DP World inatisha. Musukuma alisema kweli

DP World inatisha. Musukuma alisema kweli

Kwa Wataalamu wetu wa IT/Computer ENGINEERING hawana uwezo wa kufanya hizo kazi za huyo Dada?

Na kweli bajeti zetu Hazina uwezo wa kuanza ku deploy hizo equipment bandarini kwetu kidogo kidogo mpaka tukapata seti nzima ya mitambo?

Msukuma alisema hakuna watu, na ni mtu mmoja alikuwa anaendesha bandari lakini kwenye Clip nimeona wadada zaidi ya Wawili. Au wengine ni wapika chai?? Haha haaaaa!

Credibility inalindwa !
Jiulize kwanini hatukuweza Kufanya miaka yote?

Tunaweza sana kuyafanya yote hayo, lakini wizi na ubadhirifu unatufanya tusifanye.


Hao mabinti unawaona kabisa ni wanafunzi wa kazi. Kama huoni basi hujamsikia hata Fatma Ghanem hapo akielezea?

Wewe itakuwa katika wale ambao macho mnayo lakini hayaoni, masikio mnayo kakini hayasikii.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Weka pdf la mkataba hapa, kila mtu asome yaliyomo
Mkataba upi unauongelea nikuwekee? Nafahamu huelewi namna ya kutumia simu yako kuupata kwenye mtandao. Usijali, nipo hapa kwa kuwatumikia walimwengu wenzangu. Pia unaweza kutumia Google kwenye simu yako, andika tu kwenye Google search mkataba unaoutaka utaupata.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Tunaweza sana kuyafanya yote hayo, lakini wizi na ubadhirifu unatufanya tusifanye.
Kwa hiyo tuliowakabidhi kubaini wizi, kukamata wezi, kushitaki wezi, na kufunga wezi wameshindwa kazi. Sasa kama tatizo ni hilo kwa nini wasishughulikiwe hao wazembe wa kudhibiti wizi, kisha tuweke waadilifu hapo bandarini?

Au ndiyo unataka kuudhibitishia umma wa Watanzania na ulimwengu kwa ujumla kuwa Watanzania wote zaidi ya Milioni 64 pamoja na viongozi waluoshika madaraka kwa Sasa ni wezi?? Mkuu taratibu aisee!!!

Dawa ni kutibu tatizo siyo kukwepa Tatizo. Tujitegemee!!!

Ebu endelea kuniweka sawa, Mkuu, yawezekana itafika wakati nitakuelewa sawia. Asante
 
Mbona hamna amani? Si mshapewa idhini na mmewapa kila kitu sasa unahangaika nini?

Hivi wanawake waliopita menopause hupata joto pia?

Imagine asubuhi yote hii umeamka na DP world kulikoni? Si mlipitisha azimio kwa kishindo kipi kinakuwasha tena?

Afterall huyo unaempambania yakiharibika hana cha kupoteza atakimbilia kwao Oman wewe utaenda sagika kula mbilimbi Maneromango uko hovyo sana!
Sagia kunguni ya kibabe sana doh
 
Chawa wa waarabu halafu wao wanakuona kama mbuzi tu.
Siyo chawa tu, jisomee:

Wikipedia
Aya ya Udugu ( Kiarabu : آیة الأُخُوَّة , romanized : Āyat al-Ukhuwwah ) ni aya ya kumi ya sura ya Qur'ani " Al-Hujurat " ( Q49:10 ). Aya inahusu udugu wa waumini wao kwa wao; isemayo: "Waumini ni ndugu, basi suluhisheni baina ya ndugu zenu. Na mcheni Mwenyezi Mungu ili mrehemewe."


Kauli mbiu ya msingi ya jamii ya Kiislamu ni kwamba waumini si chochote zaidi ya ndugu. Aya inarejelea usawa kati ya watu binafsi na ukosefu wa tofauti katika suala la kabila na rangi. Inapendekezwa kuwa aya hiyo inahusu ulazima wa kufanya mageuzi kati ya ndugu wa kidini. Udugu wa waumini katika dini ni dhana nyingine ya aya hiyo,

Soma zaidi 👇🏾



Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Msukuma alisema kweli, muone binti akishusha makontena kama anacheza video game👇🏾




Mama anaupiga mwingi Kimataifa.

Ww huna AKILI ni kama kuku tu ww unadhani hizo mashine zilijileta hapo zenyewe kenge kweli ww kama watu milion 3 wameweza hivyo Akili za panzi zinajua kuuza bandari tu,UJINGA mkubwa kabisa ,Hv ww wakikutrain hiyo KAZI huwezi kufanya?acha kujidharau,alafu ww una mambupu huyo hana acha kujidharau kaka.
 
Did I miss something?
AGENDA gani tena?

Asiye na macho haambiwi tazama, asuye na masikio haambiwi sikia, asiyetyumia akili zake haambiwi tumia akili yako. Fikiri.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Hao maharamia wakiarabu wana kesi kila taifa walipowekeza, kwani huko kote kwenye hayo makesi waliyofunguliwa hakuna mabinti wakuelezea teknolojia ya kushusha mizigo? Jiheshimu.

Samia ni shetani msaliti.
Teknolojia anaileta Kagame Tutakuwa na vibinti Vya Kitusi

Kanisa Moja Takatifu la Mitume 😀
 
Hakuna heri hapo
Kweli kabisa, ndiyo maana tunayapiga vita yote hayo.

Umewahi kuisikia hotuba ya Mzee Rukhsa ya mikuki miwili?

Kama hujawahi kuisikia, nijibu swali langu; unakabiliwa na mikuki miwili, mmoja wa utumwa, mmoja wa ushoga, utaamuwa ukuchome upi?


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
You did not miss anything, simply hicho kibibi kimeanza kuchanganyikiwa sasa kinatafuta kila tawi kijishikize..
Tumeshawastukia, tunawajuwa ni kina nani wenye kulazimisha kupitushiwa Mizigo yao bila kulipia bandarini.

Tunafahamu hii ni vita ya kiuchumi na DP World wanafahamu hilo.

Jiulize kwanini TICTS kwa miaka zaidi ya 20 ya uwepo wao Bandarini wamewekeza Dola million 100 tu, wakati DP World kabla haijaanza kazi rasmi wameshawekeza katika kuweka mifumo ya TEHAMA sawa kwa Dola million 500. DP World inatisha.


. Ukipata jibu tujulishe, ukikosa jibu uliza tukusaidie.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Kwa hiyo tuliowakabidhi kubaini wizi, kukamata wezi, kushitaki wezi, na kufunga wezi wameshindwa kazi. Sasa kama tatizo ni hilo kwa nini wasishughulikiwe hao wazembe wa kudhibiti wizi, kisha tuweke waadilifu hapo bandarini?

Au ndiyo unataka kuudhibitishia umma wa Watanzania na ulimwengu kwa ujumla kuwa Watanzania wote zaidi ya Milioni 64 pamoja na viongozi waluoshika madaraka kwa Sasa ni wezi?? Mkuu taratibu aisee!!!

Dawa ni kutibu tatizo siyo kukwepa Tatizo. Tujitegemee!!!

Ebu endelea kuniweka sawa, Mkuu, yawezekana itafika wakati nitakuelewa sawia. Asante
Jiulize kwanini TICTS kwa miaka zaidi ya 20 ya uwepo wao Bandarini wamewekeza Dola million 100 tu, wakati DP World kabla haijaanza kazi rasmi wameshawekeza katika kuweka mifumo ya TEHAMA sawa kwa Dola million 500. DP World inatisha.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Mbona hamna amani? Si mshapewa idhini na mmewapa kila kitu sasa unahangaika nini?

Hivi wanawake waliopita menopause hupata joto pia?

Imagine asubuhi yote hii umeamka na DP world kulikoni? Si mlipitisha azimio kwa kishindo kipi kinakuwasha tena?

Afterall huyo unaempambania yakiharibika hana cha kupoteza atakimbilia kwao Oman wewe utaenda sagika kula mbilimbi Maneromango uko hovyo sana!
Hatuhangaiki, Waislam tunaamka alfajiri sana, natumai unalielewa hilo.

Badala ya kukaa bure tunawapa darsa qanaopinga maendeleo kwa dhana potofu za kibaguzi.

Kwenye hili la mama kushambuliwa bila sababu za msingi, wema wake na uchapaji kazi wake ndiyo umponze?

Hatutakubali na mtaziona mada zangu za kuielimisha ukweli jamii kila kukicha. Wasio na akili za kibaguzi watanielewa.



Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Kwa Wataalamu wetu wa IT/Computer ENGINEERING hawana uwezo wa kufanya hizo kazi za huyo Dada?

Na kweli bajeti zetu Hazina uwezo wa kuanza ku deploy hizo equipment bandarini kwetu kidogo kidogo mpaka tukapata seti nzima ya mitambo?

Msukuma alisema hakuna watu, na ni mtu mmoja alikuwa anaendesha bandari lakini kwenye Clip nimeona wadada zaidi ya Wawili. Au wengine ni wapika chai?? Haha haaaaa!

Credibility inalindwa !
kama wataalamu wetu wana uwezo walikuwa wapi siku zote kuyafanya hayo,unajua ni kiasi gani cha mapato kitaongezeka kupitia maboresho ya mifumo hiyo ya TEHAMA kuboreshwa au unafuata ushabiki tu wa kupinga pinga...fuatilia kiwango cha mapato kitakachoongezeka baada ya maboresho ya mifumo hiyo
 
Back
Top Bottom