisi Magufuli.

Pili, THE RULES AGAINST DISCRIMINATION.
Hapa nchi (Host Government) inakubali kwamba kwa namna yoyote ile haitabagua wawekezaji wa nchi inayowekeza endapo watakuja kuwekeza kwenye nchi. Kwenye hiyo IGA yenu ni IBARA YA 11. Hivyo basi Tanganyika haitatakiwa kuwabagua waarabu wa DP World ambao watakuja kuwekeza kwenye miradi mbalimbali ya bandari kupitia HGAs au PROJECT AGREEMENTS.

Tatu, THE MOST FAVOURED NATION
Hapa nchi (Host Government) inakubali kwamba kwasababu imesaini makubaliano na mwekezaji, basi wawekezaji watakapokuja watapewa huduma za haraka kuliko raia wa mataifa mengine ambayo hayajasaini nayo IGA au BIT. Kwenye ile IGA yenu IBARA ZA 11 na 5 zinasema hiki kitu. Kama unakumbuka vizuri, Al Hajj Aliko Dangote alipata shida sana kwenye viwanda vyake kwasababu hii kanuni ilivunja kutokana na ukweli kwamba Tanzania na Nigeria hatuna BIT wala IGA.

Naamani haya kwaleo yanakutosha, nikikupa mengine sidhani kama utakuwa na kichwa cha kubeba. Sasa tunarudi kwenye HGA, nini maana ya Host Government Agreement ???

HOST GOVERNMENT AGREEMENT, ni mkataba wa kulinda uwekezaji husika (Specific Project) ambao unasainiwa baina ya nchi mbili ambazo zimesaini INTERGOVERNMENTAL AGREEMENT hapo awali. Katika maana nyingine ni kwamba HGA ndiyo mkataba ambao unaanzisha utekelezaji wa miradi ambayo imekusudiwa ndani ya IGA. Hivyo, ili HGA inaanzisha mradi na kuulinda kwa kufuata kanuni ambazo nimezitaja hapo juu.

Kwenye hiyo IGA yenu kama kweli umesoma na kuelewa, maneno mawili yametumika. HGA au PROJECT AGREEMENT, lakini wewe likakupita ukadhani haya ni maneno tofauti au yenye ufundi. Jibu ni hapana, HGA inaweza ikaitwa majina kama PROJECT AGREEMENT au A BUSINESS CONCESSION. Like Notorious BIG once said "If you don't know, now you know"

NB 1: IGA ni baba wa HGA/PROJECTA GREEMENT, hivyo kama hakuna IGA basi hakuna HGA.

NB 2: Mlizani kila mtanzania ni mjinga lakini kipindi hiki yanawatokea puani. Hivi unadhani kwanini watu wenye akili kama Dr Eliezer Mbuki Feleshi ambaye ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali na wengine wamenyamaza kimya sana kipindi hiki. Mama yenu katengenezewa ajali ya kisiasa na akanasa mazima. Hichi alichokifanya ni UHAINI (High Treason) na tutaenda naye mpaka mwisho.

NB 3: Huu mkataba (IGA) una majina matatu ya Wazanzibar ambao Samia (Raisi), Mbarawa (Waziri) na Aisha (Katibu Mkuu). Majina mengine hapo kiutaratibu hayakutakiwa kuwepo kwasababu za kimamlaka. Mkataba mkubwa kama huu alitakiwa awepo Dr Mbuki Feleshi na Mkurugenzi wa Bandari.

BITs nyingine zina majina kama Nyerere (Raisi) au Mkapa (Raisi), Chenge (Mwanasheria Mkuu) au Mwanyika (Mwanasheria Mkuu), na kiongozi mwingine mwenye dhamana. Huoni kama kuna walakini hapo ??? Kilichomponza Lowassa, Karamagi na Msabaha kwenye RICHMOND ni kusaini mikataba ambayo hakuwa na mamlaka nayo hivyo wakaingia QIBRA wahuni wakashusha kisu.

Bwahahahaa, mama yenu kaingia QIBRA. Wewe usiyeelewa utaniambia nini mimi ????
 
Tupe mfano wa nchi masikini kama ya kwetu iliyopata faida na maendeleo kwa uwekezaji wa DP katika bandari zao.Huko Uingereza DP hajaenda kuongeza chochote zaidi ya pesa za gesi.
Itafute Djibouti utaona impact ya hao DP
 
Acha uongo kuna makampuni mbalimbali yanaendesha bandari za uingereza kama APM,CMACGM,MSC NA WENGINEO
1687350559167.png


Bwana Mdogo sikurupuki, hii ndiyo sheria ya bandari ya Uingereza. Hii ndiyo mamlaka kubwa iliyopo kisheria na inayosimamia PORT OF LONDON. Hulafu kama ulikuwa huelewi PORT OF LONDON siyo bandari moja ni mfumo (A Cluster of Ports, Docks and Economic Zones) wa bandari nyingi za Uingereza zilizopo kwenye mkondo wa maji unaoanzia Mto Thames (River Thames) hadi kufika bahari ya kaskazini (The North-Sea).

Hutaki unaaacha........!
 
Back
Top Bottom