PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Naona DP World mnamfokea afisa habari na mahusiano wenu.Sio huyu ni Fala tuu yupo humu kitambo na hoja yake kuu ni udini! Hana lolote ni ajuza fulani alieachika kwa kukosa mvuto!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona DP World mnamfokea afisa habari na mahusiano wenu.Sio huyu ni Fala tuu yupo humu kitambo na hoja yake kuu ni udini! Hana lolote ni ajuza fulani alieachika kwa kukosa mvuto!
Naona DP World mnamfokea afisa habari na mahusiano wenu.
Mama wa kambo siyo mama. Alimuua baba ili atapanye mali zetu na mahawara zake wa uarabuni.Waarabu wa Dubai wanatisha.
Mama Samia hujakosea kabisa kuamuwa kuwaleta DP World Tanzania.
Tupo na wewe 100%.
Mbowe 😃🤣🤣🤣Mkuu,na wanaopinga kwa kuja na thd za kuponda,na wao una amini ni kina nani?
Na vipi kama mleta mada angekua anafungua thd za kuponda tu,ungemuhisi yeye ni nani?
Akikujibu nishtueeTupe mfano wa nchi masikini kama ya kwetu iliyopata faida na maendeleo kwa uwekezaji wa DP katika bandari zao.Huko Uingereza DP hajaenda kuongeza chochote zaidi ya pesa za gesi.
Pimbi wewe hujui lolote! Eti dini mbona huendagi kuswali! Au dini unadhani ni kujifunga mtandio kiazi wewe! Jitu zima hata kuandika halijui! Unapitwa hata na watoto wa shule za msingi ! Fala tuu wewe !Ma shaa Allah. Sema ni Uislam, usijitafune tafune. Usiogooe neni Yislam. Uislam ni mwema sana.
Najivunia Uislam wangu. Wewe unajivunia nini, upinde?
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Naiunga mkono DP world, lakini si kwa kiwango kufananisha na uwepo wao Uingereza.
Hoja yako nzuri sana, jifunze Uislam. Wewe unajuwa kusali na. Mie najifunza kuandika.P
Pimbi wewe hujui lolote! Eti dini mbona huendagi kuswali! Au dini unadhani ni kujifunga mtandio kiazi wewe! Jitu zima hata kuandika halijui! Unapitwa hata na watoto wa shule za msingi ! Fala tuu wewe !
Hujui kuandika kiazi wewe hata kwenye hiyo dini wewe ni hamuma haswa! Pimbi jike weweHoja yako nzuri sana, jifunze Uislam. Wewe unajuwa kusali na. Mie najifunza kuandika.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
CEO wa DP World alisoma nchi gani vile?Upo huru na mawazo yako mfu. Mtembelee Bakhresa ukamsalimie. Yupo hapa hapa Tanzania. Mtembelee mzee Nahdi wa Oilcom, yupo hapa hapa kwenu.
CEO wa DP World anaitwa Sultan Ahmed bin Sulayem, mzungu wa kwenu huyu[emoji1484]
View attachment 2664287
Hakuna impact yoyote wa DP kwa Djibouti, Bandari za Djibouti zimekuwa zinaendeshwa muda mrefu na shirika la Serikali ya Djibouti, baadaye wakaja Wachina na hao DP ambao walivurugana baada ya muda mfupi tu, wakaufuta mkataba wao na kuwanyang'anya Bandari. Sasa hivi Djibouti inadaiwa mabilioni ya Dola baada ya kushindwa kesi zilizotokana na mkataba wa aina hii unaopigiwa kelele.Itafute Djibouti utaona impact ya hao DP
Wewe poyoyo wacha lorojo. AlhamduliLlah nimesoma mtaala wa Cambridge.Icebreaker! Ni bora na wewe umeliona hilo, kwanini anapoandika hoja zake haangalii vizuri! Kuna button ya kuedit au haijui! Mara nyingi huwa nashindwa kupata maudhui ya hoja zake kutokana na kuchanganya maneno kimakosa kabisa na kuna wakati nilidhani anaandika kingazija
Aya ina rundo la herufi ambazo zimechanganyikana na bado unaweza kuisoma kwa mwendo wa kawaida. Kifungu kinajieleza chenyewe na kusema kwamba kulingana na utafiti uliofanywa katika chuo kikuu cha Cambridge, haijalishi herufi katika neno ziko katika mpangilio gani; herufi za kwanza na za mwisho pekee zinahitajika kuwa mahali pazuri. Kulingana na hayo, kila kitu kilicho katikati kinaweza kuchanganyikiwa na bado unaweza kuisoma kwa urahisi hata ikiwa haifai kuwa na maana yoyote.Aoccdrnig to rscheearch at Cmabrigde unervtisy, it deos't mttaer waht oredr the ltteers in wrod are, olny iprmoetnt tihng ni taht the frist na lsat ltteres ziko rghit pclae. Reset inaweza kuwa tatol mses na unaweza kukaa raed it wouthit a porbelm. Tihs ni bcuseae sisi si raed ervey ltered by it slef lakini wrod kama wlohe.
We mwenyewe mwarabu mpuuzi tuWaarabu wa Dubai wanatisha.
Mama Samia hujakosea kabisa kuamuwa kuwaleta DP World Tanzania.
Tupo na wewe 100%.
Kamsome niliyemjibu aliandika nini. Usidandie basi kwa mbele.FaizaFoxy kwani hata CEO akiwa mnyaturu wewe inakusaidia nini wewe na shida zako hadi matakoni! Acha kujipendekeza wewe malaya wa bure ! Mamayo
Fala wewe unajidai unawajua DP World! Mbona kabla hawajakuja hukuwahi kuwataja popote kima wewe wakati wa kampeni zako chafu za kidini! Boya tuu wewe falaKamsome niliyemjibu aliandika nini. Usidandie basi kwa mbele.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.